Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Juma: Natamani ningemwambia Rais mambo haya matatu

Ni mtoto wa kwanza kati ya watoto watatu wa Mzee Hussein aliyepanga eneo la Kipunguni, Ilala jijini Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Nay wa Mitego hufanya mambo haya matatu kabla hajapanda stejini

Kutokana na baadhi ya video anazofanya na matendo yake, watu wengi wanaamini kuwa Nay wa Mitego ni mfuasi wa jamii ya freemason ambayo watanzania wa kawaida wanaamini kuwa ina uhusiano wa karibu na shetani. Hata hivyo wale wenye imani hiyo wanaweza kuwa ‘wrong’. Rapper huyo controversial amesema kabla ya kupanda stejini katika kila show anazofanya […]

 

5 years ago

Michuzi

JOTO LA URAIS CHADEMA LAPAMBA MOTO, MCH MSIGWA ATAJA MAMBO MATATU ATAKAYOYAFANYA AKIWA RAIS


Charles James, Michuzi TV

UCHUMI imara, kusimamia utawala bora na kuboresha elimu nchini, ndivyo vipaumbele vitatu ambavyo Mtia nia wa Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mch Peter Msigwa amevitaja.

Mch Msigwa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini ametangaza rasmi nia yake hiyo ya kugombea Urais kupitia Chadema leo jijini Dodoma ambapo pia alisindikizwa na wabunge wenzake, Godbless Lema, Joseph Mbilinyi 'Sugu' Hawa Mwaifunga na John Heche.

Akizungumza na wandishi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mambo matatu yaitesa CCM

MBIO za kusaka urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), na uteuzi wa nafasi nne za mawaziri, vinaelezwa kukibomoa chama hicho, Tanzania Daima limedokezwa. Mbali na mambo hayo, mchakato...

 

9 years ago

Dewji Blog

Haya ndiyo majina matatu (3) ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora duniani 2015

ballon-shortlist

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Shirikisho la soka duniani (FIFA) limetaja majina matatu (3) ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa dunia kwa mwaka 2015.

Majina hayo matatu (3) yamepatikana kutoka kwa majina 23 aliyokuwa yamependekezwa awali. Majina hayo ni;

Cristiano Ronaldo (Ureno – Real Madrid)

Lionel Messi (Argentina – Barcelona)

Neymar da Silva Santos (Brazil – Barcelona)

Kwa upande wa wanawake FIFA imewataja;

Carli Lloyd (Houston Dash -USA)

Aya Miyama (Okayama Yunogo Belle –...

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Msonde: Naahidi mambo matatu Baraza la Mitihani

Baada ya kukaimu kwa karibu mwaka mmoja nafasi ya Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta), hatimaye mwezi Agosti, Rais Jakaya Kikwete alimteua Dk Charles Msonde kuongoza taasisi hiyo nyeti nchini.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Mambo Matatu Usiyoyajua kuhusu Malaika

10617116_420678268131842_1583409129_n

Tazama video hii kujua mambo matatu usiyoyajua kuhusu Malaika.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Video: Mambo Matatu usiyoyajua kuhusu Naj

Naj

Haya ni mambo matatu usiyoyajua kuhusu Naj.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Michuzi

MAMBO MATATU YATAKAYOKUONDOLEA KOSA LA JINAI MAHAKAMANI.

Image result for KOSA  La  jinai
Na Bashir YakubMakosa  ya  jinai  ni  makosa  yote  yaliyoorodheshwa  katika  sura  ya  16  ya  kanuni  za  adhabu  pamoja  na  yale  yaliyo  katika  sheria  nyingine  kama  ile  ya  uhujumu  uchumi.  Pamoja  na  kuwapo  sheria nyingine  ambazo huorodhesha  makosa  ya  jinai   bado  Kanuni  za  adhabu  inabaki  kuwa  sheria  kuu  inayoorodhesha  makosa  ya  jinai.  Kwa  ujumla  katika  sheria tunayo makosa  makuu  ya  aina mbili. Kwanza  ni  hayo  ya  jinai  na  pili  ni  ya  madai.  Kwa ...

 

10 years ago

GPL

Okwi awapa Yanga mambo matatu Waarabu wafe

Shambuliaji hatari wa Simba, Emmanuel Okwi. Johnson James, Mwanza
MSHAMBULIAJI hatari wa Simba, Emmanuel Okwi, amewapongeza wapinzani wake wakubwa, Yanga, baada ya kufanikiwa kutinga hatua ya 16 Bora ya Kombe la Shirikisho Afrika lakini pia amewapa mambo matatu ili wawang’oe Waarabu. Yanga kwa sasa inatarajiwa kuvaana na Etoile du Sahel ya Tunisia kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora baada ya kuitupa nje Platinum ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani