SAFARI YA UTURUKI YATAKA KUMUUA MZEE MAJUTO
![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYnkLFFzpAUyNB8*Ry3FyeILMGFog-KfpvlyFOd4WejAaiMFmo1CddroLkUcOV6WHhPJTFwicJjw0jUBT3pAjym3/MZEEmajuto.jpg)
Na Gladness Mallya MSANII wa maigizo na filamu nchini, Amri Athumani ‘Mzee Majuto’ ameeleza kuwa, kwa furaha aliyonayo baada ya kupata safari ya kwenda Uturuki imemfanya ajisikie kufa kwani ni bahati ambayo hakuitarajia. Msanii wa maigizo na filamu nchini, Amri Athumani ‘Mzee Majuto’. Mzee Majuto amepata shavu akiongozana na wasanii wengine wawili, Vicent Kigosi ‘Ray’ na Steven Jacob...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 May
JB amkabidhi Mzee Majuto tuzo ya ‘Shikamoo Mzee’
MSANII wa filamu za Bongo, Jacob Stephen ‘JB’ ameamua kumkabidhi mkongwe wa tasnia hiyo, Mzee Majuto tuzo ya ZIFF aliyoshinda mwaka huu kupitia filamu yake ya ‘Shikamoo Mzee’ kama heshima...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DS3fBDgklorUmdbBzaky6CWN1Ev2K*TXVyWwO49gFEYRkkDToG4aX1p*hbLjHbUH4SaKxJY1ThtR0vpHfKghJjPoN7hdAl6J/mzee.jpg?width=650)
MZEE MAJUTO ATAPELIWA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/x93ABI42iFW29as1MN1fUZDtVmEA-aJDHbIPosQqBoANWKwI9oqq10QIvbteGTA*t3w5sXnGv-rJNVjGBsKXeARWQCn3GC*3/makka.jpg?width=650)
MZEE MAJUTO ASIMULIA ALIVYONUSURIKA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SeezoJYZp4g/VNh4NBBAjYI/AAAAAAAAelE/V_RDo7Pmi3U/s72-c/kimbulu.png)
Mzee Majuto Sasa anapatikana Mtandaoni
![](http://2.bp.blogspot.com/-SeezoJYZp4g/VNh4NBBAjYI/AAAAAAAAelE/V_RDo7Pmi3U/s1600/kimbulu.png)
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Mzee Majuto afikiria kukacha uigizaji
MCHEKESHAJI mkongwe katika tasnia ya filamu nchini, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’, amesema mazingira ya soko la filamu kwa sasa yanamkatisha tamaa na hivyo kumfanya kila wakati afikirie kustaafu na kuhamia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vnQhPUwEod3bC2fn6k9qxwQAHFQoglpGx6jhqqJIYas6WE82hBIqGkTK9jZDbPkkiff9TmIKuagshvXEctuz8QS22zIz0-VU/44.jpg?width=650)
MZEE MAJUTO AFUNGUKA KUOA MJUKUU WAKE!
10 years ago
Bongo Movies19 Dec
KAZI MPYA: Kutoka Kwa Wolper na Mzee Majuto
Tukiwa unaelekea ukingoni mwa mwaka 2014 , Waigizaji Jackline Masawe “Wolper”na King Majuto wameonekana wakiwa mzigoni kutengeneza kitu kipya. Mwanadada Wolper aliidondosha picha hii na kuandika “New Movie with majuto dady”
Ingawa bado jina la movie halijawekwa hadharani, pamoja na lini movie hiyo itatoka, mashabiki wengi mitandaoni wameonyesha kutegemea kazi nzuri kutoka kwa hawa watu kwani ni waigizaji wenye uwezo na uzoefu mkusana.
Je wewe wategemea movie ya namna gani kutoka kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVk-4qKlhukM3EID-px8QmVUSbSAJzUyR5EbZbL8QtiTQR5bHujwYzOBRZ4nmYZuFDRRtOXrBd6DLWkrtk0oYJHU/mzee.jpg)
MZEE MAJUTO AWAALIKA WAOMBOLEZAJI KWENYE MSIBA WAKE
10 years ago
Bongo Movies01 Jan
Ugomvi:Mzee Majuto Akataa Kupanda Mabasi ya Airport-JB
UTANI KIDOGO: Wakiwa uwanja cha ndege, safarini kuelekea mkoani, JB aliweka picha hii ya Mzee Majuto na kuandika maneno haya;
“Amekataa kupanda mabasi ya airport anataka aende na hii.tena aendeshe kama alivyofanya uturuki.ni ugomvi hapa airport...”
Hehehe Kheri ya mwaka mpya ndugu zangu.
Mzee wa Ubuyu