Ugomvi:Mzee Majuto Akataa Kupanda Mabasi ya Airport-JB
UTANI KIDOGO: Wakiwa uwanja cha ndege, safarini kuelekea mkoani, JB aliweka picha hii ya Mzee Majuto na kuandika maneno haya;
“Amekataa kupanda mabasi ya airport anataka aende na hii.tena aendeshe kama alivyofanya uturuki.ni ugomvi hapa airport...”
Hehehe Kheri ya mwaka mpya ndugu zangu.
Mzee wa Ubuyu
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 May
JB amkabidhi Mzee Majuto tuzo ya ‘Shikamoo Mzee’
MSANII wa filamu za Bongo, Jacob Stephen ‘JB’ ameamua kumkabidhi mkongwe wa tasnia hiyo, Mzee Majuto tuzo ya ZIFF aliyoshinda mwaka huu kupitia filamu yake ya ‘Shikamoo Mzee’ kama heshima...
10 years ago
GPL
MZEE MAJUTO ATAPELIWA
11 years ago
Habarileo16 Sep
Wananchi wagoma kupanda mabasi
KITUO Kikuu cha Mabasi mjini Mpanda, mkoani Katavi kilikumbwa na tafrani jana baada ya abiria kugoma kusafiri na mabasi mawili baada ya kubaini matairi yake yamechakaa.
10 years ago
GPL
MZEE MAJUTO ASIMULIA ALIVYONUSURIKA
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Mzee Majuto afikiria kukacha uigizaji
MCHEKESHAJI mkongwe katika tasnia ya filamu nchini, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’, amesema mazingira ya soko la filamu kwa sasa yanamkatisha tamaa na hivyo kumfanya kila wakati afikirie kustaafu na kuhamia...
10 years ago
Michuzi
Mzee Majuto Sasa anapatikana Mtandaoni

11 years ago
GPL
SAFARI YA UTURUKI YATAKA KUMUUA MZEE MAJUTO
10 years ago
GPL
MZEE MAJUTO AFUNGUKA KUOA MJUKUU WAKE!
11 years ago
GPL
MZEE MAJUTO AWAALIKA WAOMBOLEZAJI KWENYE MSIBA WAKE