NAPE: CCM haitaruhusu wanunua urais kupenya uchaguzi mkuu wa mwaka huu
MTUME na Nabii wa Kanisa la EFATHA Josephat Mwingira akimlaki kwa furaha, Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alipowasili katika ukumbini, kutoa mada kuhusu nafasi ya CCM na uhusiano wa CCM katika jamii, kwnye semina ya wachungaji wa kanisa hilo wa ndani na nje ya Tanzania, inayoendelea Kibahaka mkoa wa Pwani. Watatu kulia ni Mama Eliakunda Mwingira.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akitoa mada kwenye semina hiyo.
> . Asema wanapoteza muda na pesa zao
>. Awataka...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboCCM HAITARUHUSU WANUNUA URAIS 2015 WAPAMBE WAO WANAOENEZA TAARIFA ZA UONGO KUADHIBIWA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-d59iIJUBwKI/VaGkV-GKBTI/AAAAAAAAwhU/qH90pCm4bAU/s72-c/DSC_0007.jpg)
PICHA: MKUTANO MKUU MAALUM WA UCHAGUZI WA MGOMBEA WA URAIS KWA TIKETI YA CCM WAFANYIKA USIKU HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-d59iIJUBwKI/VaGkV-GKBTI/AAAAAAAAwhU/qH90pCm4bAU/s640/DSC_0007.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uVSra6c8ZxVFNmbn6U7I-e8jl2WUDfez8-FOqwyxPIbTd-YM1BYCPs7*QFs*jSMenSJfPTN1IFAwAUWK1LbqfM413ZqtrCCB/nyerere.jpg?width=650)
MWAKA WA UCHAGUZI UNAINGIA, WANUNUA UONGOZI WAKAMATWE!
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aQuT2LGMQ6M/VVs2D4rLpiI/AAAAAAAC4tg/8eGisUk0qeo/s72-c/KINYOYA.jpg)
UCHAGUZI MKUU WA TBA KUFANYIKA JUNI 10 MWAKA HUU.
![](http://1.bp.blogspot.com/-aQuT2LGMQ6M/VVs2D4rLpiI/AAAAAAAC4tg/8eGisUk0qeo/s320/KINYOYA.jpg)
Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limesogeza mbele siku ya kufanya uchaguzi wa Chama cha Mchezo wa Vinyoya Tanzania (TBA) ambapo unatarajiwa kufanyika Juni 10
mwaka huu katika ukumbi wa Baraza hilo.
Hayo yamesemwa na Afisa habari Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Najaha Bakari wakati akizungumza na Mwandishi wetu kwa Njia ya simu.
Pia Najaha amesema kuwa Baraza hilo linaongeza muda wa kuchukua na kurudisha fomu za Uchaguzi wa Viongozi wa Chama cha Mchezo wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoORSGJBhpIG6uCjboMYKY2zp0DSUul0a4xHDfsTZFMJGIeqtNunWukue6t2ZCwdj9wcJqViKMrEBvWNa5yYAjCNJ/amir.jpg)
UCHAGUZI MKUU TASWA KUFANYIKA FEBRUARI 16 MWAKA HUU
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-oUvQTl0b_1k/VBHeCrjmC-I/AAAAAAAC7sY/s-uiGY5YLjk/s72-c/10683687_491115444359256_3412387166859006512_o.jpg)
Sh. bilioni 268 kutumika Uchaguzi Mkuu mwaka huu
![](http://3.bp.blogspot.com/-oUvQTl0b_1k/VBHeCrjmC-I/AAAAAAAC7sY/s-uiGY5YLjk/s640/10683687_491115444359256_3412387166859006512_o.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, aliyasema hayo jana wakati akiahirisha Bunge mjini Dodoma na kuongeza kuwa maandalizi ya uchaguzi huo yanaenda vizuri.
Alisema vifaa mbalimbali kwa ajili kuufanikisha uchaguzi huo tayari vimeanza kununuliwa.
Pinda alisema kuwa miongoni mwa maandalizi ya uchaguzi huo ni uandikishaji wa daftari la kudumu la...
9 years ago
MichuziTAMASHA LA KUOMBEA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU KUFANYIKA OKTOBA 4 MWAKA HUU.
9 years ago
Dewji Blog18 Aug
Mwenyekiti wa UVCCM Singida, asema watoa rushwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu, wasichaguliwe
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Singida, Martin Lissu akizungumza kwenye mkutano mkuu wa Uchaguzi wa UVCCM Wilaya ya Singida Mjini juzi, Lissu alikemea vitendo vya rushwa ndani ya CCM.
Martin Lissu Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa wa Singida.
Katibu wa UVCCM, Wilaya ya Singida Mjini, Pamfil James akisoma taarifa ya chama kwa wajumbe wa mkutano mkuu huo.
Wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Singida wakiwa wanasubiri matokeo ya uchaguzi huo.
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa UVCCM Wilaya ya...