Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


H.Baba atoa ushauri kwa wasanii wanaotaka kugombea ubunge na nafasi zingine

H.Baba amewatahadharisha wasanii wa muziki nchini waliotangaza au waliopanga kugombea nyadhifa mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu ujao kuwa wakikosa nyadhifa hizo watapotea kabisa kwenye muziki. H.Baba amewataka wasanii kuacha kukurupuka kwani katika siasa mgombea anatakiwa awe amejianda kisaikojia ili kukabiliana na matokeo yake. “Wasanii wenzangu mimi nawashauri ingawa kila mtu na mtazamo wake, lakini […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI ATUMA UJUMBE MZITO KWA VIONGOZI WA SERIKALI WANAOTAKA KUGOMBEA UBUNGE WAKIDHANI WATAKUWA MAWAZIRI



Na Said Mwishehe, Michuzi TV

RAIS Dk.John Magufuli amepeleka salamu kwa baadhi ya viongozi wa kada mbalimbali wanaodhani wakiachana nafasi zao na kwenda kugombea ubunge wakishinda atawateuwa katika Baraza la Mawaziri wajue wanajidanganya.
Ameyasema hayo leo Juni 22,2020 Ikulu jijini Dar es Salaam baada ya kumuapisha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Idd Kimanta , Mkuu wa Wilaya ya Arusha Kenan Kihongosi, Mkuu wa Wilaya ya Monduli Edward Balele ,Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Bakari Msulwa,Mkurugenzi wa Jiji...

 

10 years ago

Vijimambo

MGOMBEA WA NAFASI YA UBUNGE JIMBO LA DODOMA MJINI KUPITIA CCM ANTHON MAVUNDE AMECHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA NAFASI HIYO

  Mgombea ubunge kupitia chama cha mapinduzi [CCM] Jimbo la Dodoma Mjini  Anthon Mavunde akipokea Fomu za kugombea nafasi hiyo Toka kwa Afsa Uchaguzi Manispaa ya Dodoma Elizabert Gumbo jana mjini Humo.Picha na John Banda
  Mavunde akionyesha Fomu hizo baada ya kuzichukua katika ofisi za manispaa jana. Mgombea Ubunge jimbo la Dodoma mjini kupitia CCM Anthon Mavunde akiwapungia watu Mikono juu ya Gari wakati alipokuwa akienda kuchukua Fomu za kugombea nafasi hiyo. Baadhi ya wafuasi wa Chadema...

 

10 years ago

Dewji Blog

DC Mhita awahamasisha wanawake Mufindi kugombea nafasi za Udiwani, Ubunge na Uraisi

Mkuu wa  wilaya ya  Mufindi Bi Mboni Mhita akifungua  kongamano la  Umoja wa  wanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Mufindi jana. Mkuu  wa  wilaya ya  Mufindi Bi Mboni Mhita wa  pili  kulia akiwa na viongozi mbali mbali wa UWT mkoa na wilaya ya Mufndi na Iringa vijijini kutoka kushoto ni mwenyekiti  wa UWT mkoa Bi Zainabu Mwamwindi ,mwenyekiti wa UWT wilaya ya Mufindi Bi Marcelina Mkini katibu  wa wazazi  mkoa wa Iringa Bw  Geofrey Kavenga  na mwenyekiti  wa UWT wilaya ya Iringa vijijini Bi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Steve Nyerere Kugombea Ubunge Awatetee Wasanii

Staa wa Bongo Movies, Steven Mangere ‘Steve Nyerere’ anasema kuwa anatarajia kuingia katika kinyang’anyiro cha Ubunge huku lengo kuu kuwa sauti ya wasanii ambao anaamini wanakosa mtu wa kuwakilisha matatizo yao katika Serikali na anaona ni wakati muafaka yeye kuingia Bungeni.

Naamini kabisa kuwa karibu na Serikali ndio mwanzo mwa kutatuliwa kwa matatizo yetu katika tasnia ya filamu na muziki pia, nitatangaza nia kuchukua moja kati majimbo makubwa kabisa hapa Dar, na kuingia Bungeni kwa kazi...

 

10 years ago

Michuzi

Maalim Seif akutana na wanachama walioomba kugombea nafasi za Ubunge kupitia CUF

Na Hassan Hamad, OMKR
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF) Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amewataka wagombea wa nafasi mbali mbali ndani ya chama hicho kujenga imani na kamati za uteuzi za kuwapata wagombea kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Amesema kamati zote zilizoteuliwa kufanya kazi hiyo zitafanya kazi zake kwa umakini bila ya kujali wadhifa au umaarufu wa mgombea.
Maalim Seif ameeleza hayo katika kikao maalum cha kupeana nasaha na wanachama walioomba kugombea nafasi za...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mtangaza nia ubunge Ludewa aangukia pua nafasi ya NEC , asema hataki tena kugombea

Aliyeshindwa ujumbe wa NEC Ludewa Injinia Zephania Chaula  akiangana na mbunge  Deo  Filikunjombe baada ya  kushindwa katika nafasi  hiyo, Chaula alikuwa ni mmoja wa wana CCM waliokuwa  wakitaka kuwania ubunge jimbo la Ludewa Chaula akiagana na mshindi Mzee Nkwera. 

Mkuu wa wilaya ya  Ludewa, Antonia Choya akimkabidhi  hati ya shukrani mbunge wa Ludewa  Deo Filikunjombe (kushoto).

Mjumbe wa mkutano huo Bw. Choya akipiga kura.

Wajumbe wakishiriki kupiga kura.

 

Wajumbe ...

 

10 years ago

Vijimambo

BI. CHIKULUPI NJELU KASAKA ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE WA VITI MAALUM,VIJANA -MBEYA ,ATOA VIPAUMBELE VYAKE.

Bi. Chikulupi Njelu Kasaka Mgombea Ubunge Viti Maalum Vijana Mbeya Bi. Chikulupi Njelu Kasaka (Kushoto) akikabidhiwa Fomu ya Kuomba Ridhaa kuteuliwa kugombea Ubunge wa Viti maalum Vijana Mbeya na Katibu wa UVCCM Mkoa wa Mbeya Bi. Aida Mamu Kushoto ni Bw. Moses Mwakibinga Katibu wa Hamasa na Chipukizi Wilaya ya Chunya, Bi. Chikulupi Njelu Kasaka (Kushoto)  na Katibu wa UVCCM Mkoa wa Mbeya Bi. Aida Mamu Baada ya kukabidhiwa Fomu

                  MFAHAMU BI. CHIKULUPI NJELU KASAKA

*Anaitwa...

 

10 years ago

Bongo5

AY atoa funzo kwa wasanii wenye malengo ya kufanya collabo na wasanii wa nje

Wewe ni msanii mwenye mawazo ya kuja kufanya collabo na wasanii wa nje ya Tanzania? AY ametoa elimu ndogo kupitia uzoefu wake, wa nini cha kufanya ili collabo yako iwe na maana na ikuletee matunda. “Cha kwanza watu wajue lazima uje na style yako usikae kama wanna be” AY a.k.a ‘mzee wa Zigo’ ameiambia 255 […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani