Yanga yashusha kifaa
HATIMAYE kiungo na nahodha wa FC Platinum ya Zimbabwe, Thabani Kamusoko ametua jijini Dar es Salaam jana kwa ajili ya kusaini mkataba wa kujiunga na Yanga. Kamusoko alipokewa na Meneja wa Yanga, Hafidh Saleh jioni kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), ambapo alipelekwa katika kikao na uongozi kwa mazungumzo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Simba yamtosa Mavugo, yashusha kifaa cha Italia
10 years ago
MichuziMAXIMO AJA NA KIFAA KINGINE CHA YANGA KUTOKA BRAZIL
10 years ago
Habarileo05 Jan
IPTL yashusha bei ya umeme
KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) ikiwa chini ya uongozi wa Kampuni ya Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP), imetangaza kupunguza bei ya umeme kwa asilimia 20 baada ya kufanya marekebisho makubwa ya injini za mtambo.
10 years ago
VijimamboSUMATRA YASHUSHA NAULI ZA MABASI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1PdMXm1hhCM/Ux4DFdLmZGI/AAAAAAAFSzY/UCn-Bvl9j98/s72-c/20140308_153624.jpg)
J&M VIRGO YASHUSHA MALI MPYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-1PdMXm1hhCM/Ux4DFdLmZGI/AAAAAAAFSzY/UCn-Bvl9j98/s1600/20140308_153624.jpg)
HIVYO FIKA DUKANI KWAO PALE MIKOCHENI KWA WARIOBA,JENGO LA C&G PLAZA GHOROFA YA KWANZA ILI UWEZE KUJIPATIA PAMBA KALI,POCHI BABKUBWA,MOKA ZA KISASA NA MICHUCHUMIO MIKALI KWA KINA DADA.
KWA TAARIFA ZAIDI TEMBELEA LIBENEKE LEO
KWA KUBOFYA HAPA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3quX-HFk8OY/Ux4DGahuRtI/AAAAAAAFSzc/CsgsG9sjhvI/s1600/20140308_145101.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uAKMQBSSh0k/Ux4DGpViGhI/AAAAAAAFSzk/g2bdzRA1TF4/s1600/20140310_130040.jpg)
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Ewura yashusha bei ya petrol, dizeli
9 years ago
GPLMBASHA LIVE NA KIFAA
5 years ago
CCM BlogCORONA YASHUSHA MAPATO SEKTA YA UTALII TANZANIA
Pia taasisi zilizokadiriwa kukusanya zaidi ya Sh bilioni 132.1 zinatarajia kukusanya Sh bilioni 33.5 ikiwa ni anguko la asilimia 75.
Vilevile, Serikali imesema kama hali haitatulia hadi Oktoba, ajira za moja kwa moja katika sekta ya utalii zitashuka kutoka 623,000 hadi kufikia 146,000 na watalii watashuka kutoka...
10 years ago
Michuzi05 Jan
IPTL yashusha bei ya umeme kwa asilimia 20
Marekebisho hayo yaliyotumia...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10