Yanga kwenda Uturuki Alhamisi
>Wakati, Yanga wakipanga kuondoka nchini Alhamisi kuelekea Uturuki, kiungo mchezeshaji wa timu hiyo, Athuman Idd Chuji amekalia ‘kuti kavu’ endapo atashindwa kuomba radhi kabla ya safari hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcpMRlZG0d4aHrYaSifhqb3AmDqKXmqXzvf0tTJVocwsqZ*hQJhikM0W-67S5YYDX8S1l*l5sOGOTCVLuWj5pMxr/yangayazuiwa.gif?width=650)
Yanga yazuiwa kwenda Uturuki
Kikosi cha wachezaji wa Yanga. Wilbert Molandi na Martha Mboma
IMEFAHAMIKA kuwa, uwepo wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi umezuia kambi ya nje ya nchi ambayo Yanga ilipanga kuiweka, ikiwemo kwenda Uturuki kwa ajili ya maandalizi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara. Kombe hilo la Mapinduzi linatarajiwa kuanza kutimua vumbi Januari 12, mwakani likishirikisha timu za Bara na Zanzibar.
Chanzo cha habari kutoka ndani ya Kamati ya...
11 years ago
GPLYANGA HIYOOO UTURUKI
Msafara wa watu 33 wakiwemo wachezaji 27 unatarajia kuondoka usiku wa leo kuelekea nchini Uturuki kwa shirika la ndege la Uturki (Turkish Airlines) kuweka kambi ya mafunzo kwa muda wa takribani wiki mbili kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom pamoja na mashindano ya kimataifa. Kikosi cha Young Africans kitafikia katika Hoteli ya kitalii Sueno Beach Side iliyopo km 70 kutoka katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kBCKc186hLM/VdX1M01byoI/AAAAAAAHyp4/GZTNT9UjIT8/s72-c/Mkwasa1.png)
STARS KWENDA UTURUKI MOJA KWA MOJA
![](http://2.bp.blogspot.com/-kBCKc186hLM/VdX1M01byoI/AAAAAAAHyp4/GZTNT9UjIT8/s640/Mkwasa1.png)
Awali Taifa Stars ilikua ipitie Muscat nchini Oman kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya taifa ya nchi hiyo, lakini kutokana na shirkikisho la Soka la Oman kushindwa kukidhi mahitaji ya Kanuni za FIFA za uuandaaji wa mechi ya kimataifa ya kirafiki sasa mchezo huo...
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Yanga yajitoza faini, yaenda Uturuki
Pesa Sabuni ya Roho, ndivyo unavyoweza kusema baada ya Yanga kuipooza Kamati ya Maandalizi ya Kombe la Mapinduzi kwa kuipa Sh10 milioni kama kifuta jasho.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOLuc0lVoFhn-Yj2cpF0yUisqMVjpCkvMiSnkppgykcATEivfRNcTgWc7vCchMCjZ6lQPXjHebrQKvZ*HXX0FJ6e/mkenya.gif?width=650)
Mkenya kuipa Yanga SC shughuli Uturuki
Na Khadija Mngwai
KIUNGO Mkenya, Patrick Othiako, atapambana na wachezaji wa Yanga katika mechi ya tatu ya kirafiki ya timu hiyo ikiwa nchini Uturuki. Yanga imeweka kambi kwenye Mji wa Antalya nchini Uturuki na leo Jumatano itacheza mechi ya kirafiki dhidi ya Altay FK. Baada ya mechi hiyo ya leo, Januari 22 itacheza mechi nyingine ya kirafiki dhidi ya Silk inayoshiriki Ligi Kuu ya Azerbaijan. Othiako anayechezea timu ya taifa ya...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Yanga wakutana na Robeto Carlos Uturuki
MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga, wametua nchini Uturuki salama juzi jioni na kufikia Hoteli ya Sueno Beach Side, iliyoko Manavgat pembezoni kidogo mwa Jiji la Antalya, ambayo pia timu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5QcoBStP3tP-JLaTqTQffAa3fBwMPtReOu4xmc0GmJ5rw0VlvOYo8e70sMHR4nwgyzbeXTWfc9moldwA4Z43ST*n/yangaaaaaaaaa.jpg?width=650)
Kocha Yanga aweka rekodi Uturuki
Kocha mpya wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Na Mwandishi Wetu
KOCHA mpya wa Yanga, Hans van Der Pluijm, ameweka rekodi mpya akiwa na klabu yake hiyo nchini Uturuki. Kocha huyo Mholanzi ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza wa klabu kutoka nje ya Tanzania kuvaa sare ya timu ya taifa, Taifa Stars. Kwa kipindi chote ambacho Yanga wamekuwa nchini Uturuki, van Der Pluijm amekuwa akivaa koti la Taifa Stars ambalo huvaliwa na...
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-lGBXuT6kQ5c/Us4gReG7eTI/AAAAAAAA3tM/gUBCApbgzGE/s1600/1.jpg?width=640)
YANGA NDANI YA TURKISH AIRLINE SAFARI UTURUKI.
Wachezaji wa Yanga SC, Mrisho Ngassa kulia na Haruna Niyonzima kushoto wakiwa ndani ya ndege ya Turkish Airline kwa safari ya Uturuki Alfajiri ya leo ambako wanakwenda kuweka kambi ya wiki mbili kujiandaa na michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika pamoja na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Bara. Jerry Tegete katika mgahawa wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) na chini ni Juma Abdul. HABARI/PICHA: BIN...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5Qf0Ys8XClOgiDTNvQapHdh1GUlCrhfaCgdE*cFp43RFJXe4OVLpVDUhhrNScA80zCKfQm3yBU6Yt42sxAdFKT5h/fmf.jpg?width=600)
YANGA YAENDELEA KUJIFUA, KUONDOKA KESHO UTURUKI
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo imeendelea na mazoezi ya asubuhi katika viwanja vya hoteli ya Sueno katika kuendelea kujiweka sawa kabla ya kuanza safari kesho mchana ya kurejea nchini Tanzania tayari kwa mikikimikiki ya mzunguko wa pili wa VPL 2013/2014. Kocha mkuu Hans Van Der Plyum ameendelea kuwaandaa wachezaji wake na kuyafanyia marekebisho kadhaa yaliyojitokeza katika...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania