WAZIRI MKUU MSTAAFU CLEOPA MSUYA ASTAAFU SIASA ,JK AMPONGEZA
Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete akiwa viongozi wengine wakuu wa serikali chama cha Mapinduzi CCM, akiwemo Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana (kushoto) katika hafla ya kumuaga aliyekuwa Waziri mkuu wa Tanzania mara mbili katika awamu mbili tofauti, Mzee Cleopa David Msuya (wa kwanza kulia kwa Rais) ambaye amestaafu rasmi siasa baada ya kuitumikia kwa zaidi ya miaka 33.
Katibu wa CCM, wilaya ya Mwanga, akisoma historia fupi ya Mzee Msuya kabla...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-18ak69GwNsQ/UtZauR1ya5I/AAAAAAAFHAU/0JPadsUnEmk/s1600/D92A7518.jpg)
RAIS JK AWAJULIA HALI WAZIRI MKUU MSTAAFU CLEOPA DAVID MSUYA NA WAZIRI HAROUN ALI SULEIMAN
11 years ago
Habarileo25 Apr
Cleopa Msuya aacha siasa
RAIS Jakaya Kikwete juzi aliongoza mamia ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi mkoani Kilimanjaro, katika sherehe za kumuaga aliyewahi kuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais, Cleopa Msuya, baada ya kutangaza kustaafu siasa.
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
IGP Mstaafu Philemoni Mgaya asherehekea miaka 85 ya kuzaliwa kwake huku Waziri Mkuu mstaafu Msuya akiwaasa watanzania
Na Mwandishi wetu
WAZIRI Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya amewaomba watanzania kuwa na tabia ya utii wa sheria, uaminifu na uadilifu katika nafasi zao wanazozitumukia katika Taifa la Tanzania.
Msuya aliyasema hayo katika sherehe ye kuadhimisha miaka 85 ya kuzaliwa ya aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Philemoni Mgaya iliyofanyika katika Hotel ya Protea , Court Yard jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mstaafu alieleza kuwa tabia aliyoionyesha Mgaya wakati wa utumishi wake serikalini...
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Cleopa Msuya alazwa Muhimbili
10 years ago
Michuzi07 Dec
Kanusho Kutoka Ofisi ya Mbunge na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa Kuhusu Uvumi Uliozagaa Kwenye Mitandao Mbalimbali ya Kijamii Kuwa Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Edward Lowassa Kulazwa nchini Ujerumani.
![](https://3.bp.blogspot.com/-oJh2Cn9yQak/VINKdRvDW8I/AAAAAAADJj4/0uJNUkCOwzk/s1600/28138-mmg24051.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qHcmC4yyDpE/VINK3s8Ur5I/AAAAAAADJkI/sMkDVFsuX7A/s1600/l1.jpg)
Taarifa zilizoenea zinaeleza kuwa Lowassa, ambaye wakati wote wa Mkutano wa 15/16 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano uliofanyika kwa wiki tatu, hakuwepo bungeni, amekuwa...
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Cleopa Msuya, Ali Suleiman waruhusiwa MNH
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-O-3gz__Ogsg/VVSFRUhAmWI/AAAAAAAHXQw/obHh9_iks3o/s72-c/PICHA.jpg)
IN MEMORIAM: 10TH ANNIVERSARY OF THE PASSING OF OUR BELOVED GEOFFREY CLEOPA MSUYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-O-3gz__Ogsg/VVSFRUhAmWI/AAAAAAAHXQw/obHh9_iks3o/s640/PICHA.jpg)
You may be physically gone, but you are forever treasured in our hearts and memories.
As we remember you today; we keep on thanking the Almighty God for the life we shared with you.
Always remembered and deeply missed by your father Mzee CD Msuya; wife Mary; sons Ngazo and Rumisha; sisters Joyce and Naanjela; brothers George, John, and Job; mother-in-law, sisters-in-law; brothers-in-law, nieces, nephews, relatives, and friends.
MAY...
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MSTAAFU AMKABIDHI RASMI OFISI WAZIRI MKUU MAJALIWA