Yanga yamtosa Mkenya
Uongozi wa Yanga umesema kuwa umeamua kuachana na Mkenya Patrick Naggi baada ya kutokuridhishwa na utendaji wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Yanga yamtosa shushushu
Yanga wameonyesha uzalendo kwa kumnyima taarifa muhimu kuhusu Azam FC kocha wa El Merreikh, Sudan aliyetua Zanzibar kwa lengo la kuwachunguza mabingwa hao wa Bara.
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Yanga yamtosa Chuji CAF
Balaa limeendelea kumwandama kiungo Athumani Idd ‘Chuji’ baada ya kutoswa kwenye kikosi cha Yanga kitakachoshiriki Ligi ya Mabingwa msimu huu.
11 years ago
GPL
Mkenya kuipa Yanga SC shughuli Uturuki
Na Khadija Mngwai
KIUNGO Mkenya, Patrick Othiako, atapambana na wachezaji wa Yanga katika mechi ya tatu ya kirafiki ya timu hiyo ikiwa nchini Uturuki. Yanga imeweka kambi kwenye Mji wa Antalya nchini Uturuki na leo Jumatano itacheza mechi ya kirafiki dhidi ya Altay FK. Baada ya mechi hiyo ya leo, Januari 22 itacheza mechi nyingine ya kirafiki dhidi ya Silk inayoshiriki Ligi Kuu ya Azerbaijan. Othiako anayechezea timu ya taifa ya...
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Mkenya Naggi aonja jeuri ya Yanga
Mkurugenzi wa Uufundi wa Yanga, Patrick Naggi aliyetangaza kumwaga manyanga hivi karibuni kwakile alichodai ni ubabaishaji wa viongozi wa klabu hiyo, bado anaendelea kusota Dar es Salaam akisubirli mafao yake.
11 years ago
Mwananchi21 Jun
TFF yamtosa Wambura
Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF), chini ya Makamu Mwenyekiti, Wakili Mwita Waisaka imemuengua kwa mara nyingine kwenye kinyang’anyiro cha uchaguzi wa Simba, mgombea Michael Wambura baada ya kutupilia mbali rufaa yake jana.
11 years ago
GPL
Simba yamtosa Tambwe, kisa...
Mshambuliaji wa kutumainiwa wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe. Sweetbert Lukonge na Khadija Mngwai
HATIMAYE maisha ya mshambuliaji wa kutumainiwa wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe ambaye msimu uliopita alikuwa injini ya timu hiyo katika kuzifumania nyavu, sasa yamegeuka shubiri ndani ya kikosi hicho, hiyo ni baada ya kutua kwa Mganda, Emmanuel Okwi na Mkenya, Paul Kiongera klabuni hapo. Tambwe alisajiliwa na Simba msimu uliopita...
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Simba yamtosa Mavugo, yashusha kifaa cha Italia
Klabu ya Simba imeachana na usajili wa mshambuliaji Laudit Mavugo kutoka Burundi ikitarajiwa kushusha mchezaji kutoka Italia kwa ajili ya kuimarisha safu yake ya ushambuliaji.
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Miyeyesho kuzipiga na Mkenya
Bondia wa Tanzania, Francis Miyeyusho atapanda ulingoni Desemba 31 kumkabili David Chalanga wa Kenya.
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Miyeyusho amyeyusha Mkenya
BONDIA Francis Miyeyusho, amemchapa kwa ‘KO’ raundi ya pili, Mkenya Joshua Amukulu katika pambano lao la kufuzu kuwania ubingwa wa dunia wa WBF, lililofanyika ukumbi wa Msasani Club jijini Dar...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania