Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga kuwasikilizia Waarabu Bagamoyo

WAWAKILISHI wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga wanatarajiwa kuwasili nchini leo kutoka visiwani Comoro na watakwenda kujichimbia kambini Bagamoyo mkoani Pwani. Yanga juzi ilifanikiwa kusonga mbele baada ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Waarabu watoa masharti uwekezaji bandari ya Bagamoyo

Maofisa wa eneo huria la uwekezaji la Jafza katika Bandari Jebel Ali ya jijini hapa wamelalamikia urasimu katika maeneo mbalimbali ya uwekezaji Tanzania na kudai kuwa ndiyo yanayokwamisha shughuli nyingi za maendeleo.

 

10 years ago

GPL

Yanga SC yawaotea Waarabu

Wachezaji wa Yanga wakishangilia goli. KOCHA wa Yanga, Hans van Der Pluijm, jeuri sana, kwani amefanya mazoezi mara mbili na kikosi chake kisha akawasisitizia wachezaji wake kwamba, wote lazima wakabe kisawasawa kuanzia mwanzo hadi mwisho katika mchezo wao dhidi ya Etoile du Sahel leo Jumamosi usiku. Yanga ipo jijini hapa tangu juzi kujiandaa na mchezo wake wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Etoile du Sahel...

 

10 years ago

GPL

YANGA INAVYOJIWINDA DHIDI YA WAARABU WA TUNISIA

Kocha Pluijm (mwenye fulana ya njano) akitoa maelekezo kwa wachezaji wake. Wachezaji wakijiandaa kupiga mashuti. Kocha Pluijm akimuangalia Haruna Niyonzima anavyofuata maelekezo aliyompa.…

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga jiandaeni mapema, Waarabu wepesi tu

Kati ya Aprili 17, 18 na 19, 2015, wawakilishi pekee wa Tanzania, katika michuano ya klabu Afrika, Kombe la Shirikisho, Yanga itakuwa katika harakati za kuwania heshima ya ubingwa kwa klabu Afrika.

 

10 years ago

GPL

Okwi awapa Yanga mambo matatu Waarabu wafe

Shambuliaji hatari wa Simba, Emmanuel Okwi. Johnson James, Mwanza
MSHAMBULIAJI hatari wa Simba, Emmanuel Okwi, amewapongeza wapinzani wake wakubwa, Yanga, baada ya kufanikiwa kutinga hatua ya 16 Bora ya Kombe la Shirikisho Afrika lakini pia amewapa mambo matatu ili wawang’oe Waarabu. Yanga kwa sasa inatarajiwa kuvaana na Etoile du Sahel ya Tunisia kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora baada ya kuitupa nje Platinum ya...

 

9 years ago

Habarileo

Yanga wakacha kwenda Bagamoyo

MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wameahirisha kambi waliyokuwa waifanye Bagamoyo mkoani Pwani na sasa itafanyika Dar es Salaam kwa ajili ya kutoa fursa kwa wachezaji wao wote kuunganika haraka.

 

5 years ago

Michuzi

DC BAGAMOYO AHIDI KUMALIZA KERO NA MALALAMIKO YA WAFANYABIASHARA WANAOTUMIA BANDARI YA BAGAMOYO

Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Mhe. Zainab Kawawa amewasihi wafanyabiashara kutumia bandari ya Bagamoyo kuingiza bidhaa zao na kusafirisha bidhaa zinazotoka nje ya Bagamoyo.

Mhe. Zainab ameyasema hayo alipofanya mkutano maalum na wafanyabiashara wa Bagamoyo wanaotumia bandari ndogo ya Bagamoyo baada ya wafanya biashara hao kuacha kutumia bandari hiyo wakidai huduma zisizoridhisha toka kwa uongozi wa mamlaka ya bandari ya Bagamoyo.

Akizungumza kwa niaba ya Wafanyabiashara wanaotumia bandari ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani