Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwenyekiti wa UVCCM Singida, asema watoa rushwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu, wasichaguliwe

mkt

Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Singida, Martin Lissu akizungumza kwenye mkutano mkuu wa Uchaguzi wa UVCCM Wilaya ya Singida Mjini juzi, Lissu alikemea vitendo vya rushwa ndani ya CCM.

lissu

Martin Lissu Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa wa Singida.

katibu

Katibu wa UVCCM, Wilaya ya Singida Mjini, Pamfil James akisoma taarifa ya chama kwa wajumbe wa mkutano mkuu huo.

wagombea

Wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Singida wakiwa wanasubiri matokeo ya uchaguzi huo.

wajumbe

Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa UVCCM Wilaya ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

MUFTI MKUU TANZANIA ASEMA HAKUTOKUWA NA HIJJA MWAKA HUU

  Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Abubakar Zubeir bin Ally kwa niaba ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), ametangaza kuwa mwaka huu hakutokuwa na ibada ya hijja hii ni kutokana na kauli iliyotolewa wiki hii na serikali ya Saudi Arabia kutokana na janga la Corona.
Abubakar Zubeir bin Ally ameyasema hayo leo Juni 25, 2020 wakati akiongea na waandishi wa habari ambapo ameeleza kuwa janga la Corona ndio limesababisha na haitakuwa kwa Tanzania pekee tu bali kwa Dunia nzima isipokuwa...

 

10 years ago

Bongo5

Mwana FA kutumbuiza kwa mara ya kwanza kwenye Fiesta mwaka huu mjini Singida

Baada ya kupagawisha wananchi wa Mbeya na shoo kali mwishoni mwa wiki iliyopita, tamasha la Serengeti Fiesta 2014 linaelekea Singida kukata kiu ya mashabiki wake ambao walikuwa wakilisubiri kwa hamu. Shoo hiyo iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu imepangwa kufanyika hapo October 3, katika uwanja wa Namfua. Wasanii watakaotumbuiza ni pamoja na Mwana FA, Nikki II, Makomando, […]

 

10 years ago

Michuzi

UCHAGUZI MKUU WA TBA KUFANYIKA JUNI 10 MWAKA HUU.

Na Avila Kakingo, Globu ya Jamii.
Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limesogeza mbele siku ya kufanya uchaguzi  wa Chama cha Mchezo wa Vinyoya Tanzania (TBA) ambapo unatarajiwa kufanyika Juni 10
mwaka huu katika ukumbi wa Baraza hilo.
Hayo yamesemwa na  Afisa habari Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Najaha Bakari wakati akizungumza na Mwandishi wetu kwa Njia ya simu.
 Pia Najaha amesema kuwa Baraza hilo linaongeza muda wa kuchukua na kurudisha fomu za Uchaguzi wa Viongozi wa Chama cha Mchezo wa...

 

11 years ago

GPL

UCHAGUZI MKUU TASWA KUFANYIKA FEBRUARI 16 MWAKA HUU

Katibu Mkuu wa Taswa, Amir Mhando. UCHAGUZI Mkuu wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), utafanyika Februari 16 mwaka huu jijini Dar es Salaam. Uamuzi huo ulifikiwa na kikao cha Kamati ya Utendaji ya TASWA  kilichofanyika Dar es Salaam jana kujadili masuala mbalimbali ya chama na waandishi wa habari za michezo kwa ujumla. Kikao kilikubaliana kuwa uchaguzi ufanyike kwa katiba ya zamani, kwani mchakato wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Sh. bilioni 268 kutumika Uchaguzi Mkuu mwaka huu

Zaidi ya Sh. bilioni 268 zinatarajiwa kutumikia katika Uchaguzi Mkuu wa mwezi Oktoba mwaka huu utakaowapa fursa Watanzania kuchagua madiwani, wabunge na Rais ajae.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, aliyasema hayo jana wakati akiahirisha Bunge mjini Dodoma na kuongeza kuwa maandalizi ya uchaguzi huo yanaenda vizuri.
Alisema vifaa mbalimbali kwa ajili kuufanikisha uchaguzi huo tayari vimeanza kununuliwa.

Pinda alisema kuwa miongoni mwa maandalizi ya uchaguzi huo ni uandikishaji wa daftari la kudumu la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwenyekiti UVCCM Singida asimamishwa

BARAZA Kuu la Umoja wa Vijana (UVCCM) Mkoa wa Singida limemsimamisha uongozi Mwenyekiti wao wa mkoa, Martin Labia Lissu kwa madai ya kushindwa kutoa utetezi dhidi ya tuhuma zilizokuwa zikimkabili....

 

10 years ago

Dewji Blog

NAPE: CCM haitaruhusu wanunua urais kupenya uchaguzi mkuu wa mwaka huu

A

MTUME na Nabii wa Kanisa la EFATHA Josephat Mwingira akimlaki kwa furaha, Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alipowasili katika ukumbini, kutoa mada kuhusu nafasi ya CCM na uhusiano wa CCM katika jamii, kwnye semina ya wachungaji wa kanisa hilo wa ndani na nje ya Tanzania, inayoendelea Kibahaka mkoa wa Pwani. Watatu kulia ni Mama Eliakunda Mwingira.

AA

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akitoa mada kwenye semina hiyo.

> . Asema wanapoteza muda na pesa zao

>. Awataka...

 

9 years ago

Michuzi

TAMASHA LA KUOMBEA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU KUFANYIKA OKTOBA 4 MWAKA HUU.

 Muandaaji wa matamasha hapa nchini Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari leo kuhusiana na maandalizi ya tamashala kuombea amani kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu. pia amesema kuwa katika tamasha hilo litahuzuliwa na watu mbalimbali akiwemo mwimbaji mahili wa nyimbo za Injili hapa nchini Rose Mhando pamoja na Solomoni mwimbaji wa nyimbo hizo Solomon Mkubwa ameyasema hayo katika ofisi zake zilizopo kinondoni jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mjumbe wa kamati ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani