Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto wanunua simu kuwasiliana na wapenzi

IMEBAINIKA kuwa baadhi ya watoto wanaofanya shughuli za kiuchumi ndogondogo Kibaha mkoani, Pwani hudunduliza fedha kununua simu ili waweze kuwasiliana na wapenzi wao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SIMU YA TECNO CAMON 15 SASA YAZINDULIWA RASMI, WAPENZI WA VITU VIPYA WAKARIBISHWA

KAMPUNI ya simu za mkononi  ya TECNO, imezindua  rasmi simu yake mpya CAMON 15 ambayo imesheheni sifa mbalimbali ikiwemo  kamera ya nyuma yenye MP64 na mbele MP32 ambayo imewekewa  teknolojia  kubwa yenye uwezo wa kupiga picha mahali popote na wakati wowote.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa simu hiyo wiki hii jijini Dar es Salaam kupitia mitandao ya kijamii meneja uhusiano wa kampuni hiyo, Eric Mkomoya, alisema  simu hiyo itawasaidia sana watu wanaopenda  kutumia kamera katika nyanja...

 

9 years ago

Mtanzania

Watoto wa 50 Cent, Kanye West wapenzi?

50-centNEW YORK, MAREKANI

MSANII wa hip hop nchini Marekani, Curtis Jackson ‘50 Cent’ amemtaka msanii mwenzake, Kanye West, aondoe wasiwasi juu ya urafiki wa watoto wao.

50 Cent ana mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka mitatu, huku mtoto wa Kanye West akiwa na miaka miwili na sasa majina ya watoto hao yameanza kuwa na nafasi kubwa katika mitandao ya kijamii.

50 Cent kupitia akaunti yake ya Twitter aliandika kwamba mtoto wake, Sire ana sura zuri, huku akimtaka Kanye West asiwe na wasiwasi mwanawe...

 

11 years ago

BBCSwahili

Watoto waasiliwa na wapenzi wa jinsia moja

Mahakama mjini London yawaruhusu wapenzi wa jinsia moja kuasili watoto wa wazazi wa Slovakia walioshindwa kuwalea watoto hao

 

9 years ago

Bongo5

Tetesi: Justin Bieber na dada yake Kim Kardashian mwenye watoto watatu ni wapenzi?

justin-kourtney-435

Huenda Justin Bieber akawa amechoka kuwa na uhusiano na wasichana wenye umri sawa na wake na sasa anataka kulelewa.

justin-kourtney-435

Kuna tetesi kuwa Justin Bieber na dada yake Kim Kardashian, Kourtney ni wapenzi. Kourtney ana watoto watatu aliozaa na Scott Dissick.

Bieber, 21 na Kourtney, 36, wameonekana kuwa karibu kuliko kawaida siku za hivi karibuni.

Bieber alizikuza zaidi tetesi hizo baada ya kuweka picha hiyo chini na kuandika, “Lord knows” na wengi kutafsiri kama ni diss kwa Dissick ambaye hujiita...

 

10 years ago

GPL

MAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Zantel, Pratap Ghose (katikati), akimkaribisha  Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda wakati akiwasili kwenye hafla ya kuzindua kisima cha maji safi katika Kituo cha Watoto Yatima cha Watoto Wetu Tanzania kilichopo Mbezi Suka Dar es Salaam jana. DC Makonda akisaini katika kitabu cha wageni katika kituo hicho.… ...

 

10 years ago

Vijimambo

DC WA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Zantel, Pratap Ghose (katikati), akimkaribisha Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda wakati akiwasili kwenye hafla ya kuzindua kisima cha maji safi katika Kituo cha Watoto Yatima cha Watoto Wetu Tanzania kilichopo Mbezi Suka Dar es Salaam jana.DC Makonda akisaini katika kitabu cha wageni katika kituo hicho.Mmoja wa vijana wa kituo hicho akiigiza igizo kuonesha changamoto zinazowakabili watoto waishio katika mazingira hatarishi.Mkuu wa Kituo cha...

 

10 years ago

Vijimambo

Wakati Wengine Wakitambulisha Wapenzi Wao Ali Kiba kaanza Mwaka kwa Kuwatambulisha Watoto wake kwa Mashabiki

"Nawapenda sana watoto wangu! Kingine ambacho kinabeba na kita endelea kubeba uzito kwenye maisha yangu ni familia yangu na hasa watoto wangu. Wananipa FURAHA sana. Inshaallah Mwenyezi Mungu awalinde siku zote, Amin

 

5 years ago

BBCSwahili

Mauaji: Wanawake wanauwezekano mkubwa wa kuuliwa na wapenzi wao au waliokua wapenzi wao

Ripoti inasema kuwa asilimia 61 ya wanawake waliuawa na wanaume au waliuliwa na wapenzi wao wa sasa au wa zamani.

 

9 years ago

Mtanzania

Hamilton apigwa ‘stop’ kuwasiliana na Rihanna

Hamiliton na RihannaNEW YORK, Marekani

NYOTA wa mbio za magari, Lewis Hamilton, amepigwa marufuku na mchumba wake, Nicole Scherzinger, kuendelea kuwasiliana na mwanamitindo na mwanamuziki mashuhuri nchini Marekani, Rihanna.

Kauli ya mwanadada huyo kumpiga ‘stop’ mpenzi wake huyo kunatokana na tetesi kwamba nyota huyo wa mbio za magari ana uhusiano wa kimapenzi na mwanamuziki Rihanna.

“Nimemwambia Hamilton akate mawasiliano na Rihanna na kama hataki akate mawasiliano na mimi ili wawe na uhuru.

“Nimempa muda wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani