Simba yamtosa Mavugo, yashusha kifaa cha Italia
Klabu ya Simba imeachana na usajili wa mshambuliaji Laudit Mavugo kutoka Burundi ikitarajiwa kushusha mchezaji kutoka Italia kwa ajili ya kuimarisha safu yake ya ushambuliaji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 Aug
Yanga yashusha kifaa
HATIMAYE kiungo na nahodha wa FC Platinum ya Zimbabwe, Thabani Kamusoko ametua jijini Dar es Salaam jana kwa ajili ya kusaini mkataba wa kujiunga na Yanga. Kamusoko alipokewa na Meneja wa Yanga, Hafidh Saleh jioni kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), ambapo alipelekwa katika kikao na uongozi kwa mazungumzo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zSHAgTatLuI/XooC40NRpxI/AAAAAAALmHY/zNslRSz1th86nvpZM_IQGReW9_PbtlnygCLcBGAsYHQ/s72-c/35239afa-4ae5-4dcd-be68-f2560a84c510.jpg)
Simba Jamii Tanzania latoa msaada tanki la maji na kifaa cha kuzalisha umeme kituo cha kulelea watoto Yatima mkoani Morogoro
Akikabidhi misaada hiyo mwakilishi wa Simba Jamii mkoani Morogoro Bwana Rashid "Wizzy" Mbegu alimfahamisha mlezi na msimamizi wa kituo hicho Bi Raya kuwa Simba Jamii itawakabidhi watoto wote wa kituo hicho pea 50 za viatu ilivyovipokea...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CWRwFfvur*CENL*fVUEuR0J78GIdHOUvESPFtq3dZ8-ecKb3SYSNO18UBYzfxXMk2AW7ZV1D-080ubDjk-DptPehoQ0h*Uha/yamtosa.jpg)
Simba yamtosa Tambwe, kisa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx20y6ZweqeK7GwxZqimfuHJ5MMSkd-P6lvPAe2leOksA*AGpHqnbKqM6QmKFrHRhUNIKfwWpg*TPgTa20zNsEtO5/htryydy.gif)
Mavugo rasmi kuvaa uzi wa Simba
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/mavugo-agiye-kugaruka-muri-kiyovu-_53f3764f70777.jpg)
SIMBA YAMPA MAVUGO SH MILIONI 100
10 years ago
Mwananchi08 Jun
USAJILI: Mavugo, Okwi, Mgosi utaipenda Simba tu
10 years ago
Vijimambo29 May
Yanga safi kwa Mzimbabwe, Simba yakwama kwa Mavugo
![](http://api.ning.com/files/5wu8U2MaqbiIzZtKrnNmE56xoZWtOlqiPAp30XO*4RBtcLoLMfKi-NaTZ0C5Gdigaq8AnGbMpWzXYoff4gnpmYLFJDAN*bl8/donaldngoma.jpg)
Dinaldo Ngoma, FC Platinum ya Zimbambwe.
Nicodemus Jonas na Hans MloliMBIO za usajili zinazidi kukolea, Yanga imemalizana na Dinaldo Ngoma wa FC Platinum ya Zimbambwe, wakati upande wa pili wapinzani wao, Simba wanaweza kukwama kumnasa straika Mrundi, Laudit Mavugo kutokana na Klabu ya Vital’O kuonekana kuweka ngumu.Yanga wameeleza kuwa wamemalizana na mchezaji huyo lakini wanachosubiri ni tamko la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) juu ya kuongeza idadi ya wachezaji wa kimataifa.Katibu Mkuu...
10 years ago
Mwananchi21 Jul
Abuni kifaa cha kugundua moto
11 years ago
Habarileo11 Aug
Tanesco yatambulisha kifaa cha umeme
SHIRIKA la Ugavi wa Umeme (Tanesco) mkoani hapa limetambulisha kifaa kipya ambacho ni mbadala wa kutandaza nyaya za umeme kwa maandalizi ya kupata umeme wa shirika hilo kwa wafugaji wa kuku pamoja na wananchi wanaojenga chumba kimoja ama viwili.