Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaotaka rais dikteta washindwe na walegee

Kuna hadithi kuhusu familia moja masikini iliyosikia sauti ya Mungu ikisema: “Ombeni leo mambo matatu mnayotaka niwafanyie ili maisha yenu ya sasa yabadilike.”

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tibaigana: Nchi inahitaji rais dikteta

Iko dhana kuwa ili Tanzania ipige hatua kimaendeleo inahitaji kiongozi anayethubutu kufanya uamuzi mgumu hasa kuwawajibisha viongozi wabadhirifu na wazembe, lakini Kamanda wa Polisi mstaafu wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Alfred Tibaigana amekwenda mbali zaidi; anataka rais dikteta.

 

10 years ago

Mwananchi

Wasomi: Tunahitaji rais ajae awe dikteta

>Baadhi ya wananchi wamekuwa na maoni tofauti kuhusu namna sakata la wizi wa fedha kwenye akaunti ya Escrow linavyoshughulikiwa, huku wengine wakisema umefika wakati sasa nchi iongozwe na rais dikteta.

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI: WANAOTAKA KUGOMBEA WAJITATHMINI KAMA WANATOSHA (+video)


Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt Magufuli amewataka wanachama wote wa chama hicho wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kujitathmini na kujiridhisha kama wanatosha kugombea nafasi wanazoomba.Mwenyekiti huyo amesema hayo alipokuwa akikagua kumbi za Kituo cha Mikutano Dodoma (Jakaya Kikwete Hall) ambako utafanyika Mkutano Mkuu wa CCM, na amesisitiza kauli yake aliyowahi kuitoa kuwa uchaguzi mkuu upo pale pale.“Chama chetu kinayo demokrasia ya kutosha, lakini...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI ATUMA UJUMBE MZITO KWA VIONGOZI WA SERIKALI WANAOTAKA KUGOMBEA UBUNGE WAKIDHANI WATAKUWA MAWAZIRI



Na Said Mwishehe, Michuzi TV

RAIS Dk.John Magufuli amepeleka salamu kwa baadhi ya viongozi wa kada mbalimbali wanaodhani wakiachana nafasi zao na kwenda kugombea ubunge wakishinda atawateuwa katika Baraza la Mawaziri wajue wanajidanganya.
Ameyasema hayo leo Juni 22,2020 Ikulu jijini Dar es Salaam baada ya kumuapisha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Idd Kimanta , Mkuu wa Wilaya ya Arusha Kenan Kihongosi, Mkuu wa Wilaya ya Monduli Edward Balele ,Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Bakari Msulwa,Mkurugenzi wa Jiji...

 

11 years ago

Vijimambo

KAMA UREMBO NIKUOLEWA BASI HAWA WASHINDWE WENYEWE KUPATA WAUME KWANI NI WAREMBO HASWA.


Hamisa MobetoMeninah Abdulkareem
Hamisa MobetoLulu Michael
Pitia  picha za warembo hawa watatu na utakubari kuwa wanaurembo na kama wanatulia na kuolewa basi mume hawezi kuchelewa kurudi nyumbani.

Meninah AbdulkareemAdd captionLulu MichaelHamisa MobetoLulu MichaelMeninah la Diva

 

11 years ago

Mwananchi

Jenerali Sani Abacha: Dikteta aliyeacha makovu mengi Nigeria

Jenerali Sani Abacha alikuwa Rais wa 10 wa Nigeria kuanzia mwaka 1993-1998. Abacha aliyezaliwa Septemba 20, 1943, alifariki dunia katika mazingira ya kutatanisha yaliyoacha maswali mengi kuliko majibu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ukraine yawatuliza wanaotaka kujitenga

Waziri Mkuu wa mpito wa Ukraine amewaambia viongozi wa eneo la mashariki mwa nchi hiyo kwamba amekusudia kuwaongezea madaraka.

 

11 years ago

Mwananchi

UVCCM: Wapuuzeni wanaotaka kuwayumbisha

Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) umewataka Watanzania kuwapuuza watu wanaotaka kuwaondoa katika Mchakato wa Katiba na kuwapeleka kwenye masilahi binafsi.

 

11 years ago

Dewji Blog

Mugabe awakosoa wanaotaka kumrithi

robert-mugabe

Na Mwandishi wetu

Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe (pichani) amewakosoa wanaoanzisha mchakato wa kuwania nafasi ya kumrithi kwenye uenyekiti wa chama tawala cha ZANU PFnchini humo.

Akiwahutubia wananchi hii leo kwa njia ya televisheni Rais Mugabe amesema kuwa wako watu ndani ya chama tawala cha ZANU PF ambao wanawania nafasi za juu na hata wako tayari kuwaondoa viongozi wa ngazi za juu ili waweze kufikia malengo yao.

Rais Mugabe amesema  amepambana na hata kufungwa jela kwa miaka kadhaa kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani