MBASHA LIVE NA KIFAA
Richard Bukos CHA KUFIA! Msanii wa muziki wa Injili Bongo, Emmanuel Mbasha, Alhamisi iliyopita alinaswa kwenye maongezi yaliyoambatana na pozi lenye maswali kwa kuonekana akichukua namba fastafasta kwa mrembo ‘kifaa’. Wakifurahia jambo. Mbasha alinaswa na kifaa hicho ndani ya Viwanja vya Ikulu jijini Dar ambapo kulikuwa na hafla ya kumpongeza Rais wa Awamu ya Tano, Dk. John Pombe Magufuli baada ya kuapishwa kushika nafasi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL16 Jan
10 years ago
Dewji Blog23 Jan
Skylight Band yaibua kifaa kipya mithili ya Kasuku si mwingine ni Ashura Kitenge, njoo leo umshuhudie LIVE Thai Village
Mratibu wa Skylight Band, Lubea akimkaribisha mdau wa bendi hiyo Miryam Kamaliza shot ya Tequila wakati wa show iliyobamba wakazi wa Dar Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki.
Mratibu wa Skylight Band, Lubea akimimina kinywaji cha Tequila kwa Meneja wa Skylight Band, Aneth Kushaba AK47 Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village.
Meneja wa Skylight Band, Aneth Kushaba AK47 akipiga kilaji cha Tequila kupasha mwili joto kabla ya kupanda jukwaani, kinywaji hicho ni...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HfIXzVrPfI3uOtXrrNbf5IpZqXZIu-V6PZSjijdbBhggcJP-2EP1bbbVdpd*TVyG2uu1q*vqTaLpW-D-KROImfZgpJoZBJQ8/flora_mbasha5.jpg)
FLORA MBASHA AKIRI: MWANANGU SI WA MBASHA!
10 years ago
Habarileo06 Aug
Yanga yashusha kifaa
HATIMAYE kiungo na nahodha wa FC Platinum ya Zimbabwe, Thabani Kamusoko ametua jijini Dar es Salaam jana kwa ajili ya kusaini mkataba wa kujiunga na Yanga. Kamusoko alipokewa na Meneja wa Yanga, Hafidh Saleh jioni kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), ambapo alipelekwa katika kikao na uongozi kwa mazungumzo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNQkx*9MME-1WieycDVhWSnjOpGk1WuvqyBLzidKnsPMLRMe2cgClbGZ93OHgs13FpRt6oz41rOeSLuGntVvq94J/OMG.gif?width=650)
Omog kutua na kifaa kipya
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Azam yanasa kifaa Ferroviarrio
UONGOZI wa mabingwa wa soka Tanzania Bara, Azam FC, umeendelea kusaka nyota kuimarisha kikosi chao, ambapo hivi sasa wako mbioni kumnasa mshambuliaji wa Ferroviarrio de Beira ya Msumbiji, Manuel Correia....
9 years ago
BBCSwahili12 Nov
Kifaa cha MRI charekebishwa Muhimbili
10 years ago
Mwananchi21 Jul
Abuni kifaa cha kugundua moto
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Tembo Ruaha kufuatiliwa na kifaa maalumu