Yanga yamtosa shushushu
Yanga wameonyesha uzalendo kwa kumnyima taarifa muhimu kuhusu Azam FC kocha wa El Merreikh, Sudan aliyetua Zanzibar kwa lengo la kuwachunguza mabingwa hao wa Bara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Yanga yamtosa Mkenya
Uongozi wa Yanga umesema kuwa umeamua kuachana na Mkenya Patrick Naggi baada ya kutokuridhishwa na utendaji wake.
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Yanga yamtosa Chuji CAF
Balaa limeendelea kumwandama kiungo Athumani Idd ‘Chuji’ baada ya kutoswa kwenye kikosi cha Yanga kitakachoshiriki Ligi ya Mabingwa msimu huu.
11 years ago
Mwananchi21 Jun
TFF yamtosa Wambura
Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF), chini ya Makamu Mwenyekiti, Wakili Mwita Waisaka imemuengua kwa mara nyingine kwenye kinyang’anyiro cha uchaguzi wa Simba, mgombea Michael Wambura baada ya kutupilia mbali rufaa yake jana.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CWRwFfvur*CENL*fVUEuR0J78GIdHOUvESPFtq3dZ8-ecKb3SYSNO18UBYzfxXMk2AW7ZV1D-080ubDjk-DptPehoQ0h*Uha/yamtosa.jpg)
Simba yamtosa Tambwe, kisa...
Mshambuliaji wa kutumainiwa wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe. Sweetbert Lukonge na Khadija Mngwai
HATIMAYE maisha ya mshambuliaji wa kutumainiwa wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe ambaye msimu uliopita alikuwa injini ya timu hiyo katika kuzifumania nyavu, sasa yamegeuka shubiri ndani ya kikosi hicho, hiyo ni baada ya kutua kwa Mganda, Emmanuel Okwi na Mkenya, Paul Kiongera klabuni hapo. Tambwe alisajiliwa na Simba msimu uliopita...
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Simba yamtosa Mavugo, yashusha kifaa cha Italia
Klabu ya Simba imeachana na usajili wa mshambuliaji Laudit Mavugo kutoka Burundi ikitarajiwa kushusha mchezaji kutoka Italia kwa ajili ya kuimarisha safu yake ya ushambuliaji.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania