Profesa Mwandosya asaka na kupata wadhamini wa kutosha mkoani Iringa

Waziri wa Nchi katika ofisi ya Rais asiye na wizara maalum Profesa Mark James Mwandosya akiwa na mkewe Mama Lucy Mwandosya wakiwasili katika ofisi za CCM za Mkoa wa Iringa kusaka wadhamini
Waziri wa Nchi katika ofisi ya Rais asiye na wizara maalum Profesa Mark James Mwandosya akilakiwa na maofisa wa chama katika ofisi za CCM za Mkoa wa Iringa kusaka wadhamini
Waziri wa Nchi katika ofisi ya Rais asiye na wizara maalum Profesa Mark James Mwandosya akipungia mkono wasindikizaji wake katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
PROFESA MARK MWANDOSYA AENDELEA KUSAKA WADHAMINI MKOANI KILIMANJARO.





10 years ago
Michuzi
Profesa Mark Mwandosya ashukuru wadhamini wake na wananchi wote

Lucy Mwandosya wakiwa mijini Dodoma leoKatika nyakati mbalimbali mataifa, na binadamu pia hupita katika vipindi vya majaribu (testing times). Majaribu hayo ni njia moja ambayo naamini Mwenyezi Mungu, muweza wa yote, humuimarisha mtu na huimarisha Taifa iwapo tunaweza kuyamudu. Hiki ndio kipindi tunachopita sasa kama Taifa. Kwa maneno hayo napenda, kwa unyenyekevu mkubwa, kuwashukuru, na kwa dhati kabisa, wale wote mliotuunga mkono kabla na baada ya...
10 years ago
Michuzi
Dkt Asha-Rose Migiro apata wadhamini wa kutosha mkoani Kigoma leo

Katibu wa ccm wilaya ya Kigoma Novati Kibadi akimkabithi form Dkt. Migiro zenye majina 45 alizodhaminiwa na wakazi wa kigoma




10 years ago
Michuzi
Makamba Avunja rekodi ya mapokezi na wadhamini mkoani Iringa

10 years ago
Michuzi
10 years ago
MichuziDK. MALECELA ASAKA WADHAMINI KATIKA KUGOMBEA NAFASI YA URAIS
10 years ago
GPLDK. MALECELA ASAKA WADHAMINI KATIKA KUGOMBEA NAFASI YA URAIS
10 years ago
MichuziBALOZI AGUSTINO MAHIGA APATA WADHAMINI WA KUTOSHA KINONDONI
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Lowassa azoa wadhamini 3,000 Geita, Chato nako apata wa kutosha

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa,(katikati), akipungia mkono maelfu ya wana CCM na wananchi wengine waliofika kwenye ofisi za CCM wilayani Geita Juni 8, 2015, kwa nia ya kumdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015; (Picha zote na K-VIS MEDIA)
