Sitta: Mambo matano kwa Taifa
Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta ametangaza nia ya kugombea urais kwa tiketi ya CCM, akieleza kuwa anataka kulifanyia Taifa mambo matano, ikiwa ni pamoja na kutenganisha biashara na siasa na kusimamia maadili ya viongozi wa umma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Mambo matano yanayompaisha Mboto
UNAPOZUNGUMZIA wachekeshaji wanaofanya vizuri hapa nchini, hakika mchekeshaji Salim Haji ‘Mboto’ kamwe huwezi kuacha kulitaja jina lake. Kwa wale wasiofahamu historia yake, wanaweza wakadhani msanii huyu alianza kazi hiyo miaka...
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Sumaye: Sitasahau mambo matano
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Dk Tulia ajiangalie mambo matano
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Washauri mambo matano kuepusha vurugu
10 years ago
Mwananchi15 Jul
Mambo matano yaliyompa kijiti Magufuli
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Mambo matano yaliyoibuka ziara ya Kinana Tabora
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Mambo muhimu matano yanayoiweka CCM pabaya
10 years ago
Vijimambo14 Jul
Mambo matano mazuri ya Magufuli akiwa rais
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2787294/highRes/1060755/-/maxw/600/-/3mujumz/-/magufuli.jpg)
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha Dk John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais wa chama hicho kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Tanzania utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu.Kwanza kabisa napenda kumpongeza sana Magufuli kwa hatua aliyofikia na kumtakia kila la heri. Naomba kukiri kwa uwazi kwamba katika uchaguzi unaohusisha vyama vya siasa ni lazima mshindi atapatikana na kwa Tanzania ni lazima mshindi huyo atoke kwenye chama cha siasa.Tanzania ina vyama 22 vilivyosajiliwa na vinavyofanya kazi...