Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mosha aacha siasa, alia na wanafiki ndani ya CCM

Aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Moshi Mjini (CCM), Davis Mosha amedai kuwa chama hicho kimejaa wanafiki jambo lililochangia kuanguka kwake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Cleopa Msuya aacha siasa

RAIS Jakaya Kikwete juzi aliongoza mamia ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi mkoani Kilimanjaro, katika sherehe za kumuaga aliyewahi kuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais, Cleopa Msuya, baada ya kutangaza kustaafu siasa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbowe awaumbua wanafiki CCM

MJUMBE wa Bunge Maalumu, Freeman Mbowe, amewaumbua wajumbe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwa wengi wao ni wanafiki katika kuchangia mijadala na hoja bungeni. Mbowe alisema kutokana na unafiki huo,...

 

10 years ago

Habarileo

RC Dodoma alia na siasa za majitaka dhidi ya katiba

Chiku GallawaMKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa amepiga marufuku siasa chafu zinazoendeshwa mkoani hapa ambapo wananchi wamekuwa wakihamasishwa kutoipigia kura Katiba inayopendekezwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Mosha wa CCM apongeza ushindi wa Chadema Moshi

Aliyekuwa mgombea ubunge wa CCM Jimbo la Moshi Mjini, Davis Mosha amempongeza mpinzani wake, Jaffar Michael wa Chadema kwa kupata ushindi wa kishindo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Siasa sio mchezo mchafu bali CCM ndiyo yenye siasa chafu

SIASA safi ni kitu chema na siasa ni maisha na naamini Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai atakubaliana na mimi asilimia mia kwa hili na kama si kweli hapana shaka...

 

10 years ago

Habarileo

Mgombea CCM alia kusahauliwa

MMOJA wa wanachama wa CCM aliyejitokeza kuwania urais, Joseph Chaggama amesema vyombo vya habari vimemsahau, lakini akaahidi kuwa akipewa nafasi hiyo atafanya mageuzi makubwa katika kushughulikia rushwa na utawala wa sheria.

 

9 years ago

Mwananchi

Zitto alia rafu za CCM majimboni

Chama cha ACT-Wazalendo kimelalamikia rafu  zinazodaiwa kufanywa na  CCM, dhidi ya wagombea ubunge wa chama hicho kwenye  majimbo mbalimbali ya Tanzania Bara.

 

10 years ago

GPL

STEVE NYERERE, CHIKOKA NDANI YA SIASA

Mhamasishaji wa vijana CCM taifa, Juma Chikoka akiwa katika pozi. Juma Chikoka akijibu moja ya maswali aliyoulizwa na waandishi wa habari (hawapo pichani). Steve Nyerere akieleza lengo lake la kugombea ubunge katika Jimbo la Kinondoni, jijini Dar.…

 

11 years ago

Mwananchi

Mwaka 2014 uzae demokrasia ndani ya vyama vya siasa

Mwaka uliopita wa 2013 umekwisha huku vyama vya siasa vikipambana kulinda nafasi zao. Mambo mengi yametokea lakini kwanza tutazame kwa ufupi yaliyojitokeza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani