Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YANGA NDANI YA TURKISH AIRLINE SAFARI UTURUKI.

Wachezaji wa Yanga SC, Mrisho Ngassa kulia na Haruna Niyonzima kushoto wakiwa ndani ya ndege ya Turkish Airline kwa safari ya Uturuki Alfajiri ya leo ambako wanakwenda kuweka kambi ya wiki mbili kujiandaa na michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika pamoja na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Bara. Jerry Tegete katika mgahawa wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) na chini ni Juma Abdul. HABARI/PICHA: BIN...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Turkish airline happy with business growth

Istanbul. Airline business is extremely competitive globally and when the Turkish Airlines started its flights in Tanzania in 2010, not much was expected out of the venture.

 

10 years ago

Habarileo

Mkwassa aita 29 safari ya Uturuki

KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars Charles Mkwasa ameita kikosi cha wachezaji 29 kwa ajili ya kambi ya Uturuki huku wachezaji tisa wakitoka Azam.

 

11 years ago

GPL

SAFARI YA UTURUKI YATAKA KUMUUA MZEE MAJUTO

Na Gladness Mallya
MSANII wa maigizo na filamu nchini, Amri Athumani ‘Mzee Majuto’ ameeleza kuwa, kwa furaha aliyonayo baada ya kupata safari ya kwenda Uturuki imemfanya ajisikie kufa kwani ni bahati ambayo hakuitarajia. Msanii wa maigizo na filamu nchini, Amri Athumani ‘Mzee Majuto’. Mzee Majuto amepata shavu akiongozana na wasanii wengine wawili, Vicent Kigosi ‘Ray’ na Steven Jacob...

 

11 years ago

GPL

YANGA HIYOOO UTURUKI

Msafara wa watu 33 wakiwemo wachezaji 27 unatarajia kuondoka usiku wa leo kuelekea nchini Uturuki kwa shirika la ndege la Uturki (Turkish Airlines) kuweka kambi ya mafunzo kwa muda wa takribani wiki mbili kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom pamoja na mashindano ya kimataifa. Kikosi cha Young Africans kitafikia katika Hoteli ya kitalii Sueno Beach Side iliyopo km 70 kutoka katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga kwenda Uturuki Alhamisi

>Wakati, Yanga wakipanga kuondoka nchini  Alhamisi kuelekea Uturuki, kiungo mchezeshaji wa timu  hiyo, Athuman Idd Chuji amekalia ‘kuti kavu’ endapo  atashindwa kuomba radhi kabla ya safari hiyo.

 

11 years ago

GPL

Yanga yazuiwa kwenda Uturuki

Kikosi cha wachezaji wa Yanga. Wilbert Molandi na Martha Mboma
IMEFAHAMIKA kuwa, uwepo wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi umezuia kambi ya nje ya nchi ambayo Yanga ilipanga kuiweka, ikiwemo kwenda Uturuki kwa ajili ya maandalizi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara. Kombe hilo la Mapinduzi linatarajiwa kuanza kutimua vumbi Januari 12, mwakani likishirikisha timu za Bara na Zanzibar.
Chanzo cha habari kutoka ndani ya Kamati ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga wakutana na Robeto Carlos Uturuki

MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga, wametua nchini Uturuki salama juzi jioni na kufikia Hoteli ya Sueno Beach Side, iliyoko Manavgat pembezoni kidogo mwa Jiji la Antalya, ambayo pia timu...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yajitoza faini, yaenda Uturuki

Pesa Sabuni ya Roho, ndivyo unavyoweza kusema baada ya Yanga kuipooza Kamati ya Maandalizi ya Kombe la Mapinduzi kwa kuipa Sh10 milioni kama kifuta jasho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani