Profesa Mark Mwandosya ashukuru wadhamini wake na wananchi wote
Profesa Mark Mwandosya na mkewe mama
Lucy Mwandosya wakiwa mijini Dodoma leoKatika nyakati mbalimbali mataifa, na binadamu pia hupita katika vipindi vya majaribu (testing times). Majaribu hayo ni njia moja ambayo naamini Mwenyezi Mungu, muweza wa yote, humuimarisha mtu na huimarisha Taifa iwapo tunaweza kuyamudu. Hiki ndio kipindi tunachopita sasa kama Taifa. Kwa maneno hayo napenda, kwa unyenyekevu mkubwa, kuwashukuru, na kwa dhati kabisa, wale wote mliotuunga mkono kabla na baada ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboPROFESA MARK MWANDOSYA AENDELEA KUSAKA WADHAMINI MKOANI KILIMANJARO.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro akimpatia kipaza sauti Prof...
10 years ago
MichuziPROFESA MARK MWANDOSYA ANENA
Nilidhani leo mitandao yote ingesheni habari hiyo kubwa. Kumbe nami nimekuwa "staa" katika mitandao ya kijamii. Kuanzia asubuhi nimekuwa nikipokea na kujibu simu mbalimbali nikiulizwa maoni yangu kuhusu tukio la jana, kuhusu mchakato wa Dodoma...
11 years ago
MichuziProfesa Mark Mwandosya ziarani Burundi
10 years ago
Michuziziara ya kikazi ya profesa mark mwandosya zanzibar
9 years ago
MichuziProfesa Mark Mwandosya asherehekea kufikisha miaka 66 ya kuzaliwa kwake
9 years ago
MichuziProfesa Mark Mwandosya awa Mgeni Rasmi Siku ya Taifa ya Bima
10 years ago
MichuziProfesa Mwandosya asaka na kupata wadhamini wa kutosha mkoani Iringa
9 years ago
VijimamboPROFESA MARK MWANDOSYA ATOA YA MOYONI KUHUSU MAREHEMU DR. ABDALLAH OMARI KIGODA
10 years ago
Mwananchi05 May
UCHAGUZI CCM 2015: Profesa Mark Mwandosya: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais