LOWASSA, MKEWE MIONGONI MWA WANANCHI MONDULI WALIOMDHAMINI RAIS MAGUFULI KUWANIA URAIS 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-hNRTlmu25cI/XvM0w02pnEI/AAAAAAABMlc/cELVG4ZOS20dbtb9PwjUc-dUdEvSBjiiwCLcBGAsYHQ/s72-c/LOWASSA.jpeg)
Waziri Mkuu wa zamani, Mh. Edward Lowassa pamoja na mkewe Mama Regina leo huko Monduli wamekuwa miongoni kwa wana CCM waliomdhamini Rais Magufuli kutetea kiti chake cha urais kupitia CCM katika uchaguzi mkuu baadaye Oktoba mwaka huu.
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C0H2-scMInc/XvMxuaJxURI/AAAAAAALvO0/M-lYmxW4PvIj7SXiSmAIQR6c0MS6u6_cQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B12.38.58%2BPM.jpeg)
LOWASSA NA MKEWE WAMDHAMINI RAIS MAGUFULI KUTETEA KITI CHAKE CHA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-C0H2-scMInc/XvMxuaJxURI/AAAAAAALvO0/M-lYmxW4PvIj7SXiSmAIQR6c0MS6u6_cQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B12.38.58%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Le4ET_TGm8Q/XvMxupEMZfI/AAAAAAALvO4/cMJvVja91YQbbHFGpiNL4cjPslRLHK1JwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B12.38.59%2BPM.jpeg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-2JH6ZWQDDqk/VXCFFv-jfmI/AAAAAAABa5s/zyMTsU5A18g/s72-c/LOwassa_fomu2.jpg)
MAKAMU WA RAIS DK. BILAL, LOWASSA, MAGUFULI W ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS
![](http://1.bp.blogspot.com/-2JH6ZWQDDqk/VXCFFv-jfmI/AAAAAAABa5s/zyMTsU5A18g/s640/LOwassa_fomu2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KWTWLyJu9OY/VXCFF71HeLI/AAAAAAABa5w/uN5vo9ct4Jk/s640/Lowassa_fomu.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
Serikali ya awamu ya nne yafanikiwa kuimarisha umoja, amani na utulivu miongoni mwa wananchi
Naibu Katibu Mkuu,Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Angelina Madete akiwaeleza waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu mafanikio ya serikali ya nne ikiwamo kujenga umoja, amani na utulivu miongoni mwa wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati wa mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) leo Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Mazingira, Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Richard Muyungi.
Mkurugenzi wa Muungano, Ofisi ya Makamu wa Rais Bw....
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-meZF6Zbf2l4/VRf9lJzpmLI/AAAAAAADRrI/NoRTgYkCxz4/s72-c/sdgds.jpg)
WANANCHI KUTOKA MARA WAWASILI KWA WAZIRI MKUU MSTAAFU NA MBUNGE WA MONDULI EDWARD LOWASSA MONDULI,WAMKOSA WAELEZEA UJIO WAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-meZF6Zbf2l4/VRf9lJzpmLI/AAAAAAADRrI/NoRTgYkCxz4/s1600/sdgds.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aerxu2mR3I8/VRf9hYkX_yI/AAAAAAADRq4/drpO59LINgM/s1600/gdg.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-7dlfq1o37L8/Xum9zhQogKI/AAAAAAABMbc/W2L_Tb2IY3IDym0c7CmmMO_FnHyWBOXaQCLcBGAsYHQ/s72-c/mg.jpg)
BREAKING NEWSSSSSS: MWENYEKITI WA CCM, RAIS MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUOMBA KUWANIA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-7dlfq1o37L8/Xum9zhQogKI/AAAAAAABMbc/W2L_Tb2IY3IDym0c7CmmMO_FnHyWBOXaQCLcBGAsYHQ/s400/mg.jpg)
9 years ago
Mtanzania01 Sep
Kanye West kuwania urais 2020
NEW YORK, Marekani
NYOTA wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, ametangaza nia ya kuwania urais wa nchi hiyo mwaka 2020.
Msanii huyo aliweka wazi mpango wake huo wakati wa utoaji wa tuzo za VMA ‘MTV Video Muzic’ nchini humo huku akiamini kuwa kutangaza huko ni maamuzi magumu kwake.
Alipojinadi alidai ana uhakika ataingia Ikulu ya Marekani yeye na mkewe mwanamitindo, Kim Kardashian.
“Natangaza rasmi kuwa mwaka 2020 nitajitupa katika kinyang’any’iro cha kuwania urais kwa imani kubwa...
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Lowassa: Nimeshawishika kuwania urais
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Lowassa achukua fomu za kuwania urais
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-A2pUvVj9LMs/Vg6niW6TPoI/AAAAAAAAaJk/kM1Gw3FkCG4/s72-c/OTH_6602.jpg)
LOWASSA ATUA "NYUMBANI" NA KUHUTUBIA MAELFU YA WANANCHI HUKO MONDULI NA MTO WA MBU NA BABATI MJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-A2pUvVj9LMs/Vg6niW6TPoI/AAAAAAAAaJk/kM1Gw3FkCG4/s640/OTH_6602.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UiTM9lpmVrU/Vg6notaNzTI/AAAAAAAAaKE/5xp3mJLyQMY/s640/OTH_7854.jpg)