POLISI KILIMANJARO YANASA BUNDUKI MBILI ,MOJA IKIWA IMEFUNGWA HIRIZI.
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro, Robert Boaz akizungumza na waandishi wa habari wakati akitoa taarifa ya kukamatwa kwa bunduki mbili pamoja na mali kadhaa kufuatia operesheni tokomeza uhalifu inayoendeshwa na Jeshi la Polisi mkoani Hapo.
Kamanda Boaz akiwaonesha waandishi wa habari, bunduki mbili, ya kulia ni Shotgun Greener, ambayo imekatwa kitako pamoja na nyingine aina ya shotgun (ya kushoto), namba za usajili 68022, ambazo zinaaminika zimekuwa zikitumika katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo13 Mar
Polisi yanasa bunduki ya kivita, risasi 399
WATU wawili wakazi wa Kijiji cha Kitagasembe wamekamatwa na polisi wakituhumiwa kwa ujambazi wa kutumia silaha.
11 years ago
MichuziPOLISI KILIMANJARO YANASA KIWANDA CHA KUTENGENEZA KONYAGI FEKI
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Polisi Dar Wakamata Meno ya Tembo 156, Bunduki mbili
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova akionesha baadhi ya vipande vya bunduki zilizokamatwa aina ya ‘RIFLE’ katika oparesheniiliyofanyika jana Temeke Sudan, Dar.
Kamanda Kova akionesha baadhi ya vipande vya meno ya Tembo kwa wanahabari.
… Kova akivishikilia vipinde hivyo.
… Kova akivitoa kwenye magunia yaliyokuwa yamehifadhi vipande hivyo vya meno ya Tembo.
Wanahabari wakichukua tukio hilo.
Kamishna wa polisi, Suleiman Kova (kushoto) akiongea na wanahabari.
Baadhi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jQ6EO_Nz47o/VAyexLTS8-I/AAAAAAAGhNs/Vq-7Y2WmPaA/s72-c/8dcacabf33f6098a97598c1329d203b0.jpg)
BREAKING NEWZZZZ: JESHI LA POLISI MKOANI GEITA LAKAMATA BUNDUKI SABA ZILIZOPORWA KITUO CHA POLISI BUKOMBE, WATU WAWILI MBARONI NA MSAKO MKALI UNAENDELEA
![](http://3.bp.blogspot.com/-jQ6EO_Nz47o/VAyexLTS8-I/AAAAAAAGhNs/Vq-7Y2WmPaA/s1600/8dcacabf33f6098a97598c1329d203b0.jpg)
10 years ago
Habarileo05 Jan
Polisi yanasa mtandao wa `kigaidi’
JESHI la Polisi mkoani Ruvuma kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama, limefanikiwa kukitambua kikundi cha mtandao wa kigaidi.
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Polisi yanasa heroin gram 100
JESHI la Polisi jijini Arusha limefanikiwa kuwakamata watu wanne wakiwa na dawa za kulevya aina ya Heroin zenye uzito wa gramu 100, thamani yake ikiwa shilingi milioni 10. Kamanda wa...
9 years ago
Mwananchi12 Dec
Polisi yanasa 40 wapya kwa kashfa ya makontena
10 years ago
Mwananchi07 Aug
Polisi yakamata bunduki 16 za Stakishari
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ykZ*wTWqMzb*fIbzElr8*704Fe30CcvGRGMYpKV3Jzo5eS4o188ehK2MwnX*DjDwv3xeh6qJl9vaM24rARAVdGIsDwhhm1S7/Dawa.gif?width=650)
OFM YANASA YANASA DAWA ZIKIUZWA KIHOLELA