EWURA YASHUSHA BEI YA MAFUTA NI KUANZIA KESHO JANUARI 7,2015
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta (Ewura), Felix Ngamlagosi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam leo, kuhusu mwenendo wa bei za mafuta nchini na katika soko la Dunia. Kulia ni Mkurugenzi wa Petroli, Godwin Samwel.
Mkurugenzi wa Petroli, Godwin Samwel (kulia), akizungumza katika mkutano huo.
Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo.
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLEWURA YASHUSHA BEI YA MAFUTA NI KUANZIA KESHO JANUARI 7, 2015
10 years ago
Dewji Blog07 Jan
EWURA yashusha bei ya mafuta ni kuanzia leo Januari 7, 2015
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta (Ewura), Felix Ngamlagosi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam jana, kuhusu mwenendo wa bei za mafuta nchini na katika soko la Dunia. Kulia ni Mkurugenzi wa Petroli, Godwin Samwel.
Mkurugenzi wa Petroli, Godwin Samwel (kulia), akizungumza katika mkutano huo.
Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo.
Na Dotto Mwaibale, Habari za Jamii Blog
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nishati, Maji...
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Ewura yashusha bei ya petrol, dizeli
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J8nPCmTttsU/XrpavNnuVVI/AAAAAAALp3A/Tkm_GdJVX8snL2--OHwlxbDJYszmi0DegCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B3.jpg)
EWURA yapewa siku 10 kupitia bei za mafuta katika maghala ya kuhifadhi na kupokea mafuta.
![](https://1.bp.blogspot.com/-J8nPCmTttsU/XrpavNnuVVI/AAAAAAALp3A/Tkm_GdJVX8snL2--OHwlxbDJYszmi0DegCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B3.jpg)
Waziri wa Nishari, Dkt. Medard Kalemani (wa pili kulia)akipita kukagua mazingira ya ghala la kuhifadhi na kupokea mafuta la kampuni ya GBP, alipofanya ziara katika eneo hilo mkoani Tanga, Mei 10, 2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-KizeE0XqwiY/XrpavnCZSHI/AAAAAAALp3E/OlsgDnTG8EMM_llMxefz8sbypBsgsCgIACLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B4.jpg)
Shehena ya Mafuta ikiwa imepakiwa katika matangi tayari kwa kusafirishwa,hapa ni katika ghala la kuhifadhi na kupokea mafuta la kampuni ya GBP mkoani Tanga, Waziri wa Nishari, Dkt. Medard Kalemani, alifanya ziara katika eneo hilo, Mei 10,2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-rZ963RWU-wc/Xrpav5vjNDI/AAAAAAALp3I/cn3LiMHp6nEX5Ttle59mKCBn02Mo6fiGQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B5.jpg)
Baadhi ya mapipa makubwa ya kuhifadhia mafuta...
10 years ago
VijimamboMamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta (Ewura), imepunguza bei za mafuta kote nchini
10 years ago
StarTV07 Jan
EWURA yatangaza kushuka kwa bei ya Mafuta.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar es Salaam.
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji EWURA imetangaza kushuka kwa bei ya mafuta ya Petrol, Dizel na ya taa katika masoko yote ya jumla na rejareja.
comprar kamagra baratoKushuka kwa bei hizo kunatokana na kuporomoka kwa thamani ya dola katika soko la dunia hali iliyosababisha bei ya mafuta kuwa dola 60 kwa pipa moja badala ya dola 100 ya awali.
Akitangaza kushuka kwa bei hizo Mkurugenzi Mtendaji wa EWURA Felix Ngamlagosi amesema...
10 years ago
Habarileo01 Feb
Ewura yaagizwa ukokotoaji mpya wa bei ya mafuta
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, imeitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kufanya ukokotoaji upya wa bei ya mafuta ili kumsaidia mlaji wa mwisho wa bidhaa hiyo kunufaika na punguzo la bei ya mafuta duniani.
10 years ago
Uhuru Newspaper11 Mar
EWURA yaagizwa kupunguza zaidi bei ya mafuta
NA WAANDISHI WETU
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetakiwa kuhakikisha inaendelea kupunguza bei ya mafuta kulingana na mabadiliko katika soko la dunia. Agizo hilo limetolewa jana na Kamati ya PAC wakati ilipokutana na watendaji na maofisa wa EWURA, ambapo imesema ni lazima bei ya mafuta nchini ibadilike kulingana na bei ya soko duniani. Makamu Mwenyekiti wa PAC, Ismail Aden Rage, alisema bei ya mafuta kwenye soko la dunia imepungua kwa asilimia 25, hivyo mamlaka...
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Bunge lataka Ewura ipunguze bei ya mafuta