Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam yanasa kifaa Ferroviarrio

UONGOZI wa mabingwa wa soka Tanzania Bara, Azam FC, umeendelea kusaka nyota kuimarisha kikosi chao, ambapo hivi sasa wako mbioni kumnasa mshambuliaji wa Ferroviarrio de Beira ya Msumbiji, Manuel Correia....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

OFM YANASA YANASA DAWA ZIKIUZWA KIHOLELA

Ramadhani na Mayasa Mariwata NIhatari! Shirika la Afya la Dunia (WHO) limetoa ripoti na kubainisha kwamba dawa za kutibu maradhi ya kuharisha, vichomi, maambukizi ya kwenye njia ya mkojo (U.T.I), mafua na magonjwa kama ya zinaa mfano kaswende na kisonono sasa zimekuwa sugu.  ..Soma zaidi===>http://bit.ly/1J7E0L4

 

9 years ago

GPL

MBASHA LIVE NA KIFAA

Richard Bukos CHA KUFIA! Msanii wa muziki wa Injili Bongo, Emmanuel Mbasha, Alhamisi iliyopita alinaswa kwenye maongezi yaliyoambatana na pozi lenye maswali kwa kuonekana akichukua namba fastafasta kwa mrembo ‘kifaa’. Wakifurahia jambo. Mbasha alinaswa na kifaa hicho ndani ya Viwanja vya Ikulu jijini Dar ambapo kulikuwa na hafla ya kumpongeza Rais wa Awamu ya Tano, Dk. John Pombe Magufuli baada ya kuapishwa kushika nafasi...

 

10 years ago

Habarileo

Yanga yashusha kifaa

HATIMAYE kiungo na nahodha wa FC Platinum ya Zimbabwe, Thabani Kamusoko ametua jijini Dar es Salaam jana kwa ajili ya kusaini mkataba wa kujiunga na Yanga. Kamusoko alipokewa na Meneja wa Yanga, Hafidh Saleh jioni kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), ambapo alipelekwa katika kikao na uongozi kwa mazungumzo.

 

11 years ago

GPL

Omog kutua na kifaa kipya

Kocha wa Azam FC Joseph Omog. Na Mwandishi Wetu
AKIWA katika harakati za kutaka kujiimarisha kwa ajili ya msimu ujao, bingwa mtetezi wa Ligi Kuu Bara, Azam, anatarajiwa kuongeza straika mmoja kutoka Cameroon ambaye atatua nchini pamoja na kocha Joseph Omog wiki ijayo kwa ajili ya kuchukua nafasi ya Brian Umony. Klabu hiyo mpaka sasa imefanikiwa kusajili wachezaji wawili wa kulipwa ambao ni Ismaila Diara kutoka Mali na Didier...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

TRA yanasa malori ya magendo



NA SAMSON CHACHA, TARIMEUKAMATWAJI wa malori yanayosafirisha mizigo kwa njia ya magendo kutoka Kenya kwa kupitia mpaka Sirari mkoani Mara, umezidi kushika kasi ambapo jana yalikamatwa matatu yaliyosheheni bidhaa mbalimbali zikiwemo nondo na saruji. Magari hayo yalikamatwa kwa ushirikiano wa Maofisa wa Forodha wa kituo cha Sirari wakishirikiana na wenzao wa kodi za ndani  wilayani hapa. Akizungumzia tukio hilo, Meneja wa Forodha Mkoa wa Mara, Ben Usaje, alisema magari hayo ni fuso mbili zenye...

 

10 years ago

Habarileo

Polisi yanasa mtandao wa `kigaidi’

Kamanda wa Polisi mkoa wa Ruvuma, Mihayo MsikhelaJESHI la Polisi mkoani Ruvuma kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama, limefanikiwa kukitambua kikundi cha mtandao wa kigaidi.

 

9 years ago

Mtanzania

Sheria ya mtandao yanasa watano

Suleiman-KovaAsifiwe George na Ester Mnyika, Dar es Salaam

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikilia watu watano kwa tuhuma za kutumia vibaya mitandao ya kijamii kufanya uhalifu wa  kutengeneza habari za uongo na uzushi dhidi ya viongozi au watu maarufu.

Akizungumza  na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleimani Kova alisema watu hao wamekuwa wakitumia vibaya majina ya watu maarufu hasa wanasiasa.

Kova alitaja majina...

 

10 years ago

GPL

OFM YANASA MABAAMEDI WAKIUZWA!

Chande Abdallah na Deogratius Mongela WAMENASWA! Kitengo maalum cha Oparesheni Fichua Moavu (OFM) cha Global Publishers mwishoni mwa wiki kiliwanasa wahudumu wa baa wakiuzwa kwa wanywaji wanaohitaji huduma ya ngono katika mtego uliofanywa katika baa moja iliyopo Ubungo External, Ilala jijini Dar es Salaam. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1UC9ooV

 

10 years ago

GPL

OFM YANASA MAJINA YA WAGOMBEA...

Waandishi wetu KAZI imeanza! Baada ya ukimya wa muda mrefu uliotokana na Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, sasa makamanda wa Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ imeingia kazini ambapo wiki hii imeweza kuinasa nazi ikiwa na karatasi lenye majina ya waliojitokeza kugombea urais, ubunge na udiwani kwenye uchaguzi mkuu ujao. ....Sopma zaidi===>http://bit.ly/1DynYcG ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani