Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitto alia rafu za CCM majimboni

Chama cha ACT-Wazalendo kimelalamikia rafu  zinazodaiwa kufanywa na  CCM, dhidi ya wagombea ubunge wa chama hicho kwenye  majimbo mbalimbali ya Tanzania Bara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Nyalandu ‘alia’ na rafu za kisiasa

Lazaro NyalanduWAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ameeleza kusikitishwa kwake na siasa chafu zinazoanza kufanywa dhidi yake, ikiwa ni siku chache tangu atangaze kuwania Urais katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu.

 

9 years ago

Mwananchi

Kafulila alia kuchezewa rafu na Nec

Aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila ameituhumu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) kushirikiana na mtu aliyemwita kigogo kucheza mchezo wa kuhakikisha anashindwa katika kesi aliyofungua Mahakama Kuu kuiomba itengue ushindi wa Hasna Mwilima (CCM), na kumtangaza kada huyo wa NCCR-Mageuzi kuwa mbunge.

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM rafu tupu

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kwa kushirikiana na makada wa Chama cha ACT-Tanzania, wanadaiwa kuendesha mkakati wa kuvuruga uchaguzi wa kitaifa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ili kuzima...

 

10 years ago

Mwananchi

Wapinzani walia CCM kuwachezea rafu

Vyama vya CUF na Chadema vimekitupia lawama Chama cha Mapinduzi (CCM) vikidai kimecheza rafu katika mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaofanyika leo.

 

11 years ago

Mtanzania

Zitto alia na rushwa kwenye uchaguzi

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe

NA GRACE SHITUNDU

MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe, amesema wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika vyama vya siasa nchini wamekuwa wakivunja sheria ya uchaguzi ya mwaka 2010.

Alisema hatua ya kushindwa kuwasilisha ripoti ya matumizi ya fedha za uchaguzi kwa wagombea wa ubunge, urais na udiwani inakwenda kinyume na sheria.

Kauli hiyo aliitoa jana alipokuwa akizungumzia ripoti ya utafiti wa rushwa...

 

11 years ago

GPL

Zitto Kabwe alia na Samatta, Domayo

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe. Lucy Mgina na Martha Mboma
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ametaja kilichoinyima ushindi mkubwa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars), ilipocheza na Zimbabwe wikiendi iliyopita. Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars). Stars ilivaana na Zimbabwe kwenye mchezo wa awali wa kutafuta tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Mataifa ya… ...

 

10 years ago

Mwananchi

KUELEKEA MAJIMBONI: Patachimbika CCM na Ukawa majimbo ya Mvomero na Kilombero

>Leo tunaanza uchambuzi wa majimbo ya Mkoa wa Morogoro, tukiukamilisha mkoa huu tutakuwa tumehesabu jumla ya mikoa 17 ambayo tumefanikiwa kuchambua majimbo yote yaliyomo kwenye mikoa hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

KUELEKEA MAJIMBONI : CCM ina kazi majimbo ya Buchosa, Sengerema na Ukerewe

Wilaya ya Sengerema ni eneo lote la majimbo ya Sengerema na Buchosa yenye jumla ya kata 47, vijiji 153 na vitongoji 837. Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, Sengerema ina jumla ya wakazi 663,034, wanaume wakiwa 330,018, wanawake 333,016 na kuna wastani wa watu 6 katika kika kaya.

 

10 years ago

Mwananchi

KUELEKEA MAJIMBONI : Majimbo ya Sumbawanga Mjini, Kwela hayana mwenyewe Kalambo ni CCM

Uchambuzi wa leo unaangazia majimbo ya Sumbawanga Mjini, Kalambo na Kwela, yote yakiwa sehemu muhimu ya mkoa huu. Majimbo yote matatu kila moja lina hadhi ya wilaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani