Cleopa Msuya aacha siasa
RAIS Jakaya Kikwete juzi aliongoza mamia ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi mkoani Kilimanjaro, katika sherehe za kumuaga aliyewahi kuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais, Cleopa Msuya, baada ya kutangaza kustaafu siasa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MSTAAFU CLEOPA MSUYA ASTAAFU SIASA ,JK AMPONGEZA
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Cleopa Msuya alazwa Muhimbili
Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa Msuya amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Cleopa Msuya, Ali Suleiman waruhusiwa MNH
 Waziri Mkuu Mstaafu katika vipindi tofauti, Cleopa Msuya (84), ameruhusiwa kutoka katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), alipokuwa amelazwa, baada ya afya yake kuimarika.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-O-3gz__Ogsg/VVSFRUhAmWI/AAAAAAAHXQw/obHh9_iks3o/s72-c/PICHA.jpg)
IN MEMORIAM: 10TH ANNIVERSARY OF THE PASSING OF OUR BELOVED GEOFFREY CLEOPA MSUYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-O-3gz__Ogsg/VVSFRUhAmWI/AAAAAAAHXQw/obHh9_iks3o/s640/PICHA.jpg)
You may be physically gone, but you are forever treasured in our hearts and memories.
As we remember you today; we keep on thanking the Almighty God for the life we shared with you.
Always remembered and deeply missed by your father Mzee CD Msuya; wife Mary; sons Ngazo and Rumisha; sisters Joyce and Naanjela; brothers George, John, and Job; mother-in-law, sisters-in-law; brothers-in-law, nieces, nephews, relatives, and friends.
MAY...
10 years ago
Dewji Blog02 Sep
Mjadala ulioongozwa na Mjengwa; Cleopa Msuya na dhana ya maadili ya kiongozi urais 2015, sikiliza hapa
Waziri mkuu Mstaafu Cleopa Msuya.
Kusikiliza mjadala huo ulioongozwa na Maggid Mjengwa kupitia kipindi cha “Soko la habari la Kariakoo” unaweza kubofya hapa
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-18ak69GwNsQ/UtZauR1ya5I/AAAAAAAFHAU/0JPadsUnEmk/s1600/D92A7518.jpg)
RAIS JK AWAJULIA HALI WAZIRI MKUU MSTAAFU CLEOPA DAVID MSUYA NA WAZIRI HAROUN ALI SULEIMAN
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Waziri Mkuu Msaafu Mzee Cleopa David Msuya aliyelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili jana jijini Dar es Salaam. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakimjulia hali Waziri wa nchi Afisi ya Rais Kazi…
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Mosha aacha siasa, alia na wanafiki ndani ya CCM
Aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Moshi Mjini (CCM), Davis Mosha amedai kuwa chama hicho kimejaa wanafiki jambo lililochangia kuanguka kwake.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania