UCHAGUZI CCM: Mambo matano mazuri ya Magufuli akiwa rais
>Chama cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha Dk John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais wa chama hicho kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Tanzania utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo14 Jul
Mambo matano mazuri ya Magufuli akiwa rais
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2787294/highRes/1060755/-/maxw/600/-/3mujumz/-/magufuli.jpg)
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha Dk John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais wa chama hicho kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Tanzania utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu.Kwanza kabisa napenda kumpongeza sana Magufuli kwa hatua aliyofikia na kumtakia kila la heri. Naomba kukiri kwa uwazi kwamba katika uchaguzi unaohusisha vyama vya siasa ni lazima mshindi atapatikana na kwa Tanzania ni lazima mshindi huyo atoke kwenye chama cha siasa.Tanzania ina vyama 22 vilivyosajiliwa na vinavyofanya kazi...
10 years ago
Mwananchi14 Jul
UCHAGUZI CCM: Mambo matano ‘mabaya’ Magufuli akiwa rais
10 years ago
Mwananchi15 Jul
Mambo matano yaliyompa kijiti Magufuli
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Mambo muhimu matano yanayoiweka CCM pabaya
5 years ago
BBCSwahili15 Jun
Uchaguzi wa Tanzania 2020: Majina matano yanayopigiwa upatu kuwania tiketi ya urais ya CCM Zanzibar
9 years ago
Habarileo24 Aug
Wasanii kufaidika na Magufuli akiwa rais
MGOMBEA Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),Dk John Magufuli amesema kuwa akichaguliwa kuongoza nchi atahakikisha wasanii na wachezaji wanafaidika na kazi yao.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8cUZCbzQE7Y/XuX5MAXKM5I/AAAAAAALtx0/xRorJUptMFUxzv2m9PsARv6ntEQ8PjyjQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-14%2Bat%2B12.45.32%2BPM.jpeg)
JOTO LA URAIS CHADEMA LAPAMBA MOTO, MCH MSIGWA ATAJA MAMBO MATATU ATAKAYOYAFANYA AKIWA RAIS
Charles James, Michuzi TV
UCHUMI imara, kusimamia utawala bora na kuboresha elimu nchini, ndivyo vipaumbele vitatu ambavyo Mtia nia wa Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mch Peter Msigwa amevitaja.
Mch Msigwa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini ametangaza rasmi nia yake hiyo ya kugombea Urais kupitia Chadema leo jijini Dodoma ambapo pia alisindikizwa na wabunge wenzake, Godbless Lema, Joseph Mbilinyi 'Sugu' Hawa Mwaifunga na John Heche.
Akizungumza na wandishi...
10 years ago
Raia Mwema22 Jul
Kama akiwa Rais Nani atamfunga ‘gavana’ Magufuli?
NIANZE kwa kuwaomba radhi wasomaji wangu kwa kutoweka ghafla, na kwa muda mrefu katika safu hii.
Johnson Mbwambo
9 years ago
MichuziRais Magufuli akiwa Ofisini Kwake Siku ya Kwanza