Zitto alia na rushwa kwenye uchaguzi
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe
NA GRACE SHITUNDU
MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe, amesema wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika vyama vya siasa nchini wamekuwa wakivunja sheria ya uchaguzi ya mwaka 2010.
Alisema hatua ya kushindwa kuwasilisha ripoti ya matumizi ya fedha za uchaguzi kwa wagombea wa ubunge, urais na udiwani inakwenda kinyume na sheria.
Kauli hiyo aliitoa jana alipokuwa akizungumzia ripoti ya utafiti wa rushwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Rushwa kwenye uchaguzi inavyo wanyima wananchi viongozi bora
9 years ago
Dewji Blog10 Oct
VIDEO: Kemea Udini kwenye kampeni za Uchaguzi — Zitto Kabwe
Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe.
9 years ago
Dewji Blog18 Aug
Mwenyekiti wa UVCCM Singida, asema watoa rushwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu, wasichaguliwe
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Singida, Martin Lissu akizungumza kwenye mkutano mkuu wa Uchaguzi wa UVCCM Wilaya ya Singida Mjini juzi, Lissu alikemea vitendo vya rushwa ndani ya CCM.
Martin Lissu Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa wa Singida.
Katibu wa UVCCM, Wilaya ya Singida Mjini, Pamfil James akisoma taarifa ya chama kwa wajumbe wa mkutano mkuu huo.
Wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Singida wakiwa wanasubiri matokeo ya uchaguzi huo.
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa UVCCM Wilaya ya...
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Kabwe alia na zabuni za rushwa
10 years ago
Habarileo25 Jun
Mgombea urais alia kuombwa rushwa
MMOJA wa makada 39 wa CCM waliojitosa kuwania kuteuliwa na chama hicho kuwania urais wa Tanzania baadaye mwaka huu, Boniface Ndembo jana alirudisha fomu huku akilalamikia hali ya rushwa, akisema ni mbaya na kwamba kuna baadhi ya maeneo watu walitishia kumkataa kumdhamini kama asingetoa fedha.
10 years ago
Bongo Movies28 Mar
Marry Alia na Rushwa ya Ngono Bongo Movie
Msanii chipukizi wa filamu zakibongo, Marry Elias amewalalamikia baadhi ya watengeneza filamu kwa kuwanyanyasa na kuwadhalilisha wasanii chipukizi kwa kuwaomba rushwa ya ngono, msanii huyo anasema kuwa wasanii wasio majina ambao wanapofika katika usahili wa filamu ukwama hadi watoe rushwa ya ngono.
“Katika tasnia ya filamu Bongo kwa mtoto wa kike kuna changamoto nyingi lakini inayoniumiza ni baadhi ya wasanii kututaka kimapenzi ndio akupe kazi yake au anaweza asikupe kabisa na hiyo, ni...
9 years ago
Mwananchi29 Aug
Zitto alia rafu za CCM majimboni
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NOzw*b8EyMrlnxyKLdjPpGfJHPvPqgiQPMdPqalIav3GJjEFn9zZnh9c6-t7oHfcoWpI3oFnUVemoh*gS4VchRO0KsMVaeEg/maxresdefault.jpg?width=650)
Zitto Kabwe alia na Samatta, Domayo
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Roma alia kubanwa kwenye ‘KKK’
MKALI wa muziki wa hip hop nchini, Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ amevilalamikia baadhi ya vyombo vya habari kwa kukataa kupiga wimbo wake mpya unaojulikana kwa jina la ‘KKK’ hadi atakapofuta...