TECNO yaja kivingine, kuzindua simu mpya CAMON 15 kwa njia ya mtandao Tanzania
![](https://1.bp.blogspot.com/-kOFI-56haHo/XpX2MqWhA7I/AAAAAAALm8g/kPVyf443NRM5gfpfpUT__hH6-do3uZtwgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-14%2Bat%2B8.09.20%2BPM.jpeg)
KAMPUNI ya simu za mkononi ya TECNO inatarajia kuandika historia Tanzania kwa kuzindua simu yake mpya ya CAMON15 Aprili 15 mwaka huu kwa kutumia mitandao ya kijamii yaani ‘Online Launch’.Akizungumzia kuhusu uzinduzi huo katika ofisi za TECNO jiijini Dar es Salaam leo afisa masoko wa TECNO mtandaoni, Salma Shafi amesema hii ni fursa kwa kampuni hiyo kuwasiliana na wateja wake na Watanzania wote kwa ujumla kupitia teknolojia ya intanteti.
“Hii sio tu nafasi nzuri kwa TECNO kuwasiliana na wateja...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
GSMArena.Com20 Feb
Tecno Camon 15 and Camon 15 Pro bring 48 MP quad cameras for on the cheap - GSMArena.com news
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SGWaOkf8ZAo/XpsRamJjeQI/AAAAAAALnU8/o1hxwyL_RbwuFvuqMbeCQaMa-04ApY-lgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-18%2Bat%2B5.19.54%2BPM.jpeg)
SIMU YA TECNO CAMON 15 SASA YAZINDULIWA RASMI, WAPENZI WA VITU VIPYA WAKARIBISHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-SGWaOkf8ZAo/XpsRamJjeQI/AAAAAAALnU8/o1hxwyL_RbwuFvuqMbeCQaMa-04ApY-lgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-18%2Bat%2B5.19.54%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-lUYgLIwASe4/XpsRaWkPgQI/AAAAAAALnU4/TW4E5j2i1H0NLsKQ5_SyHwUOEz3SFSNZACLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-18%2Bat%2B5.19.46%2BPM.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NY0_pXMwCZs/XqgpndQvHII/AAAAAAAA34Q/1QCq1TFqoqgeAMzy0et4ePVm6Wk5YNK7wCNcBGAsYHQ/s72-c/haki.jpg)
LHRC KUZINDUA RIPOTI YA HAKI ZA BINADAMU TANZANIA 2019 KWA NJIA YA MTANDAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-NY0_pXMwCZs/XqgpndQvHII/AAAAAAAA34Q/1QCq1TFqoqgeAMzy0et4ePVm6Wk5YNK7wCNcBGAsYHQ/s640/haki.jpg)
RIPOTI imepangwa kuzinduliwa Jumatano, Aprili 29, 2020 kupitia mtandao wa YouTube (Haki TV), mtandao wa Zoom na mitandao ya Twitter, Facebook na Instagram.
Kwa mujibu wa LHRC, hii ni mara ya kwanza kwa shirika hilo la utetezi wa haki za binadamu hapa nchini kuzindua ripoti kwa njia ya kidigitali tangu walipoanza kuchapisha ripoti hiyo mwaka...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MJemUTqR2Q0/VDMo5rfC12I/AAAAAAAGoc4/wrGqOk-YSAM/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
UNUNUAJI NA UUZAJI WA BIDHAA UMERAHISISHWA — KAMPUNI YA MASOKO KWA NJIA YA MTANDAO YAZINDUA “APP” YA SIMU ZA MKONONI TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-MJemUTqR2Q0/VDMo5rfC12I/AAAAAAAGoc4/wrGqOk-YSAM/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
Mchakato wa uuzaji na ununuaji wa bidhaa umerahisishwa sana kwa kadri waendashaji wa makampuni ya biashara kwa njia ya intaneti wanavyozidi kuwa wabunifu na wagunduzi zaidi. Kaymu Tanzania, kampuni inayoongoza kwa kuuza na kununua vitu kwa njia ya mtandao imejitanua zaidi baada ya kuzindua app (programu ya simu) yake Septemba 2014.Kaymu Tanzania imezindua huduma zake za kwanza za programu ya simu nchini, hivyo kuwawezesha watumiaji wa Android kufanya manunuzi ya bidhaa na kuweka oda moja kwa...
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TECNO YAZINDUA SIMU MPYA YA PHANTOM 5 WENGI WAICHANGAMKIA
10 years ago
Michuzi28 Jun
Smart Gulio. Soko Jipya la Simu na tablets Tanzania kwa njia ya Mtandao, Uza na Nunua kifaa Cha smart Buree
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qyW16-_hvBQ/XsJysvTtJRI/AAAAAAALqoo/xoBKHPBxB9wMY1Z_6xZPKVMkgfFkp9tmQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B2.19.01%2BPM.jpeg)
WATUMIAJI WA TECNO CAMON 15 WAFUNGUKA
Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika maduka ya TECNO kuhusu simu hiyo, watumiaji hao wamekiri kuwa CAMON 15 imekata kiu yao ya kile walichokuwa wanakihitaji siku zote kutokana na kuridhishwa na ufanisi wa mifumo...
9 years ago
Bongo516 Oct
Video: Ifahamu simu mpya ya Tecno, Phantom 5
9 years ago
Bongo512 Oct
Picha: Tecno yaizindua simu mpya, ni Phantom 5