JK: Wapuuzeni wanunua uongozi
RAIS Jakaya Kikwete, amesihi viongozi wa dini nchini kuwakataa kwa macho makavu wanasiasa wanaotumia kila njia kutafuta uongozi ikiwa ni pamoja na kutumia pesa, akisema hao ni maadui na kwamba wakisikilizwa na kuendekezwa, mchezo wao mchafu unaweza kugeuka mauti kwa Watanzania.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uVSra6c8ZxVFNmbn6U7I-e8jl2WUDfez8-FOqwyxPIbTd-YM1BYCPs7*QFs*jSMenSJfPTN1IFAwAUWK1LbqfM413ZqtrCCB/nyerere.jpg?width=650)
MWAKA WA UCHAGUZI UNAINGIA, WANUNUA UONGOZI WAKAMATWE!
10 years ago
Mwananchi21 Nov
Nape: Wapuuzeni wapinzani
11 years ago
Mwananchi25 Mar
UVCCM: Wapuuzeni wanaotaka kuwayumbisha
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GO1Rm-PT2prk-Jxvm*XWW6tie4C6xGEdHBlge4eUoCNtFN58eIBAML7D5kJn4MKYDh8f78qFf-3-pubFZawopLybq6*rJtyw/yanga.jpg?width=650)
Matajiri wanunua mabao ya Yanga
11 years ago
Uhuru Newspaper31 Jul
Wanunua mashine za kupakilia miwa
Na Igamba Libonge, Kilombero
CHAMA cha Wakulima wa Miwa cha Msolwa Ujamaa (MUCGA), wilayani Kilombero kimenunua mashine mbili za kupakilia miwa zenye thamani ya sh. milioni 264.8.
Chama hicho pia kwa mwaka huu kinatarajia kununua magari sita yenye thamani ya sh. milioni 400 kwa ajili ya kusombea miwa ya wanachama na kujenga ofisi mpya itakayowagharimu sh. milioni 250.
Hayo yamesemwa juzi na Mwenyekiti wa MUCGA, Sebastian Sangilindege, alipokuwa akisoma taarifa ya chama katika mkutano mkuu....
9 years ago
Mtanzania15 Sep
P-Square wanunua nyumba Atlanta
ATLANTA, MAREKANI
NYOTA wa muziki kutoka nchini Nigeria ambao wanaunda kundi la P-Square, Paul na Peter Okoye, wameonesha jeuri ya fedha baada ya kununua nyumba Atlanta, nchini Marekani.
Wasanii hao ambao wanatishia kwa utajiri barani Afrika, hiyo itakuwa ni nyumba yao ya tatu kuimiliki nchini Marekani.
Kupitia akaunti ya Instagram ya Paul, aliweka picha mbalimbali za nyumba hiyo na kuandika maneno ambayo yalisema: “Pongezi kwetu kwa kufanikisha zoezi la ununuzi wa nyumba nyingine, hii...
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Wazawa wanunua nusu ya hisa Tanzanite One
10 years ago
Habarileo02 Oct
Watoto wanunua simu kuwasiliana na wapenzi
IMEBAINIKA kuwa baadhi ya watoto wanaofanya shughuli za kiuchumi ndogondogo Kibaha mkoani, Pwani hudunduliza fedha kununua simu ili waweze kuwasiliana na wapenzi wao.
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Wasanii wanunua stika kwa pauni ya England