Mkenya kuipa Yanga SC shughuli Uturuki
![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOLuc0lVoFhn-Yj2cpF0yUisqMVjpCkvMiSnkppgykcATEivfRNcTgWc7vCchMCjZ6lQPXjHebrQKvZ*HXX0FJ6e/mkenya.gif?width=650)
Na Khadija Mngwai KIUNGO Mkenya, Patrick Othiako, atapambana na wachezaji wa Yanga katika mechi ya tatu ya kirafiki ya timu hiyo ikiwa nchini Uturuki. Yanga imeweka kambi kwenye Mji wa Antalya nchini Uturuki na leo Jumatano itacheza mechi ya kirafiki dhidi ya Altay FK. Baada ya mechi hiyo ya leo, Januari 22 itacheza mechi nyingine ya kirafiki dhidi ya Silk inayoshiriki Ligi Kuu ya Azerbaijan. Othiako anayechezea timu ya taifa ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Cecafa yachemka kuipa adhabu Yanga
![Katibu wa CECAFA, Nicholas Musonye](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Nicholas-Musonye.jpg)
Katibu wa CECAFA, Nicholas Musonye
Na Zaituni Kibwana, Kigali
BARAZA la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), limeshindwa kuipa adhabu timu ya Yanga, kwa kosa la kugoma kuwasilisha timu kwenye michuano ya Kombe la Kagame.
Awali baraza hilo chini ya Katibu wake, Nicholas Musonye, lilitangaza kuipa adhabu timu hiyo kwa kitendo chake cha kupeleka timu B katika michuano hiyo.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa, Mwenyekiti wa CECAFA, Leodegar Tenga, alisema hakuna...
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Yanga yamtosa Mkenya
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Mkenya Naggi aonja jeuri ya Yanga
11 years ago
GPLYANGA HIYOOO UTURUKI
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Yanga kwenda Uturuki Alhamisi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcpMRlZG0d4aHrYaSifhqb3AmDqKXmqXzvf0tTJVocwsqZ*hQJhikM0W-67S5YYDX8S1l*l5sOGOTCVLuWj5pMxr/yangayazuiwa.gif?width=650)
Yanga yazuiwa kwenda Uturuki
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Yanga yajitoza faini, yaenda Uturuki
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5QcoBStP3tP-JLaTqTQffAa3fBwMPtReOu4xmc0GmJ5rw0VlvOYo8e70sMHR4nwgyzbeXTWfc9moldwA4Z43ST*n/yangaaaaaaaaa.jpg?width=650)
Kocha Yanga aweka rekodi Uturuki