Washauri mambo matano kuepusha vurugu
Zikiwa zimebakia siku sita kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu, Watanzania wameibua mambo matano yanayoweza kuliepusha Taifa na vurugu zinazoweza kutokea baada ya uchaguzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo26 Mar
BVR zaiweka Nec mtegoni. Yaandikiwa barua isitishe uandikishaji kuepusha vurugu.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Jaji%20Lubuva-%2026March2015.jpg)
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) imetakiwa kumshauri Rais Jakaya Kikwete, kusitisha upigaji kura ya maoni ya Katiba inayopendekezwa Aprili 30, mwaka huu, kwa maelezo kuwa kulazimisha suala hilo kutasababisha mpasuko na hatimaye kuzua vurugu na kuvunja amani ya nchi.
Pia imetakiwa kutokubali kuingiliwa katika utendaji wake wa kazi ikiwamo kulazimishwa kuendesha mchakato wa kura ya maoni katika tarehe hiyo.
Matamko hayo yalitolewa kwa nyakati tofauti na...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Mambo matano yanayompaisha Mboto
UNAPOZUNGUMZIA wachekeshaji wanaofanya vizuri hapa nchini, hakika mchekeshaji Salim Haji ‘Mboto’ kamwe huwezi kuacha kulitaja jina lake. Kwa wale wasiofahamu historia yake, wanaweza wakadhani msanii huyu alianza kazi hiyo miaka...
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Sumaye: Sitasahau mambo matano
Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amesema katika kipindi cha miaka 10 alichoshikilia nafasi hiyo ya mtendaji mkuu wa Serikali, hatasahau mambo matano makubwa aliyokumbana nayo.
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Dk Tulia ajiangalie mambo matano
Dk Tulia Ackson amechaguliwa kuwa naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hiyo ni baada ya kumshinda mpinzani wake kutoka chama cha CUF, Magdalena Sakaya.
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Sitta: Mambo matano kwa Taifa
Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta ametangaza nia ya kugombea urais kwa tiketi ya CCM, akieleza kuwa anataka kulifanyia Taifa mambo matano, ikiwa ni pamoja na kutenganisha biashara na siasa na kusimamia maadili ya viongozi wa umma.
10 years ago
Mwananchi15 Jul
Mambo matano yaliyompa kijiti Magufuli
Watanzania wengi na hata wagombea wa CCM walipigwa na butwaa kubwa baada ya kuona Dk John Magufuli anachaguliwa kuwa mgombea urais wa chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
10 years ago
Vijimambo14 Jul
Mambo matano mazuri ya Magufuli akiwa rais
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2787294/highRes/1060755/-/maxw/600/-/3mujumz/-/magufuli.jpg)
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha Dk John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais wa chama hicho kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Tanzania utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu.Kwanza kabisa napenda kumpongeza sana Magufuli kwa hatua aliyofikia na kumtakia kila la heri. Naomba kukiri kwa uwazi kwamba katika uchaguzi unaohusisha vyama vya siasa ni lazima mshindi atapatikana na kwa Tanzania ni lazima mshindi huyo atoke kwenye chama cha siasa.Tanzania ina vyama 22 vilivyosajiliwa na vinavyofanya kazi...
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Mambo muhimu matano yanayoiweka CCM pabaya
>Wiki mbili zilizopita Chama Cha Mapinduzi (CCM) kiliadhimisha sherehe za kutimiza miaka 37 tangua kuanzishwa, huku kikiwa na mambo matano yanayokikaba koo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania