MWAKA WA UCHAGUZI UNAINGIA, WANUNUA UONGOZI WAKAMATWE!
![](http://api.ning.com:80/files/uVSra6c8ZxVFNmbn6U7I-e8jl2WUDfez8-FOqwyxPIbTd-YM1BYCPs7*QFs*jSMenSJfPTN1IFAwAUWK1LbqfM413ZqtrCCB/nyerere.jpg?width=650)
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Hakuhitajiki kusaka mnajimu au nabii ili kugundua kwamba mwaka 2015 unaoanza Alhamisi ijayo utakuwa na mivutano na misuguano mingi ya kisiasa hapa nchini. Hili ni jambo linaloeleweka hata kwa mtu ambaye ni mbumbumbu katika masuala ya kisiasa. Mwaka ujao zitafanyika chaguzi za ngazi mbalimbali ndani ya vyama vya siasa kuanzia ngazi ya udiwani, ubunge hadi urais kabla ya uchaguzi mkuu. Chaguzi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog20 Jan
NAPE: CCM haitaruhusu wanunua urais kupenya uchaguzi mkuu wa mwaka huu
MTUME na Nabii wa Kanisa la EFATHA Josephat Mwingira akimlaki kwa furaha, Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alipowasili katika ukumbini, kutoa mada kuhusu nafasi ya CCM na uhusiano wa CCM katika jamii, kwnye semina ya wachungaji wa kanisa hilo wa ndani na nje ya Tanzania, inayoendelea Kibahaka mkoa wa Pwani. Watatu kulia ni Mama Eliakunda Mwingira.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akitoa mada kwenye semina hiyo.
> . Asema wanapoteza muda na pesa zao
>. Awataka...
10 years ago
Habarileo06 Jul
JK: Wapuuzeni wanunua uongozi
RAIS Jakaya Kikwete, amesihi viongozi wa dini nchini kuwakataa kwa macho makavu wanasiasa wanaotumia kila njia kutafuta uongozi ikiwa ni pamoja na kutumia pesa, akisema hao ni maadui na kwamba wakisikilizwa na kuendekezwa, mchezo wao mchafu unaweza kugeuka mauti kwa Watanzania.
10 years ago
Mwananchi01 Jan
Mwaka wa uchaguzi,Kikwete atoa salamu za mwisho za mwaka
10 years ago
Michuzi16 Feb
9 years ago
Michuzi19 Aug
KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAELEKEZA UCHAGUZI WA TEFA KUFANYIKA AGOSTI 23 MWAKA HUU
10 years ago
Vijimambo25 Dec
SALAMU ZA KRISMASI NA KHERI YA MWAKA MPYA KUTOKA UONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA NEW YORK
![](http://cdn.playbuzz.com/cdn/54602225-eb1b-4c77-b4bf-dcdec5d184dd/0b9c9900-fdb7-4e10-9c5a-1d5c110c6313.jpg)
11 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AFUNGUA RASMI MAFUNZO YA TAASISI YA UONGOZI YA AFRIKA MASHARIKI KWA MWAKA 2014
10 years ago
Dewji Blog21 Mar
Mh. Lukuvi aagiza uongozi wa mkoa wa Manyara kumaliza migogoro ya ardhi kabla ya mwezi Mei mwaka huu
Mkuu wa mkoa wa Manyara ,Mhe.Joel Nkaya Bendera akizungumza katika kikao cha viongozi wa wilaya zote za mkoa huo kilichofanyika ofisi ya Mkuu wa Mkoa mjini Babati, kushoto ni Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Mhe.William Lukuvi na kulia ni Mkuu wa wilaya ya Babati, Crispin Meela.Mhe.Bendera amesisitiza nidhamu ya kazi katika kuhudumia wananchi na ameapa kuwaondoa watendaji wabovu mkoani humo.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe.William Lukuvi akizungumza katika...