Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIMU YA TECNO CAMON 15 SASA YAZINDULIWA RASMI, WAPENZI WA VITU VIPYA WAKARIBISHWA

KAMPUNI ya simu za mkononi  ya TECNO, imezindua  rasmi simu yake mpya CAMON 15 ambayo imesheheni sifa mbalimbali ikiwemo  kamera ya nyuma yenye MP64 na mbele MP32 ambayo imewekewa  teknolojia  kubwa yenye uwezo wa kupiga picha mahali popote na wakati wowote.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa simu hiyo wiki hii jijini Dar es Salaam kupitia mitandao ya kijamii meneja uhusiano wa kampuni hiyo, Eric Mkomoya, alisema  simu hiyo itawasaidia sana watu wanaopenda  kutumia kamera katika nyanja...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

GSMArena.Com

Tecno Camon 15 and Camon 15 Pro bring 48 MP quad cameras for on the cheap - GSMArena.com news

Tecno Camon 15 and Camon 15 Pro bring 48 MP quad cameras for on the cheap - GSMArena.com news  GSMArena.comTecno launches Camon 15, Camon 15 Pro in India: Price, Features and more  India TV NewsView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Michuzi

TECNO yaja kivingine, kuzindua simu mpya CAMON 15 kwa njia ya mtandao Tanzania

KAMPUNI ya simu za mkononi ya TECNO inatarajia kuandika historia Tanzania kwa kuzindua simu yake mpya ya CAMON15 Aprili 15 mwaka huu kwa kutumia mitandao ya kijamii yaani ‘Online Launch’.Akizungumzia kuhusu uzinduzi huo katika ofisi za TECNO jiijini Dar es Salaam leo afisa masoko wa TECNO mtandaoni, Salma Shafi amesema hii ni fursa kwa kampuni hiyo kuwasiliana na wateja wake na Watanzania wote kwa ujumla kupitia teknolojia ya intanteti.
“Hii sio tu nafasi nzuri kwa TECNO kuwasiliana na wateja...

 

5 years ago

Michuzi

WATUMIAJI WA TECNO CAMON 15 WAFUNGUKA

IKIWA ni takriban mwezi mmoja umepita tangu kampuni ya simu za mkononi ya TECNO kuzindua simu yake mpya CAMON 15 kwa njia ya mtandao, watumiaji wengi wa simu hiyo wameeleza namna simu hiyo ya CAMON 15 ilivyo na utofauti na simu za makampuni mengine na matoleo yake yaliyopita.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika maduka ya TECNO kuhusu simu hiyo, watumiaji hao wamekiri kuwa CAMON 15 imekata kiu yao ya kile walichokuwa wanakihitaji siku zote kutokana na kuridhishwa na ufanisi wa mifumo...

 

5 years ago

Michuzi

SASA TECNO SPARK 5 YENYE KAMERA 5 RASMI SOKONI

KAMPUNI ya simu za mkononi ya TECNO imetangaza rasmi kuzindua  simu yake mpya TECNO SPARK 5 yenye kamera tano ambapo uzinduzi huo umefanyika Jijini Dar es Salaam moja kwa moja kupitia mitandao ya kijamii zikiwemo kurasa za mitandao ya kijamii za TECNO.
Akizungumza wakati wa uzinduzi huo meneja mauzo wa TECNO, Mariam Mohamed alisema uzinduzi wa simu hiyo umekuja ukiwa umeambatana na kifurushi cha zawadi kwa wateja yaani (Gift Box) ambayo ni maalum kwaajili ya mteja yeyote anayenunua TECNO...

 

9 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA SIMU YA TECNO YAZINDUA SIMU MPYA YA PHANTOM 5 WENGI WAICHANGAMKIA

  Meneja Mauzo wa Simu za Tecno, Fred Kadilana akionesha simu aina ya Phanton 5 wakati wa uzinduzi wa tolea jipya la simu hizo uliofanyika Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wadau mbalimbli wakiwa kwenye uzinduzi huo. Uzinduzi wa simu hiyo toleo jipya ukiendelea.

 Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.  Meneja Mauzo wa Simu za Tecno, Fred Kadilana  (kulia), akiwagawia zawadi ya simu hiyo baadhi ya waandishi waliouliza maswali mbalimbali. Wanahabari wakipokea zawadi ya simu hiyo ya kisasa toleo...

 

9 years ago

Bongo5

Tecno C8 sio simu, ni simu bora zaidi

Ikiwa inaendelea kuwajali wateja wake na kutambua umuhimu wa kuwapa kilicho bora zaidi, TECNO inakuletea simu mpya aina ya TECNO CAMON C8. TECNO C8 ni simu iliyotukuka ikiwa na programu mama ya Android 5.0 Lollipop, uwezo wa kuhifadhi vitu wa GB 16, kioo cha HD chenye inch 5.5, lakini haikuishia hapo. TECNO C8 ina flash […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Skylight Band yazidi kuwapagawisha mashabiki wake njoo leo uone vitu vipya

DSC_0340

Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47 akiimba mmoja ya nyimbo yenye hisia kali sambamba na msanii mwenzake Sam Mapenzi kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar Sony Masamba akiendelea kutoa burudani huku akisindikizwa na wanamziki wenzake ambao ni Aneth Kushaba(wa pili kutoka kulia) pamoja na Sam Mapenzi(Kulia)

Ashura Kitenge akiimba kwa pamoja na Sam Mapenzi mbele ya mashabiki wa Skylight Band(hawapo pichani) kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar

Sam Mapenzi...

 

10 years ago

GPL

SKYLIGHT BAND YAZIDI KUWAPAGAWISHA MASHABIKI WAKE NJOO LEO UONE VITU VIPYA‏

Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47 akiimba mmoja ya nyimbo yenye hisia kali sambamba na msanii mwenzake Sam Mapenzi kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar Sony Masamba akiendelea kutoa burudani huku akisindikizwa na wanamziki wenzake ambao ni Aneth Kushaba(wa pili kutoka kulia) pamoja na Sam Mapenzi(Kulia) Ashura Kitenge akiimba kwa pamoja na Sam Mapenzi mbele ya mashabiki wa Skylight Band(hawapo pichani)...

 

10 years ago

Vijimambo

Ali Kiba Afanya Vitu Vyake na Kuwapagaisha Wapenzi wa Tamasha la Busara Zenj.

Ali Kiba akilishambulia jukwaa wakati wa onesho lake la ufunguzi wa Tamasha la Busara lililoanza jana katika viwanja vya Ngome Kongwe Zenj na kuwavutia Wageni wengi waliofika katika viwanja hivyo akipiga mziki laivuAli Kiba akifanya vitu vyake katika jukwaa la Tamasha la Sauti za Busara Zenj jana usiku.Wasanii wa kikundi cha Ali Kiba wakitowa burudani katika onesho lao katika viwanja vya Ngomekongwe Zenj Wapenzi wa muziki wakiwa katika viwanja vya Ngomekongwe wakifuatilia Tamasha hilo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani