JOTO LA URAIS CHADEMA LAPAMBA MOTO, MCH MSIGWA ATAJA MAMBO MATATU ATAKAYOYAFANYA AKIWA RAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-8cUZCbzQE7Y/XuX5MAXKM5I/AAAAAAALtx0/xRorJUptMFUxzv2m9PsARv6ntEQ8PjyjQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-14%2Bat%2B12.45.32%2BPM.jpeg)
Charles James, Michuzi TV
UCHUMI imara, kusimamia utawala bora na kuboresha elimu nchini, ndivyo vipaumbele vitatu ambavyo Mtia nia wa Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mch Peter Msigwa amevitaja.
Mch Msigwa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini ametangaza rasmi nia yake hiyo ya kugombea Urais kupitia Chadema leo jijini Dodoma ambapo pia alisindikizwa na wabunge wenzake, Godbless Lema, Joseph Mbilinyi 'Sugu' Hawa Mwaifunga na John Heche.
Akizungumza na wandishi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Mar
Juma: Natamani ningemwambia Rais mambo haya matatu
11 years ago
Mwananchi12 Jul
Nyalandu aifanyia kazi video ya Mch Msigwa
9 years ago
Mwananchi29 Oct
CCM kupinga matokeo ya Mdee, Mch. Msigwa mahakamani
10 years ago
Bongo Movies01 Jun
Bifu la Lulu na Husna Lapamba Moto
Lile bifu lililowahi kutokea kati ya staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Video queen maarufu hapa Bongo Husna Maulid limeingia ukurusa mpya, ambapo Lulu ameibuka hadharani na kumtaka hasimu wake huyo kukaa mbali na yeye kwani hamuwezi kwa lolote, chanzo cha bifu ni mwanaume ambaye awali alikuwa akitoka na Husna na baadae Lulu kumpiku rafiki yake, ambapo aliiba namba ya mwanaume huyo na kuanza kujitongozesha... msikilize Lulu chini
"Haya haya...mwenzenu uswahili niliacha Sema...
11 years ago
Dewji Blog14 May
Hotuba ya msemaji mkuu wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni Mhe. Mch. Peter Simon Msigwa
Hotuba Ya Msemaji Mkuu Wa Upinzani-maliasili Na Utalii Final Version 2014 by moblog
10 years ago
Vijimambo14 Jul
Mambo matano mazuri ya Magufuli akiwa rais
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2787294/highRes/1060755/-/maxw/600/-/3mujumz/-/magufuli.jpg)
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha Dk John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais wa chama hicho kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Tanzania utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu.Kwanza kabisa napenda kumpongeza sana Magufuli kwa hatua aliyofikia na kumtakia kila la heri. Naomba kukiri kwa uwazi kwamba katika uchaguzi unaohusisha vyama vya siasa ni lazima mshindi atapatikana na kwa Tanzania ni lazima mshindi huyo atoke kwenye chama cha siasa.Tanzania ina vyama 22 vilivyosajiliwa na vinavyofanya kazi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vr1F7OTOjnE/U9S-r3IdMFI/AAAAAAAF694/MqrB2oc9ka8/s72-c/01.jpg)
SHINDANO LA VODACOM DANCE 100 LAPAMBA MOTO LASHIKA KASI JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-vr1F7OTOjnE/U9S-r3IdMFI/AAAAAAAF694/MqrB2oc9ka8/s1600/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ejFc6W9iaqo/U9S-s3ZmUFI/AAAAAAAF6-A/pOUtEvbMPPQ/s1600/02.jpg)
10 years ago
Mwananchi25 Jul
Fomu za urais Chadema kaa la moto
10 years ago
Mwananchi13 Jul
UCHAGUZI CCM: Mambo matano mazuri ya Magufuli akiwa rais