Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yamtosa Mavugo, yashusha kifaa cha Italia

Klabu ya Simba imeachana na usajili wa mshambuliaji Laudit Mavugo kutoka Burundi ikitarajiwa kushusha mchezaji kutoka Italia kwa ajili ya kuimarisha safu yake ya ushambuliaji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Yanga yashusha kifaa

HATIMAYE kiungo na nahodha wa FC Platinum ya Zimbabwe, Thabani Kamusoko ametua jijini Dar es Salaam jana kwa ajili ya kusaini mkataba wa kujiunga na Yanga. Kamusoko alipokewa na Meneja wa Yanga, Hafidh Saleh jioni kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), ambapo alipelekwa katika kikao na uongozi kwa mazungumzo.

 

5 years ago

Michuzi

Simba Jamii Tanzania latoa msaada tanki la maji na kifaa cha kuzalisha umeme kituo cha kulelea watoto Yatima mkoani Morogoro

Mnamo tarehe 04 April 2020 kundi la Simba Jamii Tanzania " Ultras" lilikabidhi zawadi ya tank la maji la lita 2,000 pamoja na kifaa cha kuzalisha umeme Jua (Solar) kwa kituo cha kulelea watoto yatima cha Ukhty Raya kilichopo eneo la Mindu mkoani Morogoro.

Akikabidhi misaada hiyo mwakilishi wa Simba Jamii mkoani Morogoro Bwana Rashid "Wizzy" Mbegu alimfahamisha mlezi na msimamizi wa kituo hicho Bi Raya kuwa Simba Jamii itawakabidhi watoto wote wa kituo hicho pea 50 za viatu ilivyovipokea...

 

10 years ago

GPL

Simba yamtosa Tambwe, kisa...

Mshambuliaji wa kutumainiwa wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe. Sweetbert Lukonge na Khadija Mngwai
HATIMAYE maisha ya mshambuliaji wa kutumainiwa wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe ambaye msimu uliopita alikuwa injini ya timu hiyo katika kuzifumania nyavu, sasa yamegeuka shubiri ndani ya kikosi hicho, hiyo ni baada ya kutua kwa Mganda, Emmanuel Okwi na Mkenya, Paul Kiongera klabuni hapo. Tambwe alisajiliwa na Simba msimu uliopita...

 

10 years ago

GPL

Mavugo rasmi kuvaa uzi wa Simba

Mshambuliaji , Laudit Mavugo. Hans Mloli na Wilbert Molandi
TAYARI Simba imefanya yake baada ya kufanikiwa kumnasa mshambuliaji iliyekuwa ikimuwinda kwa muda mrefu, Laudit Mavugo raia wa Burundi na kumpa mkataba wa miaka miwili. Mavugo amekuwa akitajwa na Simba kwa muda mrefu tangu ulipomalizika msimu wa Ligi Kuu Bara 2014/15, baada ya mchezaji huyo kupendekezwa kutua klabuni hapo na aliyekuwa kocha wa timu hiyo aliyemaliza...

 

9 years ago

GPL

SIMBA YAMPA MAVUGO SH MILIONI 100

Straika wa Vital’O ya Burundi, Laudit Mavugo. SIMBA haitaki mchezo kabisa katika kujenga kikosi chake, kwani imetenga kiasi cha dau la dola 50,000 ambazo ni zaidi ya Sh milioni 100 ili iweze kumsajili straika wa Vital’O ya Burundi, Laudit Mavugo. Laudit Mavugo (kushoto) akifanya yake.
Nguvu yote hiyo imewekwa na Simba kuhakikisha Mavugo anatua kikosini kwao aungane na Hamis Kiiza kuipa nguvu safu ya ushambuliaji...

 

10 years ago

Mwananchi

USAJILI: Mavugo, Okwi, Mgosi utaipenda Simba tu

>Mshambuliaji mpya wa Simba, Mrundi Laudit Mavugo  amesema kuwa hakuna cha kumnyima kung’ara ikiwa atacheza pamoja na Emmanuel Okwi na Mussa Hassan ‘Mgosi’.

 

10 years ago

Vijimambo

Yanga safi kwa Mzimbabwe, Simba yakwama kwa Mavugo


Dinaldo Ngoma, FC Platinum ya Zimbambwe.
Nicodemus Jonas na Hans MloliMBIO za usajili zinazidi kukolea, Yanga imemalizana na Dinaldo Ngoma wa FC Platinum ya Zimbambwe, wakati upande wa pili wapinzani wao, Simba wanaweza kukwama kumnasa straika Mrundi, Laudit Mavugo kutokana na Klabu ya Vital’O kuonekana kuweka ngumu.Yanga wameeleza kuwa wamemalizana na mchezaji huyo lakini wanachosubiri ni tamko la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) juu ya kuongeza idadi ya wachezaji wa kimataifa.Katibu Mkuu...

 

10 years ago

Mwananchi

Abuni kifaa cha kugundua moto

>Wengi wanaoitaja Tanzania kuwa ina utajiri wa rasilimali, huorodhesha  ardhi, vito vya thamani, uoto wa asili na mbuga za wanyama, lakini  kumbe kuna rasilimali watu ambayo nayo ni muhimu hasa katika zama za sasa za teknolojia.

 

11 years ago

Habarileo

Tanesco yatambulisha kifaa cha umeme

SHIRIKA la Ugavi wa Umeme (Tanesco) mkoani hapa limetambulisha kifaa kipya ambacho ni mbadala wa kutandaza nyaya za umeme kwa maandalizi ya kupata umeme wa shirika hilo kwa wafugaji wa kuku pamoja na wananchi wanaojenga chumba kimoja ama viwili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani