IPTL yashusha bei ya umeme
KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) ikiwa chini ya uongozi wa Kampuni ya Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP), imetangaza kupunguza bei ya umeme kwa asilimia 20 baada ya kufanya marekebisho makubwa ya injini za mtambo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi05 Jan
IPTL yashusha bei ya umeme kwa asilimia 20
Marekebisho hayo yaliyotumia...
11 years ago
Tanzania Daima08 May
IPTL yasisitiza kushusha bei ya umeme
KAMPUNI ya ufuaji umeme ya IPTL, imesema dhamira yake ya kushusha bei ya umeme kwa Watanzania ipo palepale. Katibu na mshauri wa masuala ya sheria wa kampuni hiyo, Joseph Makandege,...
11 years ago
Michuzi10 May
Punguzo la bei ya umeme mwiba kwa washindani-IPTL
Chanzo cha uhakika kutoka Wizara ya Nishati na Madini kimetoa taarifa hiyo kwa gazeti hili jana kuwa kwa zaidi ya muongo mmoja, kampuni za kigeni zimekuwa zikipata faida kubwa kwa kuzalisha umeme na kuuza kwa bei ya juu nchini.
Kampuni ya IPTL ambayo inamilikiwa na kampuni ya...
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Ewura yashusha bei ya petrol, dizeli
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Serikali yashusha gharama za kuunganisha umeme vijijini
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Serikali yashusha gharama za kuunganisha umeme vijijini
10 years ago
MichuziEWURA YASHUSHA BEI YA MAFUTA NI KUANZIA KESHO JANUARI 7,2015
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
10 years ago
Dewji Blog07 Jan
EWURA yashusha bei ya mafuta ni kuanzia leo Januari 7, 2015
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta (Ewura), Felix Ngamlagosi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam jana, kuhusu mwenendo wa bei za mafuta nchini na katika soko la Dunia. Kulia ni Mkurugenzi wa Petroli, Godwin Samwel.
Mkurugenzi wa Petroli, Godwin Samwel (kulia), akizungumza katika mkutano huo.
Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo.
Na Dotto Mwaibale, Habari za Jamii Blog
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nishati, Maji...
10 years ago
GPLEWURA YASHUSHA BEI YA MAFUTA NI KUANZIA KESHO JANUARI 7, 2015