IPTL yashusha bei ya umeme kwa asilimia 20
KAMPUNI ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) ikiwa chini ya uongozi wa kampuni ya Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP) imetangaza kufikia kwa punguzo la bei ya umeme la asilimia 20 baada ya kufanya marekebisho makubwa ya injini za mtambo huo ya masaa 36,000 ikifanya kazi, zoezi iliyokamilika ndani ya mwanka 2014. IPTL pia imetangaza kuwa bei yao ya umeme ikitarajiwa kushuka zaidi kulingana na kushuka kwa bei ya mafuta mazito.
Marekebisho hayo yaliyotumia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo05 Jan
IPTL yashusha bei ya umeme
KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) ikiwa chini ya uongozi wa Kampuni ya Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP), imetangaza kupunguza bei ya umeme kwa asilimia 20 baada ya kufanya marekebisho makubwa ya injini za mtambo.
11 years ago
Michuzi10 May
Punguzo la bei ya umeme mwiba kwa washindani-IPTL
Chanzo cha uhakika kutoka Wizara ya Nishati na Madini kimetoa taarifa hiyo kwa gazeti hili jana kuwa kwa zaidi ya muongo mmoja, kampuni za kigeni zimekuwa zikipata faida kubwa kwa kuzalisha umeme na kuuza kwa bei ya juu nchini.
Kampuni ya IPTL ambayo inamilikiwa na kampuni ya...
11 years ago
Tanzania Daima08 May
IPTL yasisitiza kushusha bei ya umeme
KAMPUNI ya ufuaji umeme ya IPTL, imesema dhamira yake ya kushusha bei ya umeme kwa Watanzania ipo palepale. Katibu na mshauri wa masuala ya sheria wa kampuni hiyo, Joseph Makandege,...
10 years ago
Mwananchi08 Apr
Bei za vyakula zapaa, mfumuko wa bei mwezi Machi wafikia asilimia 4.2
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WU701eLUrHY/Vmbescti4uI/AAAAAAAIK-I/qJBBchM1JA8/s72-c/IMG_6942.jpg)
MFUMUKO WA BEI WA NOVEMBA UMEONGEZEKA KWA ASILIMIA 6.6
![](http://2.bp.blogspot.com/-WU701eLUrHY/Vmbescti4uI/AAAAAAAIK-I/qJBBchM1JA8/s640/IMG_6942.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F-TsZ1ZW8to/VmbessTM-5I/AAAAAAAIK-M/cN88dQE_Hp8/s640/IMG_6952.jpg)
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Ewura yashusha bei ya petrol, dizeli
10 years ago
Habarileo15 Sep
Upatikanaji umeme vijijini wapaa kwa asilimia 18
UPATIKANAJI wa huduma za nishati ya umeme vijijini umeongezeka kutoka asilimia 2.5 mwaka 2007 hadi kufika asilimia 21, hivi sasa ikiwa ni juhudi za baada ya kuundwa kwa Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
9 years ago
Mwananchi04 Oct
Tanesco: Uzalishaji wa umeme umeshuka kwa asilimia 81
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Serikali yashusha gharama za kuunganisha umeme vijijini
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10