Polisi yanasa bunduki ya kivita, risasi 399
WATU wawili wakazi wa Kijiji cha Kitagasembe wamekamatwa na polisi wakituhumiwa kwa ujambazi wa kutumia silaha.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziPOLISI KILIMANJARO YANASA BUNDUKI MBILI ,MOJA IKIWA IMEFUNGWA HIRIZI.
10 years ago
MichuziPOLISI WAKAMATA BUNDUKI SMG, RISASI 59 PAMOJA NA WATUHUMIWA KATIKA MATUKIO TOFAUTI JIJINI DAR.
Katika tukio la kwanza mnamo tarehe 03/06/2015 majira saa 08:00HRS maeneo ya Tabata Kinyerezi mtaa wa Kibaga askari wa kikosi kazi (TASK FORCE) walimkamata mtuhumiwa HEMED S/O...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eZwIs-rY9go/VXKf-nWXLyI/AAAAAAAHccE/M_m35vod3sA/s72-c/unnamed%2B%252890%2529.jpg)
TAARIFA: POLISI WAKAMATA BUNDUKI AINA YA SMG NA JUMLA YA RISASI 59 PAMOJA NA WATUHUMIWA KATIKA MATUKIO TOFAUTI JIJINI DAR
Katika tukio la kwanza mnamo tarehe 03/06/2015 majira saa 08:00HRS maeneo ya Tabata Kinyerezi mtaa wa Kibaga askari wa kikosi kazi (TASK FORCE) walimkamata mtuhumiwa HEMED S/O...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-dx_1PFoFwu4/VXKgDVm_QJI/AAAAAAAHccQ/Mr88YcPBKn4/s72-c/unnamed%2B%252889%2529.jpg)
POLISI WAKAMATA BUNDUKI AINA YA SMG NA JUMLA YA RISASI 59,PEMBE ZA NDOVU PAMOJA NA WATUHUMIWA KATIKA MATUKIO TOFAUTI JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-dx_1PFoFwu4/VXKgDVm_QJI/AAAAAAAHccQ/Mr88YcPBKn4/s640/unnamed%2B%252889%2529.jpg)
Naibu Kamishna wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam (DCP), Simon Sirro Sirro akiwaonesha baahdhi ya waandishi wa habali hawapo pichani pembe za Ndovu zilizo kamatwa maeneo ya Kimara Suka katika oparesheni ukaguzi wa magari.Picha na Emmanuel Massaka.
![](http://3.bp.blogspot.com/-eZwIs-rY9go/VXKf-nWXLyI/AAAAAAAHccE/M_m35vod3sA/s640/unnamed%2B%252890%2529.jpg)
Naibu Kamishna wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam (DCP), Simon Sirro akiwaonesha baadhi ya waandishi wa habari (hawapo pichan) Bunduki aina ya (SMG) iliyofutwa namba zake ikiwa na risasi 10.
![](http://2.bp.blogspot.com/-d4jwxXiBmQ8/VXKgDSL-TGI/AAAAAAAHccM/tIX_qi3Ij-0/s640/unnamed%2B%252888%2529.jpg)
Naibu Kamishna wa Jeshi la...
10 years ago
Habarileo30 Apr
Rukwa wakamata bunduki 50, risasi 768
JESHI la Polisi mkoani Rukwa limewakamata watuhumiwa 50 na silaha za aina mbalimbali zikiwemo bunduki 48 , risasi 768 na maganda ya risasi 101.
10 years ago
CloudsFM19 Jan
JAMBAZI AKUTWA NA MIFUPA YA BINADAMU BUNDUKI NA RISASI
Makamanda wa polisi wa mikoa mitatu ya simiyu, shinyanga na mwanza wamefanikiwa kuvunja mtandao hatari wa ujambazi uliokuwa unaongozwa na mfanyabiashara wa mjini bariadi Njile Samwel huku makachero wa jeshi hilo katika mikoa ya kanda ya ziwa pia wakikamata watuhumiwa watano, bunduki moja ya SMG, risasi 331 na mifupa inayodaiwa kuwa ya binadamu.
Kamanda wa polisi mkoani mwanza, SACP Valentino Mlowola, akiwa ameambatana na kamanda Justus Kamugisha wa mkoa wa shinyanga pamoja na Charles Mkumbo...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ybyW7jYjefg/ViaKEiFA1fI/AAAAAAAIBVc/lz_CR4tw_b8/s72-c/IMGL1332.jpg)
JK leo akabidhi jeshi la polisi magari 399 mapya kati ya 777 yaliyoagizwa
RAIS Jakaya Mrisho Kikwete leo amekabidhi magari 399 mapya kwa ajili ya kufanyia kazi kwa Jeshi la Polisi Tanzania katika hafla fupi iliyofanyika kwenye viwanja vya Chuo Cha Mafunzo ya Polisi kilichopo barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam.
Makabidhiano hayo yalifanyika mbele ya Waziri wa Mambo ya ndani Mhe Mathias Chikawe Inspekta Jenerali wa Polisi IGP Ernest Mangu na maofisa mbalimbali wa jeshi hilo.IGP Mangu Alisema magari hayo 20 ni ya kutema maji ya kuwasha na...
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Rais Kikwete alikabidhi Jeshi la Polisi magari mapya 399 kati ya 777 yaliyoagizwa
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe Mathias Chikawe, IGP Ernest Mangu wakati akikagua sehemu ya magari mapya 399 kati ya 777 aliyokabidhi kwa jeshi la polisi leo Jumanne Oktoba 20, 2015 huko katika Chuo cha Polisi Kurasini Dar es salaam. (PICHA NA IKULU).
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ann-lp8tGEn1zlOSgxpChpu2*XMdHOV2UDy8DVs*48RRW5gd0x5dKo2BWaYxnHqN15yt0fZsCEWVqb117-yMTGzyeapuykhh/p3.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ALIKABIDHI JESHI LA POLISI MAGARI MAPYA 399 KATI YA 777 YALIYOAGIZWA