YANGA NDANI YA TURKISH AIRLINE SAFARI UTURUKI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-lGBXuT6kQ5c/Us4gReG7eTI/AAAAAAAA3tM/gUBCApbgzGE/s1600/1.jpg?width=640)
Wachezaji wa Yanga SC, Mrisho Ngassa kulia na Haruna Niyonzima kushoto wakiwa ndani ya ndege ya Turkish Airline kwa safari ya Uturuki Alfajiri ya leo ambako wanakwenda kuweka kambi ya wiki mbili kujiandaa na michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika pamoja na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Bara. Jerry Tegete katika mgahawa wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) na chini ni Juma Abdul. HABARI/PICHA: BIN...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen15 May
Turkish airline happy with business growth
11 years ago
GPL03 Jan
10 years ago
Habarileo07 Aug
Mkwassa aita 29 safari ya Uturuki
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars Charles Mkwasa ameita kikosi cha wachezaji 29 kwa ajili ya kambi ya Uturuki huku wachezaji tisa wakitoka Azam.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYnkLFFzpAUyNB8*Ry3FyeILMGFog-KfpvlyFOd4WejAaiMFmo1CddroLkUcOV6WHhPJTFwicJjw0jUBT3pAjym3/MZEEmajuto.jpg)
SAFARI YA UTURUKI YATAKA KUMUUA MZEE MAJUTO
11 years ago
GPLYANGA HIYOOO UTURUKI
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Yanga kwenda Uturuki Alhamisi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcpMRlZG0d4aHrYaSifhqb3AmDqKXmqXzvf0tTJVocwsqZ*hQJhikM0W-67S5YYDX8S1l*l5sOGOTCVLuWj5pMxr/yangayazuiwa.gif?width=650)
Yanga yazuiwa kwenda Uturuki
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Yanga wakutana na Robeto Carlos Uturuki
MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga, wametua nchini Uturuki salama juzi jioni na kufikia Hoteli ya Sueno Beach Side, iliyoko Manavgat pembezoni kidogo mwa Jiji la Antalya, ambayo pia timu...
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Yanga yajitoza faini, yaenda Uturuki