Kama akiwa Rais Nani atamfunga ‘gavana’ Magufuli?
NIANZE kwa kuwaomba radhi wasomaji wangu kwa kutoweka ghafla, na kwa muda mrefu katika safu hii.
Johnson Mbwambo
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
Dr. Wilibrod Slaa amesema kuwa akiwa Rais wa Tanzania atamfunga Dr. John Magufuli kwa sababu alisimamia mchakato wa uuzwaji wa nyumba za Serikali kwa bei ya kutupwa

Dr. Wilibrod Slaa amesema kuwa akiwa Rais wa Tanzania atamfunga Dr. John Magufuli kwa sababu alisimamia mchakato wa uuzwaji wa nyumba za Serikali kwa bei ya kutupwaDr. Slaa akihojiwa na Radio five ya Arusha jioni hii nini maoni yake kuhusu uteuzi wa Magufuli kuwania Urais.
Ameongelea mengi lakini amesema iwapo UKAWA wakimpa nafasi na Watanzania wakampa kura za kutosha kushinda Urais atamtia Magufuri ndani ili kujibu tuhuma za uuzwaji wa Nyumba kwa bei ya kutupa.
Chanzo: Radio five,...
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Hosni Mubarak alikuwa nani? Rais wa Misri aliyengatulia madarakani aaga dunia akiwa na umri wa miaka 91.
Hosni Mubarak alikuwa jeshi lakini alijitolea sana kwa nchi yake kuhakikisha inakuwa na Amani.
10 years ago
Habarileo24 Aug
Wasanii kufaidika na Magufuli akiwa rais
MGOMBEA Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),Dk John Magufuli amesema kuwa akichaguliwa kuongoza nchi atahakikisha wasanii na wachezaji wanafaidika na kazi yao.
10 years ago
Vijimambo14 Jul
Mambo matano mazuri ya Magufuli akiwa rais

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha Dk John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais wa chama hicho kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Tanzania utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu.Kwanza kabisa napenda kumpongeza sana Magufuli kwa hatua aliyofikia na kumtakia kila la heri. Naomba kukiri kwa uwazi kwamba katika uchaguzi unaohusisha vyama vya siasa ni lazima mshindi atapatikana na kwa Tanzania ni lazima mshindi huyo atoke kwenye chama cha siasa.Tanzania ina vyama 22 vilivyosajiliwa na vinavyofanya kazi...
9 years ago
MichuziRais Magufuli akiwa Ofisini Kwake Siku ya Kwanza
10 years ago
Mwananchi13 Jul
UCHAGUZI CCM: Mambo matano mazuri ya Magufuli akiwa rais
>Chama cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha Dk John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais wa chama hicho kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Tanzania utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi14 Jul
UCHAGUZI CCM: Mambo matano ‘mabaya’ Magufuli akiwa rais
>Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha Dk John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais wa chama hicho kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Tanzania utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu. Tanzania ina vyama 22 vilivyosajiliwa na vinavyofanya kazi sasa, tutake tusitake ni lazima rais wa nchi atatoka katika chama kimojawapo, na kwa sababu CCM imeshapitisha mgombea wake na yeye ana fursa ya kushinda uchaguzi kama ambavyo fursa hiyo ilivyo kwenye vyama vingine.
9 years ago
Michuzi
ONLY IN TANZANIA: RAIS MAGUFULI AKIWA NA MARAIS WASTAAFU BUNGENI DODOMA

10 years ago
Mwananchi22 Aug
UCHAMBUZI: Kwa Kikwete, Magufuli ni kama rais mteule
Picha anayoichora Rais Jakaya Kikwete kupitia hotuba zake katika hafla na matukio tofauti kipindi hiki inazua maswali mengi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania