Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yamtosa Mkenya

Uongozi wa Yanga umesema kuwa umeamua kuachana na Mkenya Patrick Naggi baada ya kutokuridhishwa na utendaji wake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Yanga yamtosa shushushu

Yanga wameonyesha uzalendo kwa kumnyima taarifa muhimu kuhusu Azam FC kocha wa El Merreikh, Sudan aliyetua Zanzibar kwa lengo la kuwachunguza mabingwa hao wa Bara.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yamtosa Chuji CAF

Balaa limeendelea kumwandama kiungo Athumani Idd ‘Chuji’ baada ya kutoswa kwenye kikosi cha Yanga kitakachoshiriki Ligi ya Mabingwa msimu huu.

 

11 years ago

GPL

Mkenya kuipa Yanga SC shughuli Uturuki

Na Khadija Mngwai
KIUNGO Mkenya, Patrick Othiako, atapambana na wachezaji wa Yanga katika mechi ya tatu ya kirafiki ya timu hiyo ikiwa nchini Uturuki. Yanga imeweka kambi kwenye Mji wa Antalya nchini Uturuki na leo Jumatano itacheza mechi ya kirafiki dhidi ya Altay FK. Baada ya mechi hiyo ya leo, Januari 22 itacheza mechi nyingine ya kirafiki dhidi ya Silk inayoshiriki Ligi Kuu ya Azerbaijan. Othiako anayechezea timu ya taifa ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Mkenya Naggi aonja jeuri ya Yanga

Mkurugenzi wa Uufundi wa Yanga, Patrick Naggi aliyetangaza kumwaga manyanga hivi karibuni kwakile alichodai ni ubabaishaji wa viongozi wa klabu hiyo, bado anaendelea kusota Dar es Salaam akisubirli mafao yake.

 

11 years ago

Mwananchi

TFF yamtosa Wambura

Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF), chini ya Makamu Mwenyekiti, Wakili Mwita Waisaka imemuengua kwa mara nyingine kwenye kinyang’anyiro cha uchaguzi wa Simba, mgombea Michael Wambura baada ya kutupilia mbali rufaa yake jana.

 

11 years ago

GPL

Simba yamtosa Tambwe, kisa...

Mshambuliaji wa kutumainiwa wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe. Sweetbert Lukonge na Khadija Mngwai
HATIMAYE maisha ya mshambuliaji wa kutumainiwa wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe ambaye msimu uliopita alikuwa injini ya timu hiyo katika kuzifumania nyavu, sasa yamegeuka shubiri ndani ya kikosi hicho, hiyo ni baada ya kutua kwa Mganda, Emmanuel Okwi na Mkenya, Paul Kiongera klabuni hapo. Tambwe alisajiliwa na Simba msimu uliopita...

 

9 years ago

Mwananchi

Simba yamtosa Mavugo, yashusha kifaa cha Italia

Klabu ya Simba imeachana na usajili wa mshambuliaji Laudit Mavugo kutoka Burundi ikitarajiwa kushusha mchezaji kutoka Italia kwa ajili ya kuimarisha safu yake ya ushambuliaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Miyeyesho kuzipiga na Mkenya

Bondia wa Tanzania, Francis Miyeyusho atapanda ulingoni Desemba 31 kumkabili David Chalanga wa Kenya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miyeyusho amyeyusha Mkenya

BONDIA Francis Miyeyusho, amemchapa kwa ‘KO’ raundi ya pili, Mkenya Joshua Amukulu katika pambano lao la kufuzu kuwania ubingwa wa dunia wa WBF, lililofanyika ukumbi wa Msasani Club jijini Dar...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani