Mambo muhimu matano yanayoiweka CCM pabaya
>Wiki mbili zilizopita Chama Cha Mapinduzi (CCM) kiliadhimisha sherehe za kutimiza miaka 37 tangua kuanzishwa, huku kikiwa na mambo matano yanayokikaba koo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili28 Feb
Mambo matano muhimu kuhusu virusi vya corona
Mambo muhimu unayopaswa kufahamu kuhusu mlipuko wa virusi vya corona.
10 years ago
Mwananchi14 Jul
UCHAGUZI CCM: Mambo matano ‘mabaya’ Magufuli akiwa rais
>Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha Dk John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais wa chama hicho kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Tanzania utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu. Tanzania ina vyama 22 vilivyosajiliwa na vinavyofanya kazi sasa, tutake tusitake ni lazima rais wa nchi atatoka katika chama kimojawapo, na kwa sababu CCM imeshapitisha mgombea wake na yeye ana fursa ya kushinda uchaguzi kama ambavyo fursa hiyo ilivyo kwenye vyama vingine.
10 years ago
Mwananchi13 Jul
UCHAGUZI CCM: Mambo matano mazuri ya Magufuli akiwa rais
>Chama cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha Dk John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais wa chama hicho kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Tanzania utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Sumaye: Sitasahau mambo matano
Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amesema katika kipindi cha miaka 10 alichoshikilia nafasi hiyo ya mtendaji mkuu wa Serikali, hatasahau mambo matano makubwa aliyokumbana nayo.
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Dk Tulia ajiangalie mambo matano
Dk Tulia Ackson amechaguliwa kuwa naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hiyo ni baada ya kumshinda mpinzani wake kutoka chama cha CUF, Magdalena Sakaya.
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Mambo matano yanayompaisha Mboto
UNAPOZUNGUMZIA wachekeshaji wanaofanya vizuri hapa nchini, hakika mchekeshaji Salim Haji ‘Mboto’ kamwe huwezi kuacha kulitaja jina lake. Kwa wale wasiofahamu historia yake, wanaweza wakadhani msanii huyu alianza kazi hiyo miaka...
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Sitta: Mambo matano kwa Taifa
Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta ametangaza nia ya kugombea urais kwa tiketi ya CCM, akieleza kuwa anataka kulifanyia Taifa mambo matano, ikiwa ni pamoja na kutenganisha biashara na siasa na kusimamia maadili ya viongozi wa umma.
10 years ago
Mwananchi15 Jul
Mambo matano yaliyompa kijiti Magufuli
Watanzania wengi na hata wagombea wa CCM walipigwa na butwaa kubwa baada ya kuona Dk John Magufuli anachaguliwa kuwa mgombea urais wa chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Washauri mambo matano kuepusha vurugu
Zikiwa zimebakia siku sita kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu, Watanzania wameibua mambo matano yanayoweza kuliepusha Taifa na vurugu zinazoweza kutokea baada ya uchaguzi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania