Watoto wanunua simu kuwasiliana na wapenzi
IMEBAINIKA kuwa baadhi ya watoto wanaofanya shughuli za kiuchumi ndogondogo Kibaha mkoani, Pwani hudunduliza fedha kununua simu ili waweze kuwasiliana na wapenzi wao.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SGWaOkf8ZAo/XpsRamJjeQI/AAAAAAALnU8/o1hxwyL_RbwuFvuqMbeCQaMa-04ApY-lgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-18%2Bat%2B5.19.54%2BPM.jpeg)
SIMU YA TECNO CAMON 15 SASA YAZINDULIWA RASMI, WAPENZI WA VITU VIPYA WAKARIBISHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-SGWaOkf8ZAo/XpsRamJjeQI/AAAAAAALnU8/o1hxwyL_RbwuFvuqMbeCQaMa-04ApY-lgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-18%2Bat%2B5.19.54%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-lUYgLIwASe4/XpsRaWkPgQI/AAAAAAALnU4/TW4E5j2i1H0NLsKQ5_SyHwUOEz3SFSNZACLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-18%2Bat%2B5.19.46%2BPM.jpeg)
9 years ago
Mtanzania16 Sep
Watoto wa 50 Cent, Kanye West wapenzi?
NEW YORK, MAREKANI
MSANII wa hip hop nchini Marekani, Curtis Jackson ‘50 Cent’ amemtaka msanii mwenzake, Kanye West, aondoe wasiwasi juu ya urafiki wa watoto wao.
50 Cent ana mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka mitatu, huku mtoto wa Kanye West akiwa na miaka miwili na sasa majina ya watoto hao yameanza kuwa na nafasi kubwa katika mitandao ya kijamii.
50 Cent kupitia akaunti yake ya Twitter aliandika kwamba mtoto wake, Sire ana sura zuri, huku akimtaka Kanye West asiwe na wasiwasi mwanawe...
11 years ago
BBCSwahili24 May
Watoto waasiliwa na wapenzi wa jinsia moja
9 years ago
Bongo515 Dec
Tetesi: Justin Bieber na dada yake Kim Kardashian mwenye watoto watatu ni wapenzi?
![justin-kourtney-435](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/justin-kourtney-435-300x194.jpg)
Huenda Justin Bieber akawa amechoka kuwa na uhusiano na wasichana wenye umri sawa na wake na sasa anataka kulelewa.
Kuna tetesi kuwa Justin Bieber na dada yake Kim Kardashian, Kourtney ni wapenzi. Kourtney ana watoto watatu aliozaa na Scott Dissick.
Bieber, 21 na Kourtney, 36, wameonekana kuwa karibu kuliko kawaida siku za hivi karibuni.
Bieber alizikuza zaidi tetesi hizo baada ya kuweka picha hiyo chini na kuandika, “Lord knows” na wengi kutafsiri kama ni diss kwa Dissick ambaye hujiita...
10 years ago
GPLMAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL
10 years ago
VijimamboDC WA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-uz7hKnDTrrQ/VKvgkdOzzvI/AAAAAAAAmGI/9Fag14DeEO0/s72-c/watoto%2Bwa%2Bali%2Bkiba.jpg)
Wakati Wengine Wakitambulisha Wapenzi Wao Ali Kiba kaanza Mwaka kwa Kuwatambulisha Watoto wake kwa Mashabiki
![](http://1.bp.blogspot.com/-uz7hKnDTrrQ/VKvgkdOzzvI/AAAAAAAAmGI/9Fag14DeEO0/s640/watoto%2Bwa%2Bali%2Bkiba.jpg)
5 years ago
BBCSwahili21 Feb
Mauaji: Wanawake wanauwezekano mkubwa wa kuuliwa na wapenzi wao au waliokua wapenzi wao
9 years ago
Mtanzania07 Sep
Hamilton apigwa ‘stop’ kuwasiliana na Rihanna
NEW YORK, Marekani
NYOTA wa mbio za magari, Lewis Hamilton, amepigwa marufuku na mchumba wake, Nicole Scherzinger, kuendelea kuwasiliana na mwanamitindo na mwanamuziki mashuhuri nchini Marekani, Rihanna.
Kauli ya mwanadada huyo kumpiga ‘stop’ mpenzi wake huyo kunatokana na tetesi kwamba nyota huyo wa mbio za magari ana uhusiano wa kimapenzi na mwanamuziki Rihanna.
“Nimemwambia Hamilton akate mawasiliano na Rihanna na kama hataki akate mawasiliano na mimi ili wawe na uhuru.
“Nimempa muda wa...