Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Okwi awapa Yanga mambo matatu Waarabu wafe

Shambuliaji hatari wa Simba, Emmanuel Okwi. Johnson James, Mwanza
MSHAMBULIAJI hatari wa Simba, Emmanuel Okwi, amewapongeza wapinzani wake wakubwa, Yanga, baada ya kufanikiwa kutinga hatua ya 16 Bora ya Kombe la Shirikisho Afrika lakini pia amewapa mambo matatu ili wawang’oe Waarabu. Yanga kwa sasa inatarajiwa kuvaana na Etoile du Sahel ya Tunisia kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora baada ya kuitupa nje Platinum ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Okwi awashukuru... Yanga kwa mabao matatu

Mhambuliaji nyota wa Simba, Emmanuel Okwi. Na Mwandishi Wetu
MSHAMBULIAJI nyota wa Simba, Emmanuel Okwi, amesema sare mfululizo ziliwafanya yeye na wenzake kukosa usingizi kila kabla na baada ya mechi.Lakini amewashukuru mashabiki wa Yanga ambao walikuwa wanamzomea kuwa wamemsaidia kucheza kwa juhudi zaidi na kufanikiwa kufunga mabao matatu katika mechi saba za Ligi Kuu Bara. Okwi ndiye alifunga bao pekee wakati Simba...

 

11 years ago

GPL

Waarabu wampa Okwi sh 800M

PAMOJA na kuelezwa kuwa thamani ya mshambuliaji Emmanuel Okwi imeshuka hadi dola 205,000 (Sh milioni 328), klabu ya Al Ain ya Falme za Kiarabu (UAE) imetangaza dola 500,000 (zaidi ya Sh milioni 800) ili kumnasa. Mshambuliaji Emmanuel Okwi. Al Ain ndiyo timu anayochezea mshambuliaji nyota wa Ghana, Asamoah Gyan na imekubali kumlipa Okwi kitita cha dola 10,000 (Sh milioni 16) kwa mwezi, yeye mwenye anajua. Iwapo biashara hiyo...

 

10 years ago

GPL

Yanga SC yawaotea Waarabu

Wachezaji wa Yanga wakishangilia goli. KOCHA wa Yanga, Hans van Der Pluijm, jeuri sana, kwani amefanya mazoezi mara mbili na kikosi chake kisha akawasisitizia wachezaji wake kwamba, wote lazima wakabe kisawasawa kuanzia mwanzo hadi mwisho katika mchezo wao dhidi ya Etoile du Sahel leo Jumamosi usiku. Yanga ipo jijini hapa tangu juzi kujiandaa na mchezo wake wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Etoile du Sahel...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga kuwasikilizia Waarabu Bagamoyo

WAWAKILISHI wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga wanatarajiwa kuwasili nchini leo kutoka visiwani Comoro na watakwenda kujichimbia kambini Bagamoyo mkoani Pwani. Yanga juzi ilifanikiwa kusonga mbele baada ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga jiandaeni mapema, Waarabu wepesi tu

Kati ya Aprili 17, 18 na 19, 2015, wawakilishi pekee wa Tanzania, katika michuano ya klabu Afrika, Kombe la Shirikisho, Yanga itakuwa katika harakati za kuwania heshima ya ubingwa kwa klabu Afrika.

 

10 years ago

GPL

YANGA INAVYOJIWINDA DHIDI YA WAARABU WA TUNISIA

Kocha Pluijm (mwenye fulana ya njano) akitoa maelekezo kwa wachezaji wake. Wachezaji wakijiandaa kupiga mashuti. Kocha Pluijm akimuangalia Haruna Niyonzima anavyofuata maelekezo aliyompa.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mambo matatu yaitesa CCM

MBIO za kusaka urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), na uteuzi wa nafasi nne za mawaziri, vinaelezwa kukibomoa chama hicho, Tanzania Daima limedokezwa. Mbali na mambo hayo, mchakato...

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Msonde: Naahidi mambo matatu Baraza la Mitihani

Baada ya kukaimu kwa karibu mwaka mmoja nafasi ya Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta), hatimaye mwezi Agosti, Rais Jakaya Kikwete alimteua Dk Charles Msonde kuongoza taasisi hiyo nyeti nchini.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Mambo Matatu Usiyoyajua kuhusu Malaika

10617116_420678268131842_1583409129_n

Tazama video hii kujua mambo matatu usiyoyajua kuhusu Malaika.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani