Wananchi Monduli wafunguka
NA ELIYA MBONEA, MONDULI
BAADHI ya wananchi wa Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha, wamezungumzia hatua ya Mbunge wao, Edward Lowassa, kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwania nafasi ya urais, wakisema kuwa anatosha.
Kwa nyakati tofauti, wananchi hao wameliambia MTANZANIA Jumamosi kuwa wapo nyuma ya kiongozi huyo na wataendelea kumuombea kwa Mungu ili achaguliwe na hatimaye kuwa Rais wa Tanzania mara baada ya kukamilika kwa uchaguzi mkuu Oktoba 25, mwaka huu.
Mkazi wa Dukabovu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-meZF6Zbf2l4/VRf9lJzpmLI/AAAAAAADRrI/NoRTgYkCxz4/s72-c/sdgds.jpg)
WANANCHI KUTOKA MARA WAWASILI KWA WAZIRI MKUU MSTAAFU NA MBUNGE WA MONDULI EDWARD LOWASSA MONDULI,WAMKOSA WAELEZEA UJIO WAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-meZF6Zbf2l4/VRf9lJzpmLI/AAAAAAADRrI/NoRTgYkCxz4/s1600/sdgds.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aerxu2mR3I8/VRf9hYkX_yI/AAAAAAADRq4/drpO59LINgM/s1600/gdg.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cUcqGQlrUXU/XnhUSXN4mbI/AAAAAAALkwk/dFRz1IjmGx0Zh6ZfGxSWWiQOFhxtLVh1ACLcBGAsYHQ/s72-c/3170ebfa-77ab-4957-aa93-33f5b12aba8e.jpg)
VIJANA WANAOVUTA GUNDI WAZIDI KUSHAMIRI DODOMA, WANANCHI WAFUNGUKA
Charles James, Michuzi Globu
PAMOJA na Jiji la Dodoma kuwa Makao Makuu ya Nchi lakini bado idadi ya vijana wanaotumia dawa za kulevya aina ya gundi imezidi kuwa tatizo kwa wananchi wa jiji hilo.
Vijana hao wamekua wakishinda na kuzagaa katikati ya Jiji maeneo ya viwanja vya Nyerere ambapo wamekua wakicheza kamari, kusumbua wananchi wanaopita, wanafunzi na zaidi wakivuta gundi hadharani.
Globu ya Jamii imefanya uchunguzi wake na kugundua kuwa umri wa vijana hao ni kuanzia miaka tisa hadi 21 na...
10 years ago
GPL04 Feb
10 years ago
GPL25 Feb
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-A2pUvVj9LMs/Vg6niW6TPoI/AAAAAAAAaJk/kM1Gw3FkCG4/s72-c/OTH_6602.jpg)
LOWASSA ATUA "NYUMBANI" NA KUHUTUBIA MAELFU YA WANANCHI HUKO MONDULI NA MTO WA MBU NA BABATI MJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-A2pUvVj9LMs/Vg6niW6TPoI/AAAAAAAAaJk/kM1Gw3FkCG4/s640/OTH_6602.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UiTM9lpmVrU/Vg6notaNzTI/AAAAAAAAaKE/5xp3mJLyQMY/s640/OTH_7854.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-hNRTlmu25cI/XvM0w02pnEI/AAAAAAABMlc/cELVG4ZOS20dbtb9PwjUc-dUdEvSBjiiwCLcBGAsYHQ/s72-c/LOWASSA.jpeg)
LOWASSA, MKEWE MIONGONI MWA WANANCHI MONDULI WALIOMDHAMINI RAIS MAGUFULI KUWANIA URAIS 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-hNRTlmu25cI/XvM0w02pnEI/AAAAAAABMlc/cELVG4ZOS20dbtb9PwjUc-dUdEvSBjiiwCLcBGAsYHQ/s400/LOWASSA.jpeg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7d208KxBnPM/VOMXylpleqI/AAAAAAAHEJE/j1o1gvx-s6g/s72-c/unnamed%2B%286%29.jpg)
WAZIRI MKUU MSTAAFU NA MBUNGE WA MONDULI, EDWARD LOWASSA AKIZUNGUMZA NA BAADHI YA WANAFUNZI WA SHULE SEKONDARI YA WAVULANA YA ENGUTOTO WILAYANI MONDULI WAKATI ALIPOTEMBELEA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-7d208KxBnPM/VOMXylpleqI/AAAAAAAHEJE/j1o1gvx-s6g/s1600/unnamed%2B%286%29.jpg)
Aidha mwenyekiti mtendaji wa makampuni IPP, Reginald Mengi akichangia shilingi milioni 25 kwa ajili ya vitanda na Kampuni ya A to Z ikichangia ujenzi wa mabweni mawili yaliyo ungua moto hivi karibuni.
![](http://3.bp.blogspot.com/-aML6rKdYyVk/VOMXyAIZMII/AAAAAAAHEI8/amgUR-5jNcM/s640/unnamed%2B%285%29.jpg)
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Walionunua IPTL wafunguka
10 years ago
Mtanzania01 Dec
Waliojitoa mhanga IPTL wafunguka
Na Fredy AZZAH
KUHITIMISHWA kwa mjadala wa kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow bungeni, kumeacha taifa na baadhi ya watu wanaoweza kujipambanua kuwa vinara wa kupinga wizi na wengine wakiwa kwenye mtandao wa kuutetea.
Hatua hiyo ilijidhihirisha kwenye mjadala wa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), iliyowasilishwa bungeni na Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC).
Baadhi ya wabunge waliosimamia kuchukuliwa hatua kwa...