WATUMIAJI WA TECNO CAMON 15 WAFUNGUKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-qyW16-_hvBQ/XsJysvTtJRI/AAAAAAALqoo/xoBKHPBxB9wMY1Z_6xZPKVMkgfFkp9tmQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B2.19.01%2BPM.jpeg)
IKIWA ni takriban mwezi mmoja umepita tangu kampuni ya simu za mkononi ya TECNO kuzindua simu yake mpya CAMON 15 kwa njia ya mtandao, watumiaji wengi wa simu hiyo wameeleza namna simu hiyo ya CAMON 15 ilivyo na utofauti na simu za makampuni mengine na matoleo yake yaliyopita.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika maduka ya TECNO kuhusu simu hiyo, watumiaji hao wamekiri kuwa CAMON 15 imekata kiu yao ya kile walichokuwa wanakihitaji siku zote kutokana na kuridhishwa na ufanisi wa mifumo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
GSMArena.Com20 Feb
Tecno Camon 15 and Camon 15 Pro bring 48 MP quad cameras for on the cheap - GSMArena.com news
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SGWaOkf8ZAo/XpsRamJjeQI/AAAAAAALnU8/o1hxwyL_RbwuFvuqMbeCQaMa-04ApY-lgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-18%2Bat%2B5.19.54%2BPM.jpeg)
SIMU YA TECNO CAMON 15 SASA YAZINDULIWA RASMI, WAPENZI WA VITU VIPYA WAKARIBISHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-SGWaOkf8ZAo/XpsRamJjeQI/AAAAAAALnU8/o1hxwyL_RbwuFvuqMbeCQaMa-04ApY-lgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-18%2Bat%2B5.19.54%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-lUYgLIwASe4/XpsRaWkPgQI/AAAAAAALnU4/TW4E5j2i1H0NLsKQ5_SyHwUOEz3SFSNZACLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-18%2Bat%2B5.19.46%2BPM.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kOFI-56haHo/XpX2MqWhA7I/AAAAAAALm8g/kPVyf443NRM5gfpfpUT__hH6-do3uZtwgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-14%2Bat%2B8.09.20%2BPM.jpeg)
TECNO yaja kivingine, kuzindua simu mpya CAMON 15 kwa njia ya mtandao Tanzania
“Hii sio tu nafasi nzuri kwa TECNO kuwasiliana na wateja...
10 years ago
Mtanzania30 May
Wananchi Monduli wafunguka
NA ELIYA MBONEA, MONDULI
BAADHI ya wananchi wa Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha, wamezungumzia hatua ya Mbunge wao, Edward Lowassa, kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwania nafasi ya urais, wakisema kuwa anatosha.
Kwa nyakati tofauti, wananchi hao wameliambia MTANZANIA Jumamosi kuwa wapo nyuma ya kiongozi huyo na wataendelea kumuombea kwa Mungu ili achaguliwe na hatimaye kuwa Rais wa Tanzania mara baada ya kukamilika kwa uchaguzi mkuu Oktoba 25, mwaka huu.
Mkazi wa Dukabovu...
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Walionunua IPTL wafunguka
10 years ago
Mtanzania05 Feb
Gwajima, Flora Mbasha wafunguka
Elias Msuya na Fredy Azzah, Dar es Salaam
SIKU chache baada ya picha za mtoto mchanga kusambazwa katika mitandao ya kijamii na kudai kuwa ni za mtoto wa mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini, Flora Mbasha kuwa amezaa na Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima hatimaye wawili hao wamefunguka.
Hatua hiyo imekuja miezi saba tangu wawili hao walipoingia katika mgogoro wa ndoa yao hali iliyosababisha mume wa Flora, Emmanuel Mbasha kufikishwa mahakamani kwa kosa la...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Wajasiriamali wafunguka mashine za EFD
HIVI karibuni Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) chini ya Idara ya Elimu kwa Mlipa Kodi Mkoa wa Temeke, Dar es Salaam, waliendesha semina ya siku tatu kwa wafanyabiashara. Lengo lilikuwa...
10 years ago
Mtanzania01 Dec
Waliojitoa mhanga IPTL wafunguka
Na Fredy AZZAH
KUHITIMISHWA kwa mjadala wa kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow bungeni, kumeacha taifa na baadhi ya watu wanaoweza kujipambanua kuwa vinara wa kupinga wizi na wengine wakiwa kwenye mtandao wa kuutetea.
Hatua hiyo ilijidhihirisha kwenye mjadala wa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), iliyowasilishwa bungeni na Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC).
Baadhi ya wabunge waliosimamia kuchukuliwa hatua kwa...
10 years ago
Habarileo10 Nov
UVCCM wafunguka kuhusu mgombea urais
BARAZA Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM, limetaka mchakato wa kumpata mgombea wa urais katika uchaguzi mkuu wa mwakani, uanze mapema.