Wapinzani watakiwa kujiuliza kama wanatosha kuongoza nchi
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Wabunge wa Mkoa wa Morogoro, Amos Makala amesema dola haitafutwi kwa lelemama na kutaka wapinzani kujiuliza kama wanatosha kuongoza nchi ifikapo uchaguzi mkuu 2015.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bf3qBTWMVA8oBLapGX5Mrpcrw56yv7cK5h-EFgsXC-GVr2t32y4S3LIGceQJTwNPQ4hAE9nWTklAoT02UczHk*mI2s9nFX*M/PaulMakondaUVCCMTaifa.jpg?width=650)
UKWELI MCHUNGU: WAPINZANI HAWANA SIFA ZA KUONGOZA NCHI (A COMPARATIVE ANALYSIS) - PAUL MAKONDA
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/NiGWPd6XQHk/default.jpg)
RAIS MAGUFULI: WANAOTAKA KUGOMBEA WAJITATHMINI KAMA WANATOSHA (+video)
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/06/2-1-660x400.jpg)
5 years ago
BBCSwahili13 Jun
Umeshawahi kujiuliza kama sanamu zinastahili kuwepo?
9 years ago
Mtanzania22 Sep
Samia: Hatuwapi wapinzani nchi
NA SARAH MOSSI, MKINGA
MGOMBEA mwenza wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amesema chama hicho hakiwezi kutoa nchi kwa chama cha upinzani ambacho hakijajipanga.
Samia, alisema hayo jana wilayani hapa wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika eneo la Duga Maforoni na kuhudhuriwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga, Henry Shekifu na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho (NEC), Mahadhi Juma Maalim.
Alisema wapinzani hawakujipanga kuongoza nchi, na kwamba hata wakati...
10 years ago
Mwananchi18 Mar
Wapinzani wamuone Kinana kama Okwi anayepiga mashuti
10 years ago
Michuzi02 Sep
Tanzania Kuongoza Nchi za Afrika katika maboresho ya utoaji wa haki za watuhumiwa na mahabusu
![](https://1.bp.blogspot.com/-2Mrykxs2Uc8/VAWoTcEZh5I/AAAAAAAAXlE/CjM2xIGdsmY/s1600/NABO%2BASSEY.jpg)
9 years ago
Dewji Blog03 Dec
UN, Serikali zataka vijana kuongoza katika kukabili mabadiliko tabia nchi Singida
Mkuu wa wilaya ya Ikungi, Chigulu Charles akitoa neno la ukaribisho kwa Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez aliyeambatana na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Parseko Kone katika ziara ya kukagua miradi inayofadhiliwa na Mashirika ya Umoja wa Mataifa mkoani Singida.
Na Modewjiblog team, Singida
MRATIBU wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi mkazi wa Shirika la Mipango ya Maendeleola umoja huo (UNDP)...
10 years ago
Dewji Blog02 Sep
Tanzania kuongoza nchi za Afrika ktika maboresho ya utoaji wa haki za watuhumiwa na mahabusu
Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Kisheria kutoka Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bw. Nabor Assey akiongea na waandishi wa Habari (Hawapo pichani) kuhusu utekelezaji wa Miongozo ya Luanda inayohusu ukamataji na ushikiliaji wa watuhumiwa kabla ya kufunguliwa mashtaka itakayosaidia kupunguza mzigo kwa seriikali katika uendeshaji wa mahabusu na magereza yenye msongamano mwingi wa watuhumiwa na wafungwa, wakati wa Mkutano leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara...
11 years ago
MichuziSTEVE NYERERE ATEULIWA KUONGOZA KIKOSI CHA WASANII KUTANGAZA AMANI NCHI NZIMA