Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATUMIAJI WA TECNO CAMON 15 WAFUNGUKA

IKIWA ni takriban mwezi mmoja umepita tangu kampuni ya simu za mkononi ya TECNO kuzindua simu yake mpya CAMON 15 kwa njia ya mtandao, watumiaji wengi wa simu hiyo wameeleza namna simu hiyo ya CAMON 15 ilivyo na utofauti na simu za makampuni mengine na matoleo yake yaliyopita.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika maduka ya TECNO kuhusu simu hiyo, watumiaji hao wamekiri kuwa CAMON 15 imekata kiu yao ya kile walichokuwa wanakihitaji siku zote kutokana na kuridhishwa na ufanisi wa mifumo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

GSMArena.Com

Tecno Camon 15 and Camon 15 Pro bring 48 MP quad cameras for on the cheap - GSMArena.com news

Tecno Camon 15 and Camon 15 Pro bring 48 MP quad cameras for on the cheap - GSMArena.com news  GSMArena.comTecno launches Camon 15, Camon 15 Pro in India: Price, Features and more  India TV NewsView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Michuzi

SIMU YA TECNO CAMON 15 SASA YAZINDULIWA RASMI, WAPENZI WA VITU VIPYA WAKARIBISHWA

KAMPUNI ya simu za mkononi  ya TECNO, imezindua  rasmi simu yake mpya CAMON 15 ambayo imesheheni sifa mbalimbali ikiwemo  kamera ya nyuma yenye MP64 na mbele MP32 ambayo imewekewa  teknolojia  kubwa yenye uwezo wa kupiga picha mahali popote na wakati wowote.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa simu hiyo wiki hii jijini Dar es Salaam kupitia mitandao ya kijamii meneja uhusiano wa kampuni hiyo, Eric Mkomoya, alisema  simu hiyo itawasaidia sana watu wanaopenda  kutumia kamera katika nyanja...

 

5 years ago

Michuzi

TECNO yaja kivingine, kuzindua simu mpya CAMON 15 kwa njia ya mtandao Tanzania

KAMPUNI ya simu za mkononi ya TECNO inatarajia kuandika historia Tanzania kwa kuzindua simu yake mpya ya CAMON15 Aprili 15 mwaka huu kwa kutumia mitandao ya kijamii yaani ‘Online Launch’.Akizungumzia kuhusu uzinduzi huo katika ofisi za TECNO jiijini Dar es Salaam leo afisa masoko wa TECNO mtandaoni, Salma Shafi amesema hii ni fursa kwa kampuni hiyo kuwasiliana na wateja wake na Watanzania wote kwa ujumla kupitia teknolojia ya intanteti.
“Hii sio tu nafasi nzuri kwa TECNO kuwasiliana na wateja...

 

10 years ago

Mtanzania

Wananchi Monduli wafunguka

?????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????NA ELIYA MBONEA, MONDULI
BAADHI ya wananchi wa Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha, wamezungumzia hatua ya Mbunge wao, Edward Lowassa, kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwania nafasi ya urais, wakisema kuwa anatosha.
Kwa nyakati tofauti, wananchi hao wameliambia MTANZANIA Jumamosi kuwa wapo nyuma ya kiongozi huyo na wataendelea kumuombea kwa Mungu ili achaguliwe na hatimaye kuwa Rais wa Tanzania mara baada ya kukamilika kwa uchaguzi mkuu Oktoba 25, mwaka huu.
Mkazi wa Dukabovu...

 

11 years ago

Mwananchi

Walionunua IPTL wafunguka

Wiki iliyopita gazeti hili liliandika kwamba fedha hizo zilitolewa baada ya Serikali kuamua kumaliza shauri hilo na hapo ndipo fedha hizo zilipochukuliwa katika akaunti hiyo na PAP.

 

10 years ago

Mtanzania

Gwajima, Flora Mbasha wafunguka

gwajima2flora_mbasha3_1Elias Msuya na Fredy Azzah, Dar es Salaam
SIKU chache baada ya picha za mtoto mchanga kusambazwa katika mitandao ya kijamii na kudai kuwa ni za mtoto wa mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini, Flora Mbasha kuwa amezaa na Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima hatimaye wawili hao wamefunguka.
Hatua hiyo imekuja miezi saba tangu wawili hao walipoingia katika mgogoro wa ndoa yao hali iliyosababisha mume wa Flora, Emmanuel Mbasha kufikishwa mahakamani kwa kosa la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajasiriamali wafunguka mashine za EFD

HIVI karibuni Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) chini ya Idara ya Elimu kwa Mlipa Kodi Mkoa wa Temeke, Dar es Salaam, waliendesha semina ya siku tatu kwa wafanyabiashara. Lengo lilikuwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Waliojitoa mhanga IPTL wafunguka

mtanzania011214Na Fredy AZZAH

KUHITIMISHWA kwa mjadala wa kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow bungeni, kumeacha taifa na baadhi ya watu wanaoweza kujipambanua kuwa vinara wa kupinga wizi na wengine wakiwa kwenye mtandao wa kuutetea.

Hatua hiyo ilijidhihirisha kwenye mjadala wa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), iliyowasilishwa bungeni na Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC).

Baadhi ya wabunge waliosimamia kuchukuliwa hatua kwa...

 

10 years ago

Habarileo

UVCCM wafunguka kuhusu mgombea urais

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali IddiBARAZA Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM, limetaka mchakato wa kumpata mgombea wa urais katika uchaguzi mkuu wa mwakani, uanze mapema.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani