Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mambo matano mazuri ya Magufuli akiwa rais


Chama cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha Dk John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais wa chama hicho kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Tanzania utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu.Kwanza kabisa napenda kumpongeza sana Magufuli kwa hatua aliyofikia na kumtakia kila la heri. Naomba kukiri kwa uwazi kwamba katika uchaguzi unaohusisha vyama vya siasa ni lazima mshindi atapatikana na kwa Tanzania ni lazima mshindi huyo atoke kwenye chama cha siasa.Tanzania ina vyama 22 vilivyosajiliwa na vinavyofanya kazi...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

UCHAGUZI CCM: Mambo matano mazuri ya Magufuli akiwa rais

>Chama cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha Dk John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais wa chama hicho kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Tanzania utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAGUZI CCM: Mambo matano ‘mabaya’ Magufuli akiwa rais

>Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha Dk John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais wa chama hicho kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Tanzania utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu. Tanzania ina vyama 22 vilivyosajiliwa na vinavyofanya kazi sasa, tutake tusitake ni lazima rais wa nchi atatoka katika chama kimojawapo, na kwa sababu CCM imeshapitisha mgombea wake na yeye ana fursa ya kushinda uchaguzi kama ambavyo fursa hiyo ilivyo kwenye vyama vingine.

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo matano yaliyompa kijiti Magufuli

Watanzania wengi na hata wagombea wa CCM walipigwa na butwaa kubwa baada ya kuona Dk John Magufuli anachaguliwa kuwa mgombea urais wa chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.

 

9 years ago

Habarileo

Wasanii kufaidika na Magufuli akiwa rais

MGOMBEA Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),Dk John Magufuli amesema kuwa akichaguliwa kuongoza nchi atahakikisha wasanii na wachezaji wanafaidika na kazi yao.

 

5 years ago

Michuzi

JOTO LA URAIS CHADEMA LAPAMBA MOTO, MCH MSIGWA ATAJA MAMBO MATATU ATAKAYOYAFANYA AKIWA RAIS


Charles James, Michuzi TV

UCHUMI imara, kusimamia utawala bora na kuboresha elimu nchini, ndivyo vipaumbele vitatu ambavyo Mtia nia wa Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mch Peter Msigwa amevitaja.

Mch Msigwa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini ametangaza rasmi nia yake hiyo ya kugombea Urais kupitia Chadema leo jijini Dodoma ambapo pia alisindikizwa na wabunge wenzake, Godbless Lema, Joseph Mbilinyi 'Sugu' Hawa Mwaifunga na John Heche.

Akizungumza na wandishi...

 

9 years ago

Michuzi

Rais Magufuli akiwa Ofisini Kwake Siku ya Kwanza

Rais Dkt. John Pombe Magufuli akifanyakazi ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam leo ikiwa ni siku yake ya kwanza ofisini kwake tangu alipoapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya tano.(Picha na Freddy Maro)

 

10 years ago

Raia Mwema

Kama akiwa Rais Nani atamfunga ‘gavana’ Magufuli?

NIANZE kwa kuwaomba radhi wasomaji wangu kwa kutoweka ghafla, na kwa muda mrefu katika safu hii.

Johnson Mbwambo

 

10 years ago

Mwananchi

Furahia unachokifanya, mambo mazuri yanaanza na wewe

Hatuwezi kuanza darasa letu bila kujuliana hali. Na nitakuwa siyo mwenye busara kama hatutasalimiana kwanza. Hivyo basi baada ya kusema hayo machache naomba niwasalimie. Natumaini wenzangu ni wazima.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Tulia ajiangalie mambo matano

Dk Tulia Ackson amechaguliwa kuwa naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hiyo ni baada ya kumshinda mpinzani wake kutoka chama cha CUF, Magdalena Sakaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani