Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UVCCM: Wapuuzeni wanaotaka kuwayumbisha

Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) umewataka Watanzania kuwapuuza watu wanaotaka kuwaondoa katika Mchakato wa Katiba na kuwapeleka kwenye masilahi binafsi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

JK: Wapuuzeni wanunua uongozi

Rais Jakaya Kikwete akimpongeza Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (K.K.K.T) Dk Stephen Munga wakati wa maadhimisho ya Jubilee ya miaka 125 ya dayosisi hiyo yaliyofanyika katika viwanja vya Mbuyukenda mjini Tanga jana. (Picha na Freddy Maro).RAIS Jakaya Kikwete, amesihi viongozi wa dini nchini kuwakataa kwa macho makavu wanasiasa wanaotumia kila njia kutafuta uongozi ikiwa ni pamoja na kutumia pesa, akisema hao ni maadui na kwamba wakisikilizwa na kuendekezwa, mchezo wao mchafu unaweza kugeuka mauti kwa Watanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

Nape: Wapuuzeni wapinzani

>Wananchi wametakiwa kupuuza kauli alizodai kuwa za wapinzani za kuwataka wasishiriki kupiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliopangwa kufanyika Desemba, mwaka huu.

 

10 years ago

Michuzi

BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO

???????????????????????????????
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.

???????????????????????????????
Katibu wa UVCCM wilaya ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ukraine yawatuliza wanaotaka kujitenga

Waziri Mkuu wa mpito wa Ukraine amewaambia viongozi wa eneo la mashariki mwa nchi hiyo kwamba amekusudia kuwaongezea madaraka.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mugabe awakosoa wanaotaka kumrithi

robert-mugabe

Na Mwandishi wetu

Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe (pichani) amewakosoa wanaoanzisha mchakato wa kuwania nafasi ya kumrithi kwenye uenyekiti wa chama tawala cha ZANU PFnchini humo.

Akiwahutubia wananchi hii leo kwa njia ya televisheni Rais Mugabe amesema kuwa wako watu ndani ya chama tawala cha ZANU PF ambao wanawania nafasi za juu na hata wako tayari kuwaondoa viongozi wa ngazi za juu ili waweze kufikia malengo yao.

Rais Mugabe amesema  amepambana na hata kufungwa jela kwa miaka kadhaa kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Nape- Wanaotaka Serikali tatu waroho

CHAMA cha Mapinduzi (CCM), kimebainisha kuwa wale wote wanaotaka Tanzania iingie katika mfumo wa Serikali tatu, ni waroho wa madaraka na wanajitengenezea njia ya kuwa viongozi hapo baadaye.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanaotaka rais dikteta washindwe na walegee

Kuna hadithi kuhusu familia moja masikini iliyosikia sauti ya Mungu ikisema: “Ombeni leo mambo matatu mnayotaka niwafanyie ili maisha yenu ya sasa yabadilike.”

 

10 years ago

Habarileo

JKT yawasuta wahitimu wanaotaka kuandamana

Mkuu wa JKT Meja Jenerali Raphael MuhugaJESHI la Kujenga Taifa (JKT) limewataka vijana waliomaliza katika jeshi hilo, kutambua kuwa walikula kiapo cha utii wakati wa kuhitimu mafunzo, hivyo suala la kuandamana ni kinyume na kiapo chao.

 

10 years ago

Mwananchi

Michezo, sanaa si ajenda za wanaotaka urais

Taifa liko kwenye kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu ambao utalipatia Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano, wabunge na madiwani watakaoongoza kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani