Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga wakacha kwenda Bagamoyo

MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wameahirisha kambi waliyokuwa waifanye Bagamoyo mkoani Pwani na sasa itafanyika Dar es Salaam kwa ajili ya kutoa fursa kwa wachezaji wao wote kuunganika haraka.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Bongo Fleva wakacha Tamasha la Sanaa Bagamoyo

BONGO FLEVANA FESTO POLEA

TAMASHA la 34 la kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo lililoanzishwa mwaka 1981 na Chuo cha Sanaa Bagamoyo (kwa sasa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo), linatarajiwa kufanyika kwa siku sita katika viwanja vya chuo hicho bila ya kuwa na ushiriki wa wasanii wa Bongo Fleva.

Mwenyekiti wa Tamasha hilo, John Mponda, alilieleza MTANZANIA kwamba hakuna msanii wa Bongo Fleva yeyote aliyejitokeza kuomba kushiriki katika tamasha hilo, jambo ambalo linaonyesha kutokuwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga kuwasikilizia Waarabu Bagamoyo

WAWAKILISHI wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga wanatarajiwa kuwasili nchini leo kutoka visiwani Comoro na watakwenda kujichimbia kambini Bagamoyo mkoani Pwani. Yanga juzi ilifanikiwa kusonga mbele baada ya...

 

11 years ago

GPL

Yanga yazuiwa kwenda Uturuki

Kikosi cha wachezaji wa Yanga. Wilbert Molandi na Martha Mboma
IMEFAHAMIKA kuwa, uwepo wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi umezuia kambi ya nje ya nchi ambayo Yanga ilipanga kuiweka, ikiwemo kwenda Uturuki kwa ajili ya maandalizi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara. Kombe hilo la Mapinduzi linatarajiwa kuanza kutimua vumbi Januari 12, mwakani likishirikisha timu za Bara na Zanzibar.
Chanzo cha habari kutoka ndani ya Kamati ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga kwenda Uturuki Alhamisi

>Wakati, Yanga wakipanga kuondoka nchini  Alhamisi kuelekea Uturuki, kiungo mchezeshaji wa timu  hiyo, Athuman Idd Chuji amekalia ‘kuti kavu’ endapo  atashindwa kuomba radhi kabla ya safari hiyo.

 

11 years ago

GPL

Twite: Yanga imenizuia kwenda Lupopo

Beki wa kimataifa wa Yanga, Mbuyu Twite. Na Wilbert  Molandi
BEKI kiraka wa kimataifa wa Yanga, Mbuyu Twite ameitaja timu yake kuwa ndiyo iliyoweka kizuizi cha yeye kujiunga na Lupopo FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Kongo. Twite ambaye mkataba wake wa kuichezea Yanga ulimalizika Aprili 19, mwaka huu alikuwa mbioni kuondoka klabuni hapo lakini mambo yakawa yanaenda ndivyo sivyo. Twite amezungumza na Championi Ijumaa na kusema...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ruksa Yanga SC kwenda Fifa — TFF

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limebariki safari ya klabu ya Yanga kwa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), kupeleka suala la mshambuliaji Emmanuel Okwi, ingawa wao kama wasimamizi wa soka...

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yamuacha Coutinho kwenda Botswana

Azam FC imeondoka wiki hii kuelekea Khartoum,Sudan kwa mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

 

10 years ago

GPL

Straika Yanga atangaza kwenda Stand

Mshambuliaji wa Yanga, Said Bahanuzi. Martha Mboma na Saphyna Mlawa
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Said Bahanuzi, amefunguka kuwa, yupo tayari kwenda kuitumikia Stand United.
Mshambuliaji huyo amesema yeye hana kikwazo endapo tu timu hizo mbili zitakubaliana. Straika huyo kwa sasa hana nafasi katika kikosi cha Yanga ambayo alijiunga nayo akitokea Mtibwa Sugar.
Akizungumza na Championi Jumatano, Bahanuzi alisema yupo tayari kwenda...

 

11 years ago

GPL

Friends of Simba wamzuia Tambwe kwenda Yanga

Sweetbert Lukonge na Martha Mboma
HATIMAYE mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe, ambaye hivi karibuni alihusishwa kutaka kuikimbia klabu hiyo na kwenda kujiunga na timu nyingine za ligi kuu, amepigwa pini na klabu hiyo baada ya kuhakikishiwa neema msimu ujao. Mshambuliaji wa Simba, Amisi Tambwe. Tambwe ambaye ni raia ya Burundi na ambaye ndiye amekuwa msaada mkubwa wa timu hiyo msimu huu baada ya kuifungia mabao 19 kweney...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani