Polisi yanasa mtandao wa `kigaidi’
JESHI la Polisi mkoani Ruvuma kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama, limefanikiwa kukitambua kikundi cha mtandao wa kigaidi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania16 Sep
Sheria ya mtandao yanasa watano
Asifiwe George na Ester Mnyika, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikilia watu watano kwa tuhuma za kutumia vibaya mitandao ya kijamii kufanya uhalifu wa kutengeneza habari za uongo na uzushi dhidi ya viongozi au watu maarufu.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleimani Kova alisema watu hao wamekuwa wakitumia vibaya majina ya watu maarufu hasa wanasiasa.
Kova alitaja majina...
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Polisi yanasa heroin gram 100
JESHI la Polisi jijini Arusha limefanikiwa kuwakamata watu wanne wakiwa na dawa za kulevya aina ya Heroin zenye uzito wa gramu 100, thamani yake ikiwa shilingi milioni 10. Kamanda wa...
11 years ago
Habarileo13 Mar
Polisi yanasa bunduki ya kivita, risasi 399
WATU wawili wakazi wa Kijiji cha Kitagasembe wamekamatwa na polisi wakituhumiwa kwa ujambazi wa kutumia silaha.
9 years ago
Mwananchi12 Dec
Polisi yanasa 40 wapya kwa kashfa ya makontena
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ykZ*wTWqMzb*fIbzElr8*704Fe30CcvGRGMYpKV3Jzo5eS4o188ehK2MwnX*DjDwv3xeh6qJl9vaM24rARAVdGIsDwhhm1S7/Dawa.gif?width=650)
OFM YANASA YANASA DAWA ZIKIUZWA KIHOLELA
9 years ago
BBCSwahili06 Dec
Polisi: Shambulizi la kisu London ni la 'kigaidi'
10 years ago
Mtanzania01 Apr
Kova: Askari polisi waliuawa kigaidi
![Kamishna Suleiman Kova](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Suleiman-Kova-300x200.jpg)
Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova
KOKU DAVID NA ASIFIWE GEORGE, DAR ES SALAAM
KAMANDA wa Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova, amesema tukio la kuuawa kwa askari polisi wawili wilayani Mkuranga juzi, lina dalili za ugaidi.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Kamanda Kova alisema wanahisi kuna dalili za kigaidi kutokana na mazingira ya tukio lenyewe.
Alisema watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wapatao 10...
11 years ago
MichuziPOLISI KILIMANJARO YANASA KIWANDA CHA KUTENGENEZA KONYAGI FEKI
11 years ago
MichuziPOLISI KILIMANJARO YANASA BUNDUKI MBILI ,MOJA IKIWA IMEFUNGWA HIRIZI.