RAIS MAGUFULI: WANAOTAKA KUGOMBEA WAJITATHMINI KAMA WANATOSHA (+video)
![](https://img.youtube.com/vi/NiGWPd6XQHk/default.jpg)
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt Magufuli amewataka wanachama wote wa chama hicho wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kujitathmini na kujiridhisha kama wanatosha kugombea nafasi wanazoomba.Mwenyekiti huyo amesema hayo alipokuwa akikagua kumbi za Kituo cha Mikutano Dodoma (Jakaya Kikwete Hall) ambako utafanyika Mkutano Mkuu wa CCM, na amesisitiza kauli yake aliyowahi kuitoa kuwa uchaguzi mkuu upo pale pale.“Chama chetu kinayo demokrasia ya kutosha, lakini...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VbvHliDwf9Y/XvCLcoqzc7I/AAAAAAALu6c/lldVMfArMtQUMaBhkjrr1kLtpuN8B0ZtACLcBGAsYHQ/s72-c/18.jpg)
RAIS MAGUFULI ATUMA UJUMBE MZITO KWA VIONGOZI WA SERIKALI WANAOTAKA KUGOMBEA UBUNGE WAKIDHANI WATAKUWA MAWAZIRI
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
RAIS Dk.John Magufuli amepeleka salamu kwa baadhi ya viongozi wa kada mbalimbali wanaodhani wakiachana nafasi zao na kwenda kugombea ubunge wakishinda atawateuwa katika Baraza la Mawaziri wajue wanajidanganya.
Ameyasema hayo leo Juni 22,2020 Ikulu jijini Dar es Salaam baada ya kumuapisha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Idd Kimanta , Mkuu wa Wilaya ya Arusha Kenan Kihongosi, Mkuu wa Wilaya ya Monduli Edward Balele ,Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Bakari Msulwa,Mkurugenzi wa Jiji...
10 years ago
Habarileo29 Nov
Wapinzani watakiwa kujiuliza kama wanatosha kuongoza nchi
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Wabunge wa Mkoa wa Morogoro, Amos Makala amesema dola haitafutwi kwa lelemama na kutaka wapinzani kujiuliza kama wanatosha kuongoza nchi ifikapo uchaguzi mkuu 2015.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-erEViLS8GfI/XunM_fpkGcI/AAAAAAAC7ws/9e-xJ2vQWJkYte68zhQdMZ1n8dOiPpA4QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI ACHUKUA FORM YA KUGOMBEA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-erEViLS8GfI/XunM_fpkGcI/AAAAAAAC7ws/9e-xJ2vQWJkYte68zhQdMZ1n8dOiPpA4QCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Rais John Magufuli, leo amechukua fomu za kuwania kuteuliwa na chama chake kushiriki katika kinyang’anyiro cha urais katika uchaguzi mkuu ujao.
Rais Magufuli amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu Mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally kwenye Makao Makuu ya chama hicho mkoani Dodoma.
Akizungumza baada ya kukabidhiwa fomu hiyo, Rais Magufuli amesema anaanza mapema mchakato wa kutafuta wadhamini ili awahi kurejesha fomu hiyo mapema.
Mwenyekiti huyo wa CCM amesema...
10 years ago
Bongo504 Mar
H.Baba atoa ushauri kwa wasanii wanaotaka kugombea ubunge na nafasi zingine
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8ynRIuA4csk/XuOCr6naCFI/AAAAAAALtmQ/sfAGK_DZFUciYtfyzh-UFU0ZAYQeBYM4ACLcBGAsYHQ/s72-c/8ba33e0df5ac386a189da9bf95a9c373.jpg)
MAMBO YAMEIVA CCM...WANAOTAKA KUGOMBEA URAIS WAPEWA RATIBA YA KUCHUKUA NA KUREJESHA FOMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-8ynRIuA4csk/XuOCr6naCFI/AAAAAAALtmQ/sfAGK_DZFUciYtfyzh-UFU0ZAYQeBYM4ACLcBGAsYHQ/s400/8ba33e0df5ac386a189da9bf95a9c373.jpg)
CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kimetengaza rasmi ratiba ya uchukuaji na urejeshaji wa fomu ya kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tekiti cha Chama hicho katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 25,2020.
Akitangaza ratiba hiyo leo Juni 12,2020 jijini Dar es Salaa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Humphrey Polepole amesema ratiba ya kumpata mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaanza Juni 15 mpaka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6AQZHuwmMeI/XunLmrcJJ1I/AAAAAAALuLg/av6dnPOGvmot7g8rB-DPprYmHRAU49yaQCLcBGAsYHQ/s72-c/c4b8f50f-3b9e-4e5f-a68b-d4504e665712.jpg)
Rais Magufuli achukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kugombea Urais
![](https://1.bp.blogspot.com/-6AQZHuwmMeI/XunLmrcJJ1I/AAAAAAALuLg/av6dnPOGvmot7g8rB-DPprYmHRAU49yaQCLcBGAsYHQ/s640/c4b8f50f-3b9e-4e5f-a68b-d4504e665712.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/c4d4e23c-bb9c-4e93-95a9-d28e949311a6.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/d819a5cb-299f-4675-82c1-c84eb1da8c78.jpg)
9 years ago
Mwananchi22 Aug
UCHAMBUZI: Kwa Kikwete, Magufuli ni kama rais mteule
10 years ago
Raia Mwema22 Jul
Kama akiwa Rais Nani atamfunga ‘gavana’ Magufuli?
NIANZE kwa kuwaomba radhi wasomaji wangu kwa kutoweka ghafla, na kwa muda mrefu katika safu hii.
Johnson Mbwambo
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7rzNdszDB3I/Vfmn1e0vHfI/AAAAAAAC_Oo/68ISlIok4e4/s72-c/_MG_7139.jpg)
MAGUFULI APOKELEWA KAMA MFALME KIGOMA,WANANCHI WAKIRI WAZI ATOSHA KUWA RAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-7rzNdszDB3I/Vfmn1e0vHfI/AAAAAAAC_Oo/68ISlIok4e4/s640/_MG_7139.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WDp8hOlkLZQ/Vfmn2xtLXqI/AAAAAAAC_Ow/InWNnIupFS8/s640/_MG_7142.jpg)